Home
Unlabelled
dampo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
HAYO MAGARI NI BORA UMUOMBEE MANKA MAANA YEYE ANATAKA MUME MWENYE MAGARI SASA KWA HASIRA MPE YOTE
ReplyDeleteHAYO MAGARI NI BORA UMUOMBEE MANKA MAANA YEYE ANATAKA MUME MWENYE MAGARI SASA KWA HASIRA MPE YOTE
ReplyDeleteHAYO MAGARI NI BORA UMUOMBEE MANKA MAANA YEYE ANATAKA MUME MWENYE MAGARI SASA KWA HASIRA MPE YOTE
ReplyDeletemichuzi si ungeongea na jamaa akakwachia halafu ukawaambia vijana wa bongoflava walipie nauli tu wajipatie vijigari angalau manake wanashida sana miguu imekomaa, vumbi kali mwisho sauti zinakwaruzakwaruza kwenye miziki yao
ReplyDeleteDuuh, huyu mshikaji kwa kamba!...aah kwa kweli sikuwezi michuzi....Hii ndiyo inasababishaga watu tukirudi bongo watu wanathubutu hata kutuagiza tuwaletee mchanga wa kiwanja waone unafanana vipi, kwa sababu ya watu kama wewe michuzi mnaowapiga watu fix....hizo ndinga zinaenda kuuzwa, labda mnadani huko..
ReplyDeletemdau 9:35Pm hizo ni junkies kaka/dada huoni zilivyobondeka?Gari zinazokwenda sokoni haziwi namna hii.Inavyoonekana huko ujiji wanazisafirisha powa kuliko hapa usagara ambapo zinapondwa kama chapati kabla ya kuzirudisha mtamboni.
ReplyDeleteHalafu ndio yule mjasirimali wa Japani anataka kutuletea haya bongo. Wakati wengine wanayadump yeye analalamika kuwa wanawatoza ushuru mwingi kwa kuingiza magari mazee...
ReplyDeleteUjue hatutaki kuwa dumpo
huko hata kudump gari unalipa
Wewe na Manka hapo juu mbona umemmind sana....unamtaka nini..?????.Hee!!!! story ya juzi ilishakuwa zilipendwa wewe bado uko na Manka Manka....
ReplyDeletekama unamtaka muemail au qualification zako chini ya magoti nini ???? ndio maana unatoa hasira huku...hebu tuondolee hayo mambo yalishapita...
Ndiyoooo...naona unayafuatilia kuona yanakotupwa ili uangalie jinsi ya kuyarudia
ReplyDeleteKwa sie hapa ujiji hayo magari yaenda tupwa kweli sio utani. Kaka Michuzi haongopi jamani. Ujiji ndio yenyewe kwa utengezaji wa magari, magari yatengenezwa hapa kuanzia Porsche, mercedez, BMW etc. Tena karibu sana Michuzi huku Stuttgart na Munich
ReplyDelete