Home
Unlabelled
fulanazzzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kaka michuzi kweli hako kafulana kametuchosha machoni mwetu, inabidi ufanye mpango utafute kengine kwakweli haa!!
ReplyDeleteFulana wapi unataka kuturingishia mikonnozzz!!!, angalia mzee, mke wa mtu huyo!!!!
ReplyDeleteNikijua tu unakaaga wapi nakavizia hako kaflana nakaiba then tuone utavaa nin.
we kila siku kaflana hako hako tu??!!!
Kama ngozi!!!!!!!!!!
KWENYE PICHA KULIA NI HUSSEIN WA BANBURY AU MACHO YANGU?MBONA UMEZEEKA MZEE WA GOOD-DAY.
ReplyDeletebongo kunachosha kweli, huyu hussein kaenda juzi tu sasa hivi anonekana kama mdingi. nilimwambia asiende lakini hakusikia! mama wa kizungu yupo wapi?
ReplyDeletesalehe..mayor wa banbury
Ndugu yangu hako kafula kako na wewe nae, naamini sio moja unazo nyingi, kwa maana toka unatupiga picha enzi za Kawe bich unako,Michu unakumbuka Kimamba Fresh na Fantastic Connection squad na cool brother,tulivyo kuwa wadogo, heeee nimeshangaa umejikweza mpaka ukakwezeka mtoto. sasa ngombea na wewe u PM basi maana unafaa, ili unipacheke kwenye ukusanyaji pesa kwenye paki za mjini.
ReplyDeletewanaoweka maoni watumie majina yao sio kutumia majina yawenzao hiyo ni kutojiamini au ushamba.na ujuwe unajulikana huja jificha kwa technologia ya sasa kwani taminal uliotuma message unaonesha take care
ReplyDeletewanaoandika maoni watumie majina yao wasitumie majina ya wenzao huo ni ushamba na kutojiamini unajulikana technologia imekuwa babu, taminal uliyotumia ndio chanzo ya kukujuwa take care
ReplyDelete