Pichani: Mzalendo John Ulanga Mkurugenzi Mwendeshaji wa The Foundation for Civil Society akipokea Tuzo na Cheti kutoka kwa Rais wa Mtandao wa Wanataaluma na Wasomi Tanzania (Tanzania Professionals Network – TPN) Mzalendo Sanctus Mtsimbe ambayo ni mahsusi kwa Wanataaluma na Taasisi zilizofanya vizuri na kutoa mchango katika maendeleo ya jamii au Taasisi. John Ulanga alitunukiwa cheti na tuzo ya kuwa Mwanataaluma bora wa kuigwa katika utendaji wa kazi katika hafla ya kutunisha mfuko ya TPN siku ya Jumapili. Akiwa kiongozi wa Taasisi, John Ulanga amefanikiwa kuendesha Taasisi hiyo ambayo imeshatoa misaada katika miradi zaidi ya 700 toka mwaka 2003 yenye thamani zaidi ya TZS Billion 18. Katika hali ya kawaida Billion 18 si pesa kidogo na mafisadi hupenda sana kunyemelea pesa kama hizi ili kunufaisha matumbo yao.

(
http://www.thefoundation-tz.org/).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Michuzi pass this to ur site. Google kwa kiswahili ingawa sio from tanzania wenzetu wa kenya wametushinda naona.Anyways linki hiyo www.google.co.ke .Keep up the good work!!!!we love ur site Michuzi!!!
    Joti wa pale FAO

    ReplyDelete
  2. Tanzania inaongoza kwa kuwa na wakurugenzi wengi hasa vijana. Good job John, unachapa kazi and u r bright. Big up

    ReplyDelete
  3. Geologist u r cunning ! nakukumbuka sana kutokea chuo kikuu 1991, sasa madini ndio future ya nchi, wewe uko IT Y....another missed opportunity
    Please inform me wahusika waliochagua na CRITERIA
    1. wakina Ulanga na wajiasiamali bora?
    2. mlezi mwenye skendo ya utapeli
    3.PRESIDENT UMEVAA PIJAMA,UNAMATUKO SANA
    tuwe transparent na tuwe na good governance sisi wasomi.Tuache ku MICROMANAGE hizi taasisi kama kampuni binafsi...it will only REPEL us

    ReplyDelete
  4. Hivi huyu kaka ameoa, Nimempenda, ka cute hadi dimples. hahaha, Michuzi naomba simu yake au email kama unayo niwasiliane nae, if he is not taken basi nijaribu bahati yangu.

    ReplyDelete
  5. huyu mbona sura kama ya mamake/sura ya kike!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...