Home
Unlabelled
stempu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kuuliza si ujinga. kwani injinia ni taito kama dokta? Ninauliza hivi kwani sijawahi kuona watu ambao si waafrika(tanzania) ambao wanaanza kwa kuandika injinia halafu jina.
ReplyDeleteWe Mbwiga Engineer (aka Mhandisi) ni title. Imepitishwa mwaka juzi na Bodi ya Wahandisi Tanzania kwamba wahandisi wote waliosajiliwa na bodi hiyo wanatakiwa kutumia title ya Eng. kabla ya jina.
ReplyDeleteMfano. Eng. Mbwiga wa Mbwiguke.
Au kama mhusika ana title nyingine ya juu, mfano Dr. ile title ya juu itatungulia.
Mfano. Eng. Dr. Mbwiga wa Mbwiguke
Kuhusu title hiyo kutotumika nchi zingine huo ni utaratibu wao. Wakipenda wanaweza kuiga Tanzania, sio lazima kila kitu kianzie nje.