Kama wewe ni mpenzi wa matangazo ya redioni,hususani ya idhaa za kigeni,basi jina la Mohamed Abdulrahman(pichani)kamwe haliwezi kuwa geni kwako. Huyu ni mmojawapo kati ya watangazaji mahiri na wakongwe ambao nchi yetu ya Tanzania inajivunia. zaidi nenda www.bongocelebrity.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...