Home
Unlabelled
fulanazzzzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Karibu sana kwetu.
ReplyDeletemmh! Michuzi kwa vekesheni sikuwezi ndugu yangu!!
ReplyDeleteinamaana hizo siku tatu tu,ulizo kaaa huko ujiji ndio umekuwaga mweupe namna hiyo?amakweli ujiji kuzuri
ReplyDeletenakuona Michuzi ndani ujiji,yaani hapo unanikumbusha kule kwetu tokyo(mwakaleli)
ReplyDeleteMISUPU BANA AU JK ILE TRIP YA UJERUMAN NDIO HIYO? KULA KUKU KAKA MAISHA NDIO HAYA HAYA.ENDELEA KUTUHABARISHA .
ReplyDeleteNo misoup no no no no yaani hutoki bila ze t-sheti hadi majuu unatutia aibu.uroho tu
ReplyDeleteJamani hakuna dryer? mpaka usubiri muda wote huo fulana!!!
ReplyDeleteKaribu sana Mithupu! Nitakutafuta!
ReplyDeleteNiletee simu ya Nokia yenye kamera ......
ReplyDeleteMwantumu
Tafuta basi Tshirt nzuri kama ya abou na wewe ningekuwa yeye siku ya kuondoka nailoweka kwenye maji. Hehe na wewe umechemsha kama falaviana matata kuenda bika koti utawajua wabeba boksi. Ila kweli dryer nehi? ingekuwa summer ningeelewa kuanika nguo nje hata wakati wa baridi? ua umeme ulikatika?
ReplyDeleteMhhhh mkuu michuzi big up umejitahisi sana sio mchezo yaani ujurumani au sio babu kubwa kula kula kuku kwa mlija hamna kulaza kitu peleka vyote
ReplyDeleteMithupu kun'guta hiyo fulana bwana ikauke, kwani wewe umefikia hakuna drier huko!!! Angalia haka kawinta hakakaushi nguo haka katakugandishia fulana yako tu iharibike bure, mie nitasikitika sana Mithupu!
ReplyDeletemIchuzi bwanaaa!!kumbe uko safarini ndio maana blog inatawaliwa na manka na mchumba wake!!ebu rudi bwana,tumechoka kusoma love story hapa za manka mushi
ReplyDeletehizo fulanazz ni midebwedo za thailandi unataraji nini alitengeneza ajalipwa na kama kalipwa amepunjwa na aliyeleta bongo kakwepa ushuru sasa hizo kukauka mpaka pesa ya epa na richmond zirudi zote na hizo ndio zitakauka hata ukiweka ktk dryer maana ni za kifisadi hizo,na hizo hizo kila siku wewe misupu
ReplyDeletesasa vidate vinadai simu na laptop kila mtu anadahi ulichohaidi misupu,umekula vya watu sasa walipe,na my wife wako anaona sasa ni soo kilo kumi hiyo misupu
ReplyDeleteeish !!! shabash !!
ReplyDeletemichuzi kiboko karibu ujerumani na asante sana wka kutupa haabri ukiwa uko ubarikiwe sana.
ReplyDeleteIssa Michuzi. Leo vaa hiyo flana yako Liverpoolfc ikicheza inaonesha flana ya bahati nzuri hiyo, leo Bwawa la maini ikifungwa wataongea sana humu. ukirudi Michuzi niletee Viatu vya mpira Size 10 na Jezi ya Bwawa la maini Na Simu Mpya ya Video Camera Sawa. usipoleta Blog tutaiwekea Virusi LOL!. Inshallah urudi salama.
ReplyDeleteHahaha Issa Michuzi Koti kubwaaa! unasubiri Vibajaji nini hapo hawatoi Lifti huko Vibajaji hakuna toa pesa upande Taxi LOL!. Vibajaji oyeee kudadadadeki. angalia vizuri wale wabaguzi mipara ya hitler huko noma.
ReplyDeletesasa hapo council estate...hata kukausha nguo zilizofuliwa,mpaka mgoje jua mwezi Julai...kabla hivyo hayo mafulana na vyupi kwanza vitaganda!!!kweli ulaya ushamba tuu...bora sisi wasafwa...tunaenda kando ya mto...pigapiga na mawe,na bila pasi..tayari kuvaaaa...
ReplyDeleteMichuzi vaa sweta mzee, baridi hiyo isikuumize tukakosa habari.
ReplyDeletedah hayo magari ya yuropa ovyo kama ya bongo.Kweli Usagara kunatesa.
ReplyDeletedah hayo magari ya yuropa ovyo kama ya bongo.Kweli Usagara kunatesa.
ReplyDeleteMichu, hako kafulana katakauka siku ya kurudi Bongo, bora kanunue nguo za baridi hapo Ujerumani.
ReplyDeletemi nina wasiwasi nawe michuzi utakua mtu wa usalama wa taifa na ndio mana habari zako nyingi zinawanyanyapaa wazungu,na kwa nini nasema hivi mana popote aendapo waziri mkuu,ama rais basi we hua huko kabla,kama wafanyavyo wazee wa kazi ambao mwajiriwa wao ni CCM na si serikali,ila yote ya yote fulanaz mpk iongee mwaka huu bwana la maini naona linafanya kufuru huko maeneo ya milano
ReplyDeleteKaka michuzi karibu kwetu ujiji, ila tafadhari hii fulanazz mi na wasi wasi nayo, we m2 wa pwani sio...? siku nyingine iache kwenu huko huko, isije ikatuingilia sisi tulio kwenye vekesheni daily.
ReplyDeleteSasa Michuzi mambo yakuanika nguo mpaka ujerumani duuu...kwani host hana dryer au ndiyo utabidi ulipie halafu fulanazzzz ni moja hahahaha pole bro. Mdau T-Dot
ReplyDeleteDah nmecheka mpaka basi IoI sasa ni kwamba itaisha nguvu ya bagamoyo ikiingia kwa dryer au host anabana matumizi jamani mishiko yote hiyo IoI haya kaka karibu London tukurushe kama uliacha vidole ubalozi.
ReplyDeleteLondoner
Michuzi wewe na Liongo wote bonge la wakulima.
ReplyDeleteJamani misupu kauka nikuvae mpaka Majuu?
ReplyDeleteMichuzi nae kwa kutuchuuza!!! eti ni 'siku ya kwanza ya pili na ya tatu' wakati mi nikiangalia background za siku ya pili na ya tatu ni ile ile ikimaanisha kuwa picha zilipigwa almost ndani ya tofauti ya dakika chache kwa sababu magari yaliyoonekana siku ya pili na hiyo inayodaiwa ni siku ya tatu ni yaleyale! Acha kutuzuga bwana hata sisi tuna macho si watoto wadogo wasiotofautisha!
ReplyDeleteHongera kaka michu kwa kuwa ndani ya ujiji, nakutakia kheri, kaka katika picha ya tatu kuna kagari kadogo sana kanaonekana kwa mbali naona ni ajabu kidogo unaweza kutupa habari zaidi tupate kujua vikoje hasa kwa picha ahsante nategemea utatupa uhondo. nataka kujua ni vya watoto au watu wazima? au wadau wa ujiji nisaidieni.
ReplyDeleteETM
Dah mshkaji misupu, yaani wewe umekulia town na umesafiri sana lakini still bado ni bonge la mshamba sijawahi kuona!! Unatutia aibu sana mshkaji, badilika kidogo at least. Hallelluya wallah!!
ReplyDeleteKaribu sana kaka Michuzi.Naona umekuja pazuri baridi sio kali mwaka huu. Sasa huyu mwenyeji wako hana tumble dryer?
ReplyDeleteKaribu sana
Hallow michuzi, Mimi kwakweli namzimia huyo Aboubakar, naomba umuulize kama vipi nitume CV yangu, ni mtanzani mwenzake. Au ameshapata jiko??
ReplyDeleteKaka michu, siku mbili tuu umenawiri hivyo safi sanaa. Naona unakula nchi kaka...angalia tu hio account yako isije wekwa under survelance kama mafisadi au ndio unaamua kula vivakesheni vya mwisho mwisho wasije kukushtukia....Basi tumia vifweza hivyo kununulia replacement tishetis mshakaji...noma bwana kigaga hichohicho tu...na mavakesheni yote hayo...LOL wewe unaniua mbavu mkweli kaka yangu kwa katisheti kako hako, na kale ka Liverpool umekabeba nako mbona hatukaoni basi....
ReplyDeleteMichuzi Pls pls tutafutie picha kwa ajali ya theutamu za wabongo wa uko Ukerewe
ReplyDeleteMichuzi bila shakha nawe umekuja kujaribu BOX au sio... asikudanganye mtu, box linalipa babake. hapo unaonekana hivyo baada ya siku mbili je ukikaa mwezi utakuaje, maana utatakata kuliko presidaa wa FM academia. Im sure wala vumbi hawajafurahishwa na safari yako, soma comments zao!!??
ReplyDeleteMdau uliyeulizia kale kagari kadogo: kanaitwa Smart, ni kadogo na CC zake siyo kubwa na kanatumia mafuta machache sana lakini kanapiga masafa marefu kishenzi, na kama unavyojua waropa wanamaindi environment, kale kagari hakachafui mazingira kwa sana.
ReplyDeletemichuzi kaka yangu vipi hakuna mashine za kukaushia nguo au vipi,au huko ndio kutunza mazingira?
ReplyDelete