Jk akimsalimu na kumpongeza Mwanaidi Salum aliyejifungua mtoto wa kike muda mfupi baada ya Rais Kufungua kituo cha Afya Kisarawe, mkoa wa Pwani jana. Pembeni ya Rais ni Mganga mkuu wa wilaya ya Kisarawe Dr.Martha Kisanga. Jk yupo mkoani Pwani kwa ziara ya kikazi ya wiki moja ambapo mdau freddy maro wa ikulu anatuhabarisha kwa picha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Kkwete ana mapenzi sana na watoto na jamii kwa ujumla ni mtu yuko simple sana ajikwezi

    ReplyDelete
  2. Jamaa Poa sana huyu. Tatizo hana nguvu ya kuzuia UENEAJI WA RUSHWA TU.

    ReplyDelete
  3. No cribs for neonates!!!! Maisha ya bongo ni tambarrrrarrrrreeee

    ReplyDelete
  4. Hiyo rushwa inahitaji nguvu ya wote sio ya mtu mmoja, mtoaji na mpokeaji kwa rushwa ndogo, hata rushwa kubwa.

    Dawa ya rushwa ni kukataa kutoa, kupiga kelele u peke yake haisaidii.

    Hongera Mheshimiwa Rais manake hata masikini nao wataonekana, kwani watumishi wa serikali wakisikia Mheshimiwa anakuja utaona wanavyochakarika kupaka rangi majengo, kukarabati barabara n.k kweli mgeni njoo mwenyeji apone.

    ReplyDelete
  5. Hiyo rushwa inahitaji nguvu ya wote sio ya mtu mmoja, mtoaji na mpokeaji kwa rushwa ndogo, hata rushwa kubwa.

    Dawa ya rushwa ni kukataa kutoa, kupiga kelele tu peke yake haisaidii.

    Hongera Mheshimiwa Rais manake hata masikini nao wataonekana, kwani watumishi wa serikali wakisikia Mheshimiwa anakuja utaona wanavyochakarika kupaka rangi majengo, kukarabati barabara n.k kweli mgeni njoo mwenyeji apone.

    ReplyDelete
  6. Mtoto hachelewi kuitw Jakaya hapo. Ha ha haaaa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...