Home
Unlabelled
nane!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
michuzi goli nane bila kuqualify = zero work.
ReplyDeletehiyo mishikaki ya ng'ombe au ...........? mana huko ng"ombe mpaka atoke tabora, ila nyama huko kwa watani wangu dili sana, na nasikia nyama fulani..... dili sana na ukitaka kutajirika ni kuipeleka tu.
ReplyDeleteHizo nane mtazikumbuka pale mtakaposhindwa kuwafunga Porto au marseille. Pia jiulizeni kuna faida gani kushinda mechi moja 8-0 halafu mshindwe kuingia hatua ya makundi?
ReplyDeleteHongera sana bwawa la michuzi kwa kushinda 8-0. Lakini badala ya kuanza kupiga kelele kazeni buti mechi zilizobaki vinginevyo mwaka huu mtacheza uefa cup.
ReplyDeleteHaya michu, mwaka huu mtacheza fainali ya uefa cup. Kila la kheri.
ReplyDeleteBw Michu katika maswala ya kula kweli hakuna Aibu! Lazima ujichekeshe upate mishikaki ya bure. pita sokomuhogo Piga wadau wa Cuf! na Mlandege piga wa CCM. itatulia na Waarabu wa Malindi kwenye mgahawa.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteukienda ROMA fanya kama wafanyavyo waroma.
Angalia jinsi ulivyoweka vidole vyako vya mkono wa kulia. Zenj unaweza ukaeleweka sivyo ndivyo....
Muone huyo mwenzako alivyoweka vidole vyake, hivyo ndio inavyotakiwa kufanya ukiwa maeneo ya mwambao