nani kasema zenji hakuna mikonozzzzz....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. Sasa mikonozz maporini we kaka sasa unapitiliza na unahatari(kama ngapulila) mie mwenzio nakutakia mema tu halahla wasichome sindano kwenye kalenda kama ustaadhi mmoja zenji alivyo mfanyia marehemu nanhiii ilibidi apande boti kwenda kuomba msamaha alipochomoa sindano tu hamza akalala. usifanye mchezo na zenj usije sema hukuambiwaa

    ReplyDelete
  2. Mmmh!! mikonozzz porini! wawili wewe na mtoto wa kike? michu pole pole zanzibar

    ReplyDelete
  3. Naona Mikonozz na mamsapu kapiga 'V' ya vidolezz

    ReplyDelete
  4. Michuzi una radhi wewe!!

    ReplyDelete
  5. Bro Michu, nilikupa pongezi kule a town. sasa hata zenji. naona unaelekea pabaya sana. hivi huyo mkeo alifanyiwa operation ya wivu? punguza mikonoziiiii.

    ReplyDelete
  6. kaka michu unatisha kwa mikonozziii. sasa mbona porini tena?!!!!

    ReplyDelete
  7. Hivi shemeji Mganda uwa anatembelea blog hii au? kama kweli uwa anatembelea na kukutana na vitu hivi na wala hasemi basi kuna mawili matatu, kwanza ni mtu ambaye ha-mind hivyo kaenda shule, pili basi waganda poa kabisa, tatu chichemi maana nitaonekana nataka kuvuruga ndoa........
    Utajiju michu

    ReplyDelete
  8. Mmmmh!
    Huyo dada mbona ana umbo la Namba 9?
    Juu mkubwa chini mdogo. Kama Simba!
    Khaa!

    ReplyDelete
  9. Michu.. tartibu sawhib maana maji ya Sultan Bargash hayakawizi ukikolea tuu basi umebaki Zenji.. hala hala ujiti na macho yakhe!! (dRU dACHI)

    ReplyDelete
  10. MNAFANYA NINI MAPORINI NYIE WAWILI JAMANI HAYA KAKA MICHUZI

    ReplyDelete
  11. Huyu siye Lerato (BB2)?? Mbona wanafanana hata hilo umbo 9 lililotajwa na mdau hapo juu linakwenda sawia na mdada yule eeh!!! Tuambizane jamani ama ndo Mzambia kapigwa chini na Michu??? (dRU)

    ReplyDelete
  12. We Michu, huyo dada si katoka kuolewa juzi juzi tu Dar hata miezi haijaisha? Haya bwana!!

    ReplyDelete
  13. Yaani hata mimi nilifikiria huyo ni LERATO wa BBA2.Yaani kama ndio hivyo ina maana Mzee Michuzi "paparazi" wamekuzidi spidi !!

    ReplyDelete
  14. Michuzi nakubali kwamba wewe muislam mzuri lakini kuna limit ya kuweza kuuoa wanawake wanne tu mpaka leo hawajafika tu kila siku kitu kipya umeshakuwa legend leave to new comer please.

    ReplyDelete
  15. hivi wewe michuzi unafanya kazi au unaendekeza mambo ya wanawake.kumbuka ulimwoa P mkaachana kwa ajili ya mambo hayo ya visichana.kwanza kasichana kenyewe kabayaaaaa!!kaka chunga ndoa yako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...