Michu,
Naomba uniweke hii taarifa kwenye blog yako.Namtafuta Mohamed Abdi (MSOMALI)tulisoma nayeShinyanga commercial Institute-Shycom mwaka 1993/95.Anipigie simu 281 935 9207 email mehuna@yahoo.com
Minya jina kiana.
Natanguliza shukrani zangu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. mzee ulimwengu mbona umeadimika sana. hata online huonekani kulikoni.
    Msonge

    ReplyDelete
  2. Mzee sasa hiyo namba ya simu mbona watu wnaijua...Director vp?

    ReplyDelete
  3. du we mbwa unatafutwa kweli umeadimika ,kaaz kwelkwel!!
    hussen hapa hahaha

    ReplyDelete
  4. namjua huyo kijana nitawasiliana nawe through ur mail.

    ReplyDelete
  5. Abdi Msomali si alishafariki?

    Mkewe CARO nakumbuka alifungua saloon pale Namanga intwa CAROLS sasa sijui yuko wapi lakini mara ya mwisho nilimwona kwenye Harusi huko MIlton Keynes

    unless unamtafuta ABDI MSOMALI TOFAUTI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...