HABARI ZIMEINGIA PUNDE KWAMBA KUMETOKEA AJALI YA NDEGE NDOGO YA KUKODI MJINI MOSHI, MKOA WA KILIMANJARO, NA IMEELEZWA KWAMBA WATU WAWILI WALIOKUWMO HUMO WAMEPOTEZA MAISHA YAO. JUHUDI ZINANDELEA KUPATA HABARI ZAIDI...
Home
Unlabelled
ajali ya ndege moshi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Ndege gani sasa michuzi bwana sisi watu wengine we have relatives who works for airlines sasa usiposema vizuri unatutisha na ndio wewe wa kutupa habari
ReplyDeleteAliyefariki ni Rubani Baraka Lutwaza.
ReplyDeleteCessna 172 namba 5H-FUN ndege ndogo ya abiria watatu.
ReplyDeleteAbiria walikuwa paragliders. Inasemekana habari za uhai wao siyo nzuri.
Abiria ni raia wa kigeni.
Namba haijawa ya hakika, inasemekana ni abiria wawili au watatu.