Kipindi cha Idhaa ya Kiswahili ya BBC
‘Dira ya Duni’, kitarusha hewani mahojiano na mshairi-na msanii mkongwe wa muziki wa dansi, Nasibu aka Ras Nas, Ijumaa hii (29 Februari) kati ya saa moja na moja na nusu jioni, au 19:00 – 19:30 East African Time (EAT).Mahojiano hayo, yalochanganyika na masala ya vibao vipya toka kwenye nyu albam ya ‘Dar-es-Salaam’, yatafanyika baina ya Ras Nas na mtangazaji mahiri wa Idhaa hiyo, Idd Seif. Baadaye kipindi hicho kinaweza kupatikana kwenye podikasti mtandaoni.
Wadau
kaeni mkao wa kusikiliza!
Kongoi Productions
http://www.kongoi.com
‘Dira ya Duni’, kitarusha hewani mahojiano na mshairi-na msanii mkongwe wa muziki wa dansi, Nasibu aka Ras Nas, Ijumaa hii (29 Februari) kati ya saa moja na moja na nusu jioni, au 19:00 – 19:30 East African Time (EAT).Mahojiano hayo, yalochanganyika na masala ya vibao vipya toka kwenye nyu albam ya ‘Dar-es-Salaam’, yatafanyika baina ya Ras Nas na mtangazaji mahiri wa Idhaa hiyo, Idd Seif. Baadaye kipindi hicho kinaweza kupatikana kwenye podikasti mtandaoni.
Wadau
kaeni mkao wa kusikiliza!
Kongoi Productions
http://www.kongoi.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...