Home
Unlabelled
toboatobo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ha ha ha ha ha ha .... this is funny!!
ReplyDeleteSteveD.
Haya ndio maendeleo makubwa ya afrika. Yaani inasikitisha sana. Halafu misupu anakandamiza wazee wa box. Watu wanakimbia nyumbani kwa mengi
ReplyDeleteNANI ARUDI TZ BORA NIUZE HATA BAJIA
ReplyDeleteULAYA THAN KUWA PROFESA TZ.SI UNAONA JINSI MAGAGULA WANAVYOTULIZA
WATU.NA HATA AKITAKA MBUZI WA RANGI
YA KIJANI MWENYE MABAKA YA BLUU
ANAPEWA CHAKE.KAZI KWELI KWELI
Kaka Michuzi waeleze wazee wako wa CCM kuwa tunayakimbia mengi huko Bongo. TZ ukitaka kuwa mtu sharti u-kiss ass daima na ukiwa na msimamo kama Kabwe Zitto wajanja (CCM) wanakuendea Bagamoyo. Kwa mtazamo huu, nani arudi Bongo?
ReplyDeleteNyoo, icwe sababu nyie...mbn huko mliko wa2 risasi zinawaka km baghdad vile, ishu ni kwamba hamna nauli za kuwarudisha bongo manake mshahara wa mabox unaishia kwenye kula na kupanga nyumba!!!! mtajiju, ishu km hz ziko sehemu nyingi tu duniani....mcjishaue!!! limewashuka shuuu!!!!!
ReplyDeletembn ina maana gani?
ReplyDeletembn... ni mbona hiyo. halafu mimi kwenye hii katuni mbona kama nimeelewa tofauti. nimehisi kama watu wa chama chake ndio wamekwenda kumuwekea zenge yaani yeye anasikika zaidi kama individual than chama anachokiwakilisha! ni uelewo wangu tu jamani msianze kunipiga madongo
ReplyDeletekaka michuzi washauri hao viongozi wa huko bongo hasa wa hiko chama waache kabisa mawazo hayo watakwisha huyu ndugu yangu katoka mwisho wa reli ya bongo.waka waulize mzee wa mchinga na wenzake kilichowapata!!!halafu huyo kipanya anatuonyesha kuwa ndio mambo yake anafanya apate jina huko bongo!!
ReplyDeleteMzee wa mchinga ni nani na nini kilichomkumba?
ReplyDelete