Home
Unlabelled
bongo tambarare
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni kweli, ila tatizo bado liko kwenye yale maeneo ambayo watu wa mipango miji hawajapashuhulikia ipasavyo.Natamani Michuzi uwapelekee ujumbe.
ReplyDeletekweli tambalale, na ni tambalale mpaka mifukoni, ukimsachi hapo hana hata mia mbili.Si unamcheki hilo poz, anatamani hayo maji yasingekuwepo angekatiza kwa miguu hadi magorofani, hana nauli. Mweeee!!!!
ReplyDeleteHuyu mtu mbona kakaa kama kibaka
ReplyDeleteJamaa wa lifeboti mko?inaonekana yakhe kaganda, isiwe mkachelewa na mjomba azame!!!
ReplyDeleteMi naona huyu anasubiri kuzamia meli ili aje majuu!
ReplyDelete