Habari Uncle Michuzi.

Nashukuru sana kwa kutupatia habari mbalimbali kupitia globu yetu hii ya jamii. Pia nakutakia Idd njema pamoja na wadau wote. Wako

Dr Hanifa

from Turkey

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 21 mpaka sasa

  1. Dr Hanifa black beauty. Naomba tuswali wawili baada ya mfungo.

    Michuzi, niko tayari kuslimishwa na huyu Dr

    ReplyDelete
  2. MASH ALLAH! Dada kama hujaolewa bado naomba nikuoe mimi please. You look so beautiful

    ReplyDelete
  3. Mashaallah. umependeza mwenyewe.
    Eid njema kwako pia.

    ReplyDelete
  4. Dr Hanifa, una mpango gani na kuachana na kuvuta sigara. Nilipoona picha yako tu na hasa mdomo wako nikajua ni mdomo wa sigara, maana sisis wavuta fegi tunajuana. Achana nazo, zinaunguza mapafu

    ReplyDelete
  5. yes yes yes m2 wangu hanifa aaahh sory doctor Hanifa..nafurahi kuona unawakilisha hapa nyumbani ubatani..poa sana..sasa najua hapo istanbul mnajiandaa sana na Eid ila kwa kweli nakwambia mwaka huu hamtuwezi kabisa hapa Ankara mambo tulioandaa sio mchezo,tumechanga kama dola 1000 kwa sikukuu,kwa hiyo huku tuko full...berberque kama kawaida...si unamjua yule Redish basi ndio anashughurika na mambo yote na pia alikuwa na mpango wa kumualika Tarkan huyu mwanamuziki mashuhuri wa hapa aje nyumbani kuburudisha...njoo huku uje ule mangal...mwambie faraji mwaka huu ni wetu na tumeandaa mechi hapa ya east Africa..yan sisi watanzania tutacheza na wakenya na waganda..njooni wote mnakaribishwa,kama usafiri kuna gari inaweza kuja kuwachukua hapo,kama mnataka chochote semeni hapa vipo...i miss u all...

    ReplyDelete
  6. YAONE VILE MAJITU MAZIMA ETI AAA TUSWALI WAWILI BAADA YA MFUNGO.MARA OOOOH NAOMBA NIKUOE PLEASE.HIVI NYINYI AKILI ZENU HUWA ZA PANZI EEE.MKIONA TU PICHA YA MTOTO WA WATU KATULIA.HAMCHELEWI KUTOA POROJO ZA NDOA.HOVYOOOO KAMA
    NYANYA MBOVU.KWANZA JIFUNZENI KUULIZA MTU MARITAL STATUS YAKE.KWANI UMESIKIA ANATAKA MCHUMBA HAPA.MKOMENI DADA WA WATU

    ReplyDelete
  7. Maashaallah Dr Hanifa waonekana mrembo na mtoto mwenye maadili aliyetoka kwenye mifupa wa wazazi waadilifu..cheeer my love

    Eid mubarak to you too

    ReplyDelete
  8. Michuzi hebu niunganishe na huyu dada kama yuko single, niko tayari kabisa kutoa mahari na kufanya vitu kihalali 100%, sitaki fitna yeyote. Dr. Hanifa are you single? Doh Mash Allah, why can't more Muslim TZ girls be like you

    ReplyDelete
  9. KWAKO PRINCE JUNIOR,
    Hivi wewe prince J ni mwanamke au mwanamme??Lugha yako ya kimaandishi unaonekana ni mwanamke na jina lako linaonekana mwanamme.Sasa kama wewe ni men wivu wa nini binti akitafutwa humu???kama wewe ni mwanamke kwa nini hutumie jina la kidume???Au ndo mambo ya "...Tanga kunani pale mbona ni karibu na Mombasa Tanga..."

    Njoo Massachusettes USA utapata wa size yako prince Junior

    ReplyDelete
  10. nasi tunakutakia eid njema yenye mafanikio.inshallah allah atukubalie saum,dua zetu na atuongoze kwenye kila la heri-wise A(izmir)

    ReplyDelete
  11. kwako tena prince junior
    alhabiby lugha yako inatutia aibu vijana wenzako eti "HOVYOOOO KAMA
    NYANYA MBOVU" utatufanya watu tujiskie vibaya kusema tunasoma nawe eski shehiri. watatudhani tunabonyeza kizenji buree kumbe wala hatuna mambo hayo.
    sometimez utufikirie na sie wenzio,
    EID NJEMA ALHABIBY prince and every one

    ReplyDelete
  12. DR. HANIFA MOLA AKUZIDISHIE KILA LA KHERI. ENDELEA KUPENDEZA HIVYO HIVYO NA PIA UWAPE MOYO NA MFANO WANAWAKE WA KIISLAM WENGINE, KUWA MFANO WA ELIMU NA DINI, KAMA VILE ALLAH SWT ANAVYOTAKA. MASH ALLAH

    ReplyDelete
  13. WE ANON WA HAPO JUU KAFE NA UKIMWI WAKO ETI UTATUFANYA TUJISIKIE VIBAYA.KAZI KWELI KWELI.NADHANI MSHKAJI UNAEMSHAMBULIA HAPA NIMESHAMFAHAMU.YULE NI BONGE YA MTU
    HAWEZI ANDIKA UPUUUZI HAPA.WE NDIO FALA KWELI KWELI.MAANA UMEONA PRINCE JUNIOR UKADHANI NI YEYE AMEANDIKA.NDIO MAANA HADI LEO BADO UNAFUGWA HUNA MAISHA HURU DOGO.NIMESHAKUFAHAMU BAADA YA KUONA
    IP YA KOMPYUTA NILIPOCRACK MESEJI HII.LAKINI NDIO UTOTO UNAKUSUMBUA
    KILA LA HERI.

    ReplyDelete
  14. HALOOO WE MICHUZI NIMEFURAHI KUINGIA GLOB OOO SORRY BLOG YAKO KWA MARA YA KWANZA.UNAJUA MIMI NINA MAIL YENYE MANENO KUTUMIA PRINCE JUNIOR SASA MSHKAJI MMOJA KANIPA HABARI E BWANA WE NDIO ULOANDIKA MAIL YA KUWAZODOA JAMAA WALIOTOA COMMENTS ZA DA HANIFA? NIKASEMA HATA SIJUI.AKASEMA WAMEKUSHAMBULIA KAMA NINI.
    KUINGIA NIMEVUNJIKA MBAVU KAKA
    SI UNAJUA UPO MTAANI MARA ASKARI WANAKUDAKA NA KUKUPA KESI.BASI NDIO HIVYO.WALLA SIJUI.KWANI WATU WAKITUMA MSJ KWAKO WANAANDIKA NA MAIL AMA? MIMI NDIO KWANZA NAJARIBU
    HII LABDA ITAFIKA.ILA NDIO UKUBWA
    ANGALAU MTU UNAJUA ''THE HIDDEN ENEMIES'' WAKO WANGAPI ANGALAU KWA NAMBA.DUH KAZI KWELI KWELI.MIMI NI
    GADNER HENRY-KARIAKOO DSM

    ReplyDelete
  15. HALAFU WEWE SIJUI ANON WA ANKARA ETI TUMECHANGA ZAIDI YA DOLA 1000
    NA SIJUI MWANAMZIKI NANI ATAKUJA..KWANI HAPA NDIO SEHEM YAKE YA KUONGEA.KWANZA MNA HELA WAPI NYINYI MNASOMESHWA MASKINI WA KUTUPA.SISI TUNAIJUA TURKEY WEWE.USITUZINGUE HATA KIDOGO.MNA WAYA MKALI SANA WENGI WENU MNAOKAA ISTANBUL,ANKARA NA IZMIR MNAUZA DRUGS.TUNAJUA HILI.WENGI MNAJIFANYA WATU WA DINI LAKINI KWA
    ''MIZIGO'' MNATISHA.HALAFU HUYU DADA HAJAONYESHA KAMA ANATAKA MTU.NAMUUNGA PRINCE JUNIOR KWA MAWAZO SAFI.KWANZA ULIZA MARITAL STATUS THEN ENDELEA NA UPUUZI WAKO.PRINCE WAPE UKWELI WAO VICHAA HAWA.HALAFU KAMA WEWE NI PRINCE JUNIOR YULE MGANDA ANAESOMA BURSA
    TUWASILIANE.

    ReplyDelete
  16. Hivi mnajua anatafuta mchumba huyo au mate uroda tu. Kila mnaemuona mwasema umri umekatika huyu kwa vile keshakua doctor kila mtu anamtaka...Hamjali hata umri tena?

    ReplyDelete
  17. KWAKO KAKA MICHUZI,ASALAAM ALEYKUM.
    NIMETUMIWA LINK HII NA RAFIKI YANGU ALIYEDHANI NI MIMI PRINCE JUNIOR WA ESKISEHIR NDIO NILIANDIKA
    COMMENT KUHUSU PICHA YA DADA YETU.
    UKWELI NI KUWA MIMI NI MWANAFUNZI
    NINAYESOMA HAPA UTURUKI.SASA MIMI HUTUMIA PRINCE JUNIOR AS MY PEN NAME LAKINI SIKUWA NIMEANDIKA COMMENTS ZOZOTE PREVIOUSLY HADI NILIPOPATA MSJ KUTOKA KWA RAFIKI YANGU AKINITAKA NICHEKI LINK HII.NAWEZA KUSEMA HIVI
    1.SIKUANDIKA MAONI YEYOTE HAPA NA LEO NDIO MARA YA KWANZA
    2.KWA HAKIKA DADA ALIYE KTK PICHA
    HII SIMJUI NI MARA YA KWANZA KUMUONA HAPA.
    3.SIWEZI KUWEKA COMMENTS KUHUSU MTU
    AMA TUKIO NISILOLIJUA
    4.KWA HESHIMA YA ANON ALIYEANDIKA
    ''UNATUABISHA WENZIO WA ESKISEHIR''
    AJUE KUWA HUWA SIPO KATIKA MABISHANO YA NAMNA HII NA PIA AJUE
    MIMI NINA MAMA,BABA,NA WADOGO ZANGU TU.SIJUI NA WALA SITAKI KUWA NA NDUGU KAMA YEYE(HUYO ANON ALIYEDAI YUPO ESKISEHIR INGAWA SI KWELI)MAMBO YA UNDUGU WA KU-''INTERGRATE'' SIUTAKI NA UNIPITIE MBALI AJIFUNZE KUWA MSAFI SIO WA MASHATI NA TISHETI TU BALI MOYO WAKE.ASIRUKIE MATUKIO NA KUYATOLEA COMMENTS BILA KUJUA UNDANI AU UHALALI WAKE
    5.SI KWELI KUWA WANAFUNZI WENGI WANAOISHI KATIKA MIJI MIKUBWA HAPA
    TURKEY NI ''DRUG TRAFFIC AMA DEALERS'' KAMA ANON MMOJA ALIVYOTAKA IELEWEKE.KILA MTU ANAJITAHIDI KUISHI KWA KWA NAMNA
    ALLAH ALIVYOMPA RIZIKI KAMA WAPO
    WANAOUZA UNGA BASI HIYO NI KAZI
    YA NARCOTIC TEAM KUWAGUNDUA SIO
    KUWAPAKA MATOPE WANAFUNZI WOTE WA
    TURKEY(TUKITULIA MAANA YAKE NI KWELI)
    6.TUNA JUMUIYA YETU NA INA MFUMO
    WA MAWASILIANO WA KISASA KABISA
    SIONI KWA NINI MWANAJUMUIYA AKAANZA
    KURUSHA MANENO HAPA WAKATI SIO MAHALA PAKE.HAPA NI BLOG INAYOLETA VITU VYA MAANA ZAIDI NA SIO KURUSHIANA MANENO KAMA MAJIRANI
    WENYE CHUKI.
    7.NAWATAKIA KILA LA HERI WADAU WOTE
    WA BLOG HII DUNIANI KOTE.TUWEKE MAWAZO ''CONSTRUCTIVE ZAIDI'' TUACHE UTANI NA UONGO KILA WAKATI
    8.WABONGO WENZANGU WAJUE SIO KILA
    PEN NAME YENYE PRINCE NDIO MIMI.
    EID MUBARAKA.
    KILA LA HERI MICHUZI
    P.Jr-ESKISEHIR-TURKEY

    ReplyDelete
  18. HALAFU HAWA WABONGO WALIO TURKEY
    HAWANA BROTHER-HOOD KWELI KWELI
    WAMEANZA KUSHAMBULIANA KAMA NINI.
    HIVI HUKO HAKUNA CHANCE YA KUWA NA
    BLOG YENU AMA HATA YAHOO GROUP MMEBOA KICHIZI.MNAONEKANA KAMA
    WASWAHILI.HUYO MTU MMOJA HAJAANDIKA
    HATA LOCATION MMEANZA KUMSHAMBULIA
    KAMA NINI.INGAWA HAJASEMA KITU
    CHA AJABU.HAPA ULAYA PIA HUWA
    TWAULIZA MARITAL STATUS KWANZA
    THATS TRUE.EBU KAMA MNA CHUKI ZENU
    MTUONDOLEE UJINGA WENU

    ReplyDelete
  19. WOTE WAJINGA LABDA MSHKAJI ALIETAKA
    WATU WAWE NA MAWAZO CONSTRUCTIVE IDEAS LABDA NDIO KAONGEA CHA MAANA
    KIDOGO.ILA WENGINE NAONA WANA CHUKI
    ZAO BINAFSI SASA WANADHANI HAPA
    NDIO PA KULETA FITNA ZENU MLIZORITHI TOKA KWA WAZAZI WENU
    AU LABDA KWA MAJIRANI.SIJUI MANENO
    YA KIKE SIJUI YA KIUME..UPUUZI MTUPU
    HALAFU WEWE P.Jr UMEONGEA
    KITU CHA MAANA SANA.HUKU ULAYA
    KUNA WATU HUWA WANATAFUTA UNDUGU
    KWA NGUVU.YANI WA INTERGRATION
    NIMEFURAHI HUKUTUMIA MATUSI AU
    LUGHA MBOVU.BIG UP MAN
    WAAMBIE WAJINGA WAJINGA HAO
    WASTAARABIKE WASIWE KAMA YALE
    MATURUKI YA SHAMBA YANAYOTUKANA
    WATU HASA WEUSI KILA WAKIWAONA.
    KUWENI NA BROTHERHOOD ACHENI CHUKI
    HAZITAWAPELEKA POPOTE MASELA.
    ISITOSHE MMEMALIZA KUFUNGA JUZI
    TU MMEANZA TENA SIYO?

    ReplyDelete
  20. PRINCE THANKS FOR GOOD COMMENTS
    NA NI BORA UMEONYESHA USTAARAABU WA HALI YA JUU KUKANUSHA HAPA
    MOJA KWA MOJA.NA ALIYEANDIKA NI
    YULE YULE KAMA UJUAVYO
    ACHANA NAYE MAANA MUDA SI MREFU
    SHULE ITAMSHINDA NA ATATAFUTA VIZA
    AU ATAJILIPUA KAMA MKIMBIZI
    WE ENDELEA NA SHULE YAKO KAMA
    KAWA KAKA PRINCE Jr.ACHANA NAO
    HATA WATURUKI WANA MSEMO
    ''AL ELMAYA TAŞ ATAN COK OLUR''
    YANI MTI WENYE APPLES NZURI NDIO
    HUTUPIWA MAWE ZAIDI.LITERALLY
    MTU SAFI NA ANAYEJITAHIDI WABAYA
    NDIO HUONGEZEKA KUMTUPIA MAWE
    NA MATOPE.KWANI AKIWA MCHAFU
    HAKUNA HAJA YA KUMTUPIA KATIKA
    MATOPE.
    MWAMBIE UKWELI NA AJUE USAFI SIO
    MATISHETI YA KIMAREKANI TU BALI
    AKILI NDIO MUHIMU NA BORA NGUO
    ZICHAFUKE SIO AKILI KAMA ZAKE
    KILA LA HERI.TUFUNGE MJADALA
    ACHANA NAO WANA WIVU WA KUDHULUMIWA
    TANGU WAKIWA BONGO.TUNAWAJUA NA
    TUNAZO DATA ZENU ZOTE.ITS A MATTER
    OF TIME.

    ReplyDelete
  21. weye ni real prince na nakupa hongera kwa kumjibu kistaarabu huyo alokupaka matope.
    achana nae tumeshamjua na karibuni tu atakuwa hayupo tena hapa uturuki kwani university imeshamshinda na amebakia na choyo na chuki kwa sisi tunaondelea.
    achana nae hana mpango huyoo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...