
masupa staa wetu jide na banana zorro wakiwa na staa wa toka nairobi kwa watani wetu wa jadi eric wainana (kulia, alietamba na 'nchi ya kitu kidogo') na koreografa wa a-taun wakishuhudia michuano ya nyimbo za vikundi toka maeneo yanayopakana na hoteli za kitalii za arusha na kilimanjaro ambayo yanasaidia jamii sehemu hizo ikiwa ni pamoja na kudhamini vikundi vya utamaduni. leo ni fainali ya mashindano ya vikundi hivyo hapa ngurdoto na hao ndo majaji


Jide umependeza sana nakuomba uwe unapiga mavazi haya zaidi umependeza sana darling
ReplyDeleteJide umependeza sana nakuomba uwe unapiga mavazi haya zaidi umependeza sana darling
ReplyDelete