jumla ya watu saba walipoteza maisha kwenye ajali hii ilotokea jumapili huko singida

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Uso kwa uso, Mungu wangu hizi ajali za sasa zitatumaliza Tanzania.

    Na gari lenyewe linaitwa adventure!°!!

    ReplyDelete
  2. Inasemekana kuwa Ajali hii Mbaya ilitokea Majira ya 4-5Usiku!! Na ninavyo fahamu mimi ilishapitishwa Sheria kuwa Mabasi ya Abiria yaendayo Mikoani mwisho wa kufanya safari ni saa12 jioni!! sasa kulikoni tena jamani??? au sheria hii ipo katika baadhi ya Mikoa tu??

    ReplyDelete
  3. Huyo mwenye basi alikwenda kufanya nini upande huo wa lorry? Wadau angalieni diesel ilivyomwagika inaonekana imeelekea kushoto to katikati. ni wazi mwenye basi alilifuata lorry kule liliko. Nadhani alifanya hivi akijaribu kuweka upande wa abiria kwenye uso wa lorry.

    ReplyDelete
  4. Jamani hivi hizi ajali kila siku zinaua watu kwanini nothing is getting done about it? Tunakaa tunachekacheka wakati watu wanakufa... Hivi hawa madereva wanapata mafunzo ya kutosha kabla ya kubeba roho za watu au wanakuwa ndugu wa wamiliki wa hayo mabasi? Mimi naona tunahitaji viongozi competent wanaofuatilia haya masuala na kufanya mabadiliko kama kuongeza mafunzo ya udereva au adhabu kwa wamiliki au both. Nimechoka kusoma kila siku ndugu zetu wanateketea kwenye ajali za haya mabasi. Inabidi tuanzishe sheria za kutaifisha haya mabasi kama wafanyabiashara wanazembea masuala ya usalama..

    Mdau - Boston, US

    ReplyDelete
  5. Ajali hizi asilimia 100% ni uzembe wa madereva.Mimi nimenusurika ajali mara 2 hizihizi za mwanza-Dar.Siku hizi wameruhusu magari kutembea usiku lakini inabidi uwe umevuka mageti kabla ya saa 4 usiku.baada ya hapo barabara ni yao ruksa kutembea hata usiku wa manane.Sasa madereva huwa wanakimbia sana ili kuwahi kuyavuka yale mageti kabla ya muda huo.Kwakweli mwendo wanaokwenda ni wa hatari mnoo.

    ReplyDelete
  6. Salamu za rambirambi kwa ndugu waliofiwa

    ReplyDelete
  7. AJALI NI KITU KILICHOTOKEA BAHATI MBAYA, HU NI UZEMBE SI AJALI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...