watalii wakipata snepu za kumbukumbu baada ya kutua uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro wakitokea dar asubuhi hii. hawa walikuwa ni baadhi ya abiria waliosota uwanjani dar toka saa 12 unusu asubuhi hadi saa 2 unusu baada ya ndege kuchelewa kwa kile kilichotajwa kuwa matatizo ya kiufundi. waliwasili kia yapata saa 3 na dk. 40 hivi. uzuri walisifia sana marubani kwa kuruka na kutua kwa ustadi wa hali ya juu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hivi Michu, hiyo KIA mbona inaonekana kama banda tu la kuku? Tezama urefu wa jengom mtu foti 6 nadhani atapata shida kupita..Tunatia aibu kuita Intanesino eaporti?????!!!

    ReplyDelete
  2. HAIKUWA AIR TOTAL CONFUSION KIFUPI
    ATC KWELI? MAANA INAONGOZA DUNIANI
    KWA VISA.Tih tehe tihi tih
    MBAVU SINA JAMANI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...