pedejee wa kigogo
pedejee wa tmk
pedejee wa kurasini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. Sasa haja ndogo na kubwa vipi!!!hebu tujulisheni???

    ReplyDelete
  2. Michu umemsahau yule muuza kahawa wa Kigogo naona naye ni namba tatu.. mtafute utundike picha yake nayeye.. (dRU)

    ReplyDelete
  3. wajuu ni pedeje wa kweli lakini wa chini ni askari anazuga.FBI wa bongo bwana noma kwelikweli!!!

    ReplyDelete
  4. Hawa lazima watakuwa wamechanganyikiwa!utavaaje namna hiyo bwana,mavazi gani hayo...nadhani wanaukichaa fulani kwenye vichwa vyao..

    ReplyDelete
  5. Michuzi,

    Naomba kuuliza. Unakumbuka yule jamaa ambaye siku za sikukuu anavaa viatu raisi oni, kofia na madubwasha mengine kama ya miaka ya 70. Daily News walikuwa wanapenda sana kumpiga picha siku hizo. Jina lake nimesahau. Kama unayo picha yake kwenye archive zako tuwekee.

    ReplyDelete
  6. ukimpiga mbele na tai hivi anaonekana nafuu...ukimpiga nyuma ndo utaona ukweli kama anapendeza au ni zile zile za kunyea humohumo

    ReplyDelete
  7. huyo wa juu ni mavazi ya kweli. na huyo number tuu alikuwa anaenda kupafomu ze comedy mitaa ya kati - Ben86

    ReplyDelete
  8. hiyo #2 inanikumbusha sana rapa wa marehemu pepe kale bileku mpasi naona hii imetulia

    ReplyDelete
  9. pedege ndio nini jamani? mbona mnatuacha hoi wengine

    ReplyDelete
  10. Unataka tulipigie kura ili liwe vazi la Taifa nini?
    Wendaazimu hao siwafagilii naona kama wamekosa la kufanya katika kujitafutia umaarufu

    ReplyDelete
  11. kwanini watu nyingine nasema hiyo sio mafasi kwani wanatembea uchi???? tuache wivu usio na maana we anon wa Thursday, February 28, 2008 7:19:00 PM EAT

    ReplyDelete
  12. Nilisoma mahali pedeje ni neno la asili ya kifaransa PDG yaani President Directeur Generale (President Director General). Its the French term for CEO (cheif executive officer).Kwa hiyo pedejee ni mtu bosi bosi

    ReplyDelete
  13. Anon feb 29, 9:19 umenena vema na kwa kuongezea kwa faida ya aliyeuliza kwa matamshi kiswahili yanasomeka pedejyee wazairwaa huwa wanatamka vema zaidi kwa ajili ya lafudhi zao, pia ni jina la mapapa wenye kujipenda na watanashati kujipamba na mipete mikubwakubwa na macheni ikiwa ni gold au mchovyo, na kukata vema nywele zao kwa mtindo wa boks na miwani kwa pembeni,baadhi yao huwa wanapesa kikweli ila wengine fix tu wapate mradi wao. nimesomeka?

    ReplyDelete
  14. michuzi naomba kuuliza hivi hawa ni wacheza shoo ya bongo man nini? maana kama wametokea congo......

    ReplyDelete
  15. kaka Michu unatuacha hoi, huyo wa kurasini naona anaongoza maana mpaka viatu ni bab kubwa

    ReplyDelete
  16. pedejee wa kurasini

    ReplyDelete
  17. naona hao wamepiga kinyume cha kk aka kata ku**u.

    ReplyDelete
  18. Michuzi ,

    It's over, It's over( For those who listen to Jim Rome will understand what a'm talking about )...Padejee from Kurasini rocks ! .

    ReplyDelete
  19. ISSA JAMAA KABILA HII SIO MCHEZO UNAJUA KUPATA "..IDENTITE NI NOMA.." WATU WANA WORK HARD KIASI CHAO..

    ReplyDelete
  20. Pedegee, Richmond,EPA, Balali,BOT wanapeta mitaani bila tabu kwa kifupi....Maigizo bado yanaendelea

    ReplyDelete
  21. NIMEGUNDUA...hawa jamaa mashati yao mafupi sana, hayashuki chini ya vifua vyao. yaani wanatembea matumbo wazi ndio maana wamevaa suluwale za ngongoti ili kufidia ufupi wa mashati. waambieni wavae bila kuchomekea ndoo mtacheka zaidi

    ReplyDelete
  22. Huyo wa Kurasini ni kiboko ya majarida. Kwanza tuu kiatu yake ni kama cha Abunuwasi. Halafu anavyokata mtaa anaonekana kama yuko busy sna na upedejee wake.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...