mdau subi ambaye katuletea hii anasema bofya hako kamshale kekundu uone hiyo shari...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Michuzi,
    Sasa naona kazi imekushinda.Funga tu blogu mzee,umechoka naona.Hiki nini sasa?

    ReplyDelete
  2. Mambo ya Match stick men hayo. Click hiyo picha ikifunguka kwenye browser yako ndio utaelewa

    ReplyDelete
  3. kweli kashindwa kazi. Halafu anaonekana kufagilia sana watu walioko nje ya nchi wakati ni choka mbaya. Unakuta anatuwekea picha ambazo hazina maana bor tu ziwe za Texas, Holland, etc

    ReplyDelete
  4. hii fight si mchezo!!!!

    ReplyDelete
  5. anawafagilia wa nje kwa sababu nyie mlioko bongo hamna jipya kazi kuchonga tuu.maendeleo kunywa bia na kuendesha balloon wakati wenzenu huku bmw x5 ni kitendea kazi. keep it up bro michuzi.

    ReplyDelete
  6. hio fight ni funny. Michuzi hapendelei walio nje wala nini! wewe uliye tz umetuma picha akakataa kuitundika?

    ReplyDelete
  7. Jamani sasa naona kuna watu wanapenda tu majungu, au hao jamaa wawili hapo juu wameshindwa kuifungua hiyo fight, kwanza inafurahisha, hafai mtu kumlaumu michuzi kwa hilo. Aisee, michuzi endeleza libeneke, na watu wa majuu endeleeni kutupatia vimbanga kama hivi, achana na wabongo wana comments za ajabu ajabu tu wakati hawana jipya

    EID MUBARAK

    ReplyDelete
  8. Jamani hiyo fight inachekesha sana. Hiko kijamaa chenye red mbona ni kijinga hivyo? Mwanzoni mwanzoni mwa game kanajiangusha chini chenyewe bila hata kuguswa, pili, pale ukuta unapoanguka kanachukua fimbo na kumrushia kajamaa cha blue, kisha na chenyewe ninachukua fimbo nyingine tena. Hovyooo. Lazma atakuwa ZERO huyo. Game inafurahisha sana.

    ReplyDelete
  9. Kwa s6tyle ya ngumi hizi nani bigwa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...