Home
Unlabelled
afande mwamunyange
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Pole sana sana Yolanda pamoja na familia yako bila kusahau ndugu jamaa na marafiki.Kazi ya Mungu haina makosa,BABA MUNGU ALITOA NA SASA AMETWAA!la muhimu na kumuombea marehemu mama yetu alazwe mahala pema peponi.Amin
ReplyDeleteTatizo ulilonalo mzee Michuzi hufafanui who is who!!!???kama hapo kwenye picha hata sijui yupi ndo Generali wa majeshi kwani watu wawili tofauti wote wanaonekana wakitoa pole.Tafadhali tuweke sawa sisi ambao hatupo nyumbani.
ReplyDeleteMwamunyange ni huyo anaetoa mkono wa pole huyo mingine lau masha mbunge wa mwanza alieahidi mwanza itakuwa kama marekani!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteWe anony hapo juu in maana kuwa nje ya nchi hata Kaunda suit huijui???
ReplyDeleteAcha umbumbumbu!!
Bora umesema wewe anony maana huyo waziri na group yake ya kina Magai wanafanya mambo ya ajabu kama vile starehe zinaisha.
ReplyDelete