Chuo cha Muziki wa Nchi za Jahazi, baada ya warsha wa wiki tatu na walimu wa Chuo cha Muziki wa Nchi za Jahazi na wanasanii kutoka vikundi mbalimbali Pemba, kupitia ufadhili wa UNESCO kinawaletea onyesho la taarab asilia.
Siku: Ijumaa Novemba 9, 2007
Muda: Saa 2 usiku
Pahala: Chakechake, Pemba, Tibirinzi Uwanja wa watoto

Kiingilio mguu wako a.k.a bure!

Ahsante na karibuni sana!

DCMA-Press Officer: Leonie Schollmeyer
Dhow Countries Music Academy
P.O. Box 4055
Zanzibar / Tanzania
Tel. +255 (0)777 416529
Landline +255 (0)24 2234050
Fax + 309 417 2841
Email:
musicacademy@zanlink.com
www.zanzibarmusic.org

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. OOOOOH KUMBE NISHAJUA KILICHO MPELEKA MICHU UNGUJA NISALIMIE MDEBWEDO

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...