Mama wa kwanza,Salma Kikwete(kushoto) akiwa katika mazungumzo na Mama wa kwanza wa Namibia,Madam Penehufipo Pohamba(katikati) na Mama wa kwanza wa Namibia,Mrs.Guebuza jijini Addis Ababa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 30 mpaka sasa

  1. ....surely you meant "Mama wa kwanza wa Msumbiji, Mrs. Guebuza"

    ReplyDelete
  2. Misupu, sasa hii si utani wa "mtaa wa Saomra street" Hiyo huwa tunakuelewa, lakini ya Mama wawili wa kwanza wa Namibia! Sijui kama ni utani. Hebu soma tena maelezo ya picha hii.

    ReplyDelete
  3. Rais wa Namibia anaitwa Hifikepunye Pohamba (sasa sijui huyo mkewe ndo anaitwa nini, Penyehufipo?). Na huyo Mrs Guebuza ni wa Msumbiji (mumewe anaitwa Armando Emilio Guebuza). Weka sawa hii bro Michuzi.

    ReplyDelete
  4. Michuzi rekebisha uandishi please. Umewataja wote hao wawili kama ni mama wa kwanza wa namibia!

    ReplyDelete
  5. Umenikumbusha Bibi Titi Mohamed,mpiganaji uhuru maaruf!!!

    ReplyDelete
  6. Umenikumbusha Bibi Titi Mohamed,mpiganaji uhuru maaruf!!!

    ReplyDelete
  7. Hapa Misupu Umeniacha..Fafanua Vizuri Mama Wa Kwanza Namibia Wako Wangapi?

    ReplyDelete
  8. Hii kali inamaana Namibia kuna mama wa kwanza wawili au mimi dnio sielewi hii swahili!!!!1 hi

    ReplyDelete
  9. MICHUZI UMECHEMSHA TUKUSAIDIE!!! Mama wa kwanza,Salma Kikwete ni wa TANZANIA na Madam Penehufipo Pohamba(katikati)ni FIRST LADY WA NAMIBIA wakati Mrs.Guebuza ni FIRST LADY wa BOTSWANA. Vipi wewe, husomi magazeti nini au kusikiliza radio!! Somo la URAIA hapa ndio kwao. Naomba usinibanie watu waonee!!!

    ReplyDelete
  10. bro michu eeh. mbona mama wa kwanza wa namibia mara 2. au macho yangu?

    ReplyDelete
  11. jamani hivi kumbe Namibia Rais wao ana wakwe wawili au Bw.Michuzi ndiyo umeanza ukishoka?

    ReplyDelete
  12. huyo anaefuatia ni primeira dama da repuplica de moçambiqui MARIA DA LUS(mrs GUEBUZA-Msumbiji)

    ReplyDelete
  13. dU MAMA YETU ANAJUA KUPENDEZA BANA WACHA TUMPE SIFA ZAKE. YAANI HAPO KAWAPIKU WOOOOTE

    ILA UMEKOSEA MAMA WA KWANZA WA NAMIBIA AMEKUWAJE NA MAJINA MAWILI?

    KEEP UP SALMA!!!

    ReplyDelete
  14. Michuzi rekebisha maelezo yako. Hao wengine wote naona umewa-address kama Mama wa Kwanza wa Namibia.

    ReplyDelete
  15. Mama wa kwanza Namibia wapo wawili Michuzi? Au umejikoroga tu!

    ReplyDelete
  16. Bro Michu hivi Namibia ina Mama wa kwanza wangapi? Au huyo mwingine ni wa Botswana? Caption ktk hii picha inanichanganya.

    ReplyDelete
  17. aa michu unatuyeyusha..sasa Namibia kuna mama wa kwanza wangapi? hebu rekebisha mkuu

    ReplyDelete
  18. Hey Bro Michuzi! Mbona Namibia ina first ladies wawili. Ina maana ni wake wenza au umekosea?

    ReplyDelete
  19. Ewe mtoto wa kike, acha umbea mbea

    ReplyDelete
  20. Michuzi Mchemsho huo. Yaani huyu jamaa wa Namibia ana wake wawili? Kila mtu ana jina lake mmoja Mrs mwingine Madam...Yaala toba! Hebu rekebisha "Mama wa kwanza wa Namibia,Madam Penehufipo Pohamba(katikati) na Mama wa kwanza wa Namibia,Mrs.Guebuza jijini Addis Ababa."

    ReplyDelete
  21. michuzi unachemsha these days,unakula mjani nini.

    ReplyDelete
  22. Kwa hiyo Namibia kuna first lady wawili.

    ReplyDelete
  23. Misupu, sasa naona unataka kutuchanganya, hao akina mama wa kwanza na Namibia wako wawili? Katika hiyo picha, mama wa kwanza wa Namibia ni nani kati ya Penehufipo na Guebuza?

    ReplyDelete
  24. Hivi hao mama wa kwanza wanaongea lugha gani? Kiswahili, Kireno ama Kijerumani?
    Naomba kuwakilisha

    ReplyDelete
  25. Yakhe,nani anajali hao mabibi wanazungumza lugha gani...lakini nikuhakikishie kitu kimoja kwamba hawapigi gumzo kwenye lugha yangu na yako bali ni special lugha za DOLLAR,SWITZERLAND,USA,ARMANI,GUCCHI,...je umenielewa?

    ReplyDelete
  26. Yakhe,nani anajali hao mabibi wanazungumza lugha gani...lakini nikuhakikishie kitu kimoja kwamba hawapigi gumzo kwenye lugha yangu na yako bali ni special lugha za DOLLAR,SWITZERLAND,USA,ARMANI,GUCCHI,...je umenielewa?

    ReplyDelete
  27. Jamani ehee hapo sijamwona LUCY KIBAKI au kabaki nyumbani kulinda ikulu mama ODINGA asiingize timu.

    ReplyDelete
  28. je mama wa kibongo mbona hana mkalimani coz kienglish wagana kina richabo kidogo kidogo!mi naona jk amtwagwe scholarship kama mwaka moja YUESI EI kuaitwa

    ReplyDelete
  29. Mwanawani Michuzi angalia!! Muvuyangile(Sumu)uzeeni haifai,unaadhirika hivihivi.

    ReplyDelete
  30. si mchezo salma anajua kufunga kilemba, amependeza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...