mdau nasibu mwanukuzi a.k.a. ras nas anayeishi uswidi kaanzisha tovuti ya kusaidia maendeleo ya muziki wa kiafrika na mashairi. mcheki mkongwe huyu kupitia hapa http://www.kongoi.com/ na mimi nachukua nafasi hii kumshukuru sana ras nas kwa kunipa shavu kwenye tovuti hiyo maridhawa
mdau nasibu mwanukuzi a.k.a. ras nas anayeishi uswidi kaanzisha tovuti ya kusaidia maendeleo ya muziki wa kiafrika na mashairi. mcheki mkongwe huyu kupitia hapa http://www.kongoi.com/ na mimi nachukua nafasi hii kumshukuru sana ras nas kwa kunipa shavu kwenye tovuti hiyo maridhawa

nani huyo...samora machel?
ReplyDeleteAah! Sasa weye vipi? Kwani kila mtu mwenye madevu anaitwa Samora? Wakongo walishasema "Motonioso mandevu na mandevu, Mokolo nani?" Upo hapo? Huyo jamaa ni mbongo fulani hivi anayefanya kazi za usanii ughaibuni.
ReplyDelete