baba yake richard anasusia mapokezi baada ya kunyimwa kuingia uwanjani..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Kaka michuzi hivi huyo bro mwenye koti jeusi baunsa ni Dr Abdallah? alikuwa Muhimbili?

    ReplyDelete
  2. mhhhh it is funny...ni halali kuzuia kwa vile hawa watu walioanzisha haya mashoo yao culture zao ni kuwa kama uko above 21 yrs kama umeoa basi mkeo ndio anatambuliwa. Baba ni mtu wa mbali sana

    ReplyDelete
  3. Kumbe hii tabia ni ya familia nzima. tufaa halianguki mbali na mti. like father, like son, like daughter. Yaani kwa sababu mwanae ameshinda huu ujinga basi yeye anataka apewe huduma ya watu maarufu?

    ReplyDelete
  4. jamani watamzuiaje richard kuingia watu wengine bwana akili finyu sasa bila baba yake tungemjua huyo richard.watu wazima ovyo michu mi misemo yako inaniua

    ReplyDelete
  5. Dah! Like father like son... Hizo genes zao zina shida... Fujo, umalaya.. nini zaidi?

    God Bless TZ and all the decent people not following this perversion!

    ReplyDelete
  6. Wewe Mwanza kwetu kuna shida katikati yako na familia ya kina Richard mbona unawasakama kiasi hicho au Linda alikunyima uroda???ACHA USHAMBA!HUU SI MUDA WAKE!

    ReplyDelete
  7. Riki you dont deserve what this disgusting man, your father in law said to you, he is a disgrace to all men. Riki run as fast you can from this family, they will pull you down to there level and treat you very badly, I hope all men in Tz do not treat woman in this way. You have my support
    Dreamy South Africa

    A christian, what a joke, they are evil. The sister looks like something out of a horror movie, the father reckons he is the boss, he is proud of his adultris son, the apple never falls far from the tree
    Richard learnt what he saw, he followed in his monster fathers footsteps, treating woman as second class citizen where men are right and woman must shut up and except abuse. Children learn what they see. I am please a live in a country where discrimanation of any kind is not tolerated, where woman of abused husband are criminaly charged, where freedom of expression is protected in our constituion,
    where all minority groups protected, irrespective of race colour or creed, I am proudly SOUTH AFRICAN. Where any form of rape is prosecuted, womans rights are taken very seriously, the outcry in my country from what Richard did to Ofu was huge. We protect our woman, because woman are the earth mothers, they nuture and care for there husbands, sons and all. I am so disgusted with Richard father, that I am now at a loss for words for this horrible man

    Where you are villified as the villian, what drugs are these people on. OMG Plz Riki get away from these people as fast as you can, they will destroy your spirit.please I beg you, you deserbve so much better. Plz read my Thread for you. My thoughts and prayers are with you, my daughter is 29 and if any man treated her badly, they would have me, my husband and son to contend with, especially my son, do not know what my son will do if a mzan treats my daughter badly and would not like to be there when my son looses it. GOD BLESS YOU MY GIRL HUGS
    my email addy Dreamy_brown@yahoo,com
    http://www.mnet.co.za/profiles/bba/ForumListing.aspx?bid=10&tid=11953&rid=0

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...