WAZIRI MKUU MTEULE MH. PINDA AMESEMA YEYE NI MTOTO WA KWANZA KWENYE FAMILIA YAO NA ANA SHAHADA YA SHERIA YA CHUO KIKUU NA KWAMBA AMEFANYA KAZI KAMA MSAIDIZI WA RAIS IKULU TOKA ENZI ZA MWALIMU KWA MIAKA 7, KWA ALHAJI MWINYI MIAKA 10 YOTE NA MIAKA KAMA MITANO KWA MH. MKAPA KABLA YA KWENDA JIMBONI KWAKE MPANDA KUOMBA KURA KUWA MBNGE MWAKA 2005.
Home
Unlabelled
PINDA AJIELEZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...