jiji la a-taun limeshajipatia taa zake za kwanza za barabarani sehemu za phillips

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. hapa ni saani ya wali. sio filipsi

    ReplyDelete
  2. bRO MICHUZI , NINA KAMA MIAK MIWILI TANGU NIWE A-TAUN AND I CAN TELL HAPO SIO PHILLIPS,,

    ReplyDelete
  3. uWIIIIIIIIII, I CANT WEIT TO GO HOME, A-TOWM.

    jamani siku hizi kuna taa za barabarani uwiii, kweli kumekucha Arusha.

    Mji wenye hewa nzuriiiiiiii

    dada T

    ReplyDelete
  4. Hapo ni SANAWARI (Makutano ya Moshi-Arusha Nairobi Road na Simeon Road) ...Hotel inayonekana hapo ni lile Gofu lililokaaa kwa muda wa miaka Kumi na ushee baada ya kupigwa Stop linamilikiwa na Mrema wa Impala...

    ReplyDelete
  5. Ina maana Arusha hakukuwa na taa za barabarani?

    ReplyDelete
  6. Bwana Michuzi hapo ni Sanawari. Hilo jengo ni la bwana Mrema (mwenye hotel Impala na Ngurdoto) litakuwa hotel itakayoitwa Naura Inn. Ni moja ya hotel zinazotakiwa kuisha kabla ya mkutano wa sullivan Summit wa June 2008. Lina underground parking.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...