




PICTUREZ FROM DJ RULE BIRTHDAY BASH@CLUB SENSATIONS, BIRMINGHAM LAST SATURDAY.
MANY THANKS TO THE BONGOFAMILY, DA TWINZ FROM BEN TV, BARAKA BUZZIE PRODUCTION, ALL DA DJZ, STRIPERS AND EVERY BODY WHO TURN UP.WAS A NYT TO REMEMBER.
DONT FORGET WE WILL BE@CLUB SENSATIONS THIS SAT FOR ANOTHER CLASSIC NYT.
FOR MORE INF AND PICTURES VISIT WWW.BONGOUK.COM
Tunafuhishwa kuona ndugu zetu wakiwa na nyuso za furaka katika nchi za ugenini kwa kujumuika pamoja na kula maisha baada kazi ngumu za werehouse laki bado wana furaha wakiwa wanakula beer na huku wana kama bibi Tumefurahishwa wandugu
ReplyDeletemtoa maoni 1:13...nani kakwambia watu wote huko wanafanya kazi warehouse?..acha watu wajiache!!!
ReplyDeleteGuido.......naona kaka mambo safi, enjoy...mdau wa zamani wa Wolves
ReplyDeleteHadithi za Nyumbani ni nyingi sana,la kushangaza ni kuona watu wanaponda Mabox,Warehouse ,Maisha mabovu Ughaibuni.Kama wewe uko vizuri nyumbani kwenu tulia Baba,usikute unaishi kwa Baba na Mama huku unawaponda wenzako walio Matawi ya juu.
ReplyDeletewala vumbi hapo mkia mpaka kifuani
ReplyDeletekazi za warehouse nani kakwambia ni ngumu wabongo wanafanya kazi za warehouse ndio zina pesa kubwa usifikiri kazi za ofisi hatuzioni au hatuwezi kuzipata warehose 10 pound per hour nakuuliza umeshawahi kukamata pesa kama hio wewe au unazisikia kwa mafisadi tu hapo bongoland.
ReplyDeletehuyo anaewasema watu wa warehouse nahisi ni kati ya wale mapedejee uchwara watatu michuzi aliyetuwekea,sasa anawaonea watu wa ulaya donge tu.
ReplyDeleteguido nakuona yule dada yako linda yukwapi siku hizi, michuzi mambo yako poa.
ReplyDeletewewe unae muuliza guido dada yake linda yuko wapi siku hizi..wewe ni nani? mie nipo tu..
ReplyDeletelinda..
nakufahamu linda tokea dar, hivi uko wapi siku hizi, taratibu linda me nakujua, nilipomuona guido ndo nikakukumbuka, asante michuzi.
ReplyDeleteNaona wabeba box wanaselebuka! Mmependeza ndugu zangu!
ReplyDeleteok , wewe nani ? maybe na mie nakujua ndio maana nakuuliza wewe nani.. anyways mie niko canada.. take care.
ReplyDeletelinda
na huyo comfort anatoka na nani tena, aisee michuzi unatukumbusha mbali, guido naona mambo yamekucha.
ReplyDeleteHUKO BEBENI MABOX TU SISI TUNAJICHANA NA PESA ZA EPA NA KUNUNUA MAJUMBA NA HAYO MABOX YATAWAUWA. HUKU MWENYE PESA HAKAMATWI TUNAPETA KIULAINI KAMA TUNASUKUMA MLEVI,
ReplyDeleteHII PICHA BONGO AU WAPI????KWANI MBONA WATU WAMECHOKA SANA....MIMI NAISHI HOLLAND SIJAONA WACHOVU KAMA HAWA....USIBANE HII MICHUZI KWANI NAJUA UNANIBANIA KIBAO ZA UINGELEZA.MDAU OO316.
ReplyDeletesio siri Guido dem wako Modesta mzuri ukimwacha me ntamwoa hata akiwa mzee ntangoja tu.. maana nampenda sana sema wewe uliwai mapema
ReplyDeleteMichuzi sweetheart, who are these idiots??
ReplyDeletemichuzi mwambie linda akutumie picha sijamuona siku nyingi, nawakilisha asante michuzi.
ReplyDeletelo hata sisi tuliobongo tunaafadhali hamna kitu hapa msituwekee upuuzi wenu siku nyingine hapa sura zimechoka
ReplyDeletewewe kaka/dada unayetaka nitume picha kwa michuzi naona ndugu hunitakii mema, unataka nipakwe au ? maana si unawajua wabongo? anyways ..u can write 2 me na email yangu ni: mkami16@yahoo.com
ReplyDeletetake care buddy..
Hapo kakosekana Mecky tu!!!
ReplyDelete