ulinzi tosha ulikuwepo kwenye nondozz leo udsm...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. hiyo T-shirt jamaa kaifuma tu kwenye mtumba, polisi wa bongo hawana Tshirts. Yeye hana cha upolisi wala unjago kajivalia tu mradi kufunika ngozi!

    ReplyDelete
  2. wewe anon wa kwanza hapo juu hayo yote tunajua. hii ni joke tu hakuna alifikiri kwamba huyo ni Polisi kweli

    ReplyDelete
  3. hapo ndipo uone jinsi kulivyo na kaaaazi kwel kweliii pale bongo as waweza kuta mdada wa watu kavaa nguo alaf maeneo flani imeandikwa i command u to touch it..sasa mie jamani nikigusa kuna makosa???si nimeamrishwa??

    halafuu Michu vp tena lile suala la zile dola mia 5?as kimya kingi..au ndo kina mshindo mkuu?si unajua wengine tulishapangia budget fweza yetu ile ya utabiri wa man utd na arsenal??!!!??

    ReplyDelete
  4. Michu

    Hizi picha babaake ndiyo zinaniacha hoi kila ninapofungua blog huwezi pata sehemu nyingine ila kwa watu kama anoni wa 3:07:00 wasiozijua hizo picha lazima watakomenti ingawaje ni haki yao achana nao

    ReplyDelete
  5. Bila kubisha huyu yanki lazima atakuwa msanii wa Flava tu. Maana hawa jamaa mtu hata kama hajui kitu kina maana gani lazima atalazimisha tu ili aonekne kama black american. Kweli wasanii wa flava ni ma-alosto tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...