wafanyakazi wa clouds 88.4 fm wakiwa nje ya kanisa la pentekoste la kinondoni mchana huu kuaga mwili wa aliyekuwa meneja wao mkuu hayati godfrey odhiambo anayetarajiwa kusafirishwa kesho kwa ndege kwenda kwao kisumu, kenya, kwa mazishi ambayo yamepangwa kufanyika siku ya jumamosi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kweli msiba umeingia! Nimetoka kupiga box nikataka kuwakosoa ,lakini naona wote wana sura za majonzi,manake nilifikiria kunawaliokuwa wanatabasamu.Ingawaje naona kuna wengine wenye uchungu zaidi ya wenzao,hayo yote yanachangiwa na mahusiano ama utu wa mtu.

    ReplyDelete
  2. Poleni sana wandugu! Fina usilie sana ndio maisha dadangu. Mikonoooozzzz!! Jamaa mwenye nyeusi vipi bro mbona mikonozz kwa sana?? Taratiib baba tuko msibani!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...