naambiwa hivi sasa konyagi inatamba ile mbaya huko marekani, baada ya kupatikana wakala wa uhakika wa kusambaza kilaji hiki ambaye anapatikana mara moja kama ukienda hapa: http://africangin.com/


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Misupu embu toa matangazo ya pombe. Wewe ni sheikh wetu una sigida huu mwenendo haufai.

    NB: Tafadhali usiiruhusu comment yangu iingie globuni hii ni msg kwako tu. Ibane kiaina si unajua walevi wengi wanaingia humu sasa wakiamka lazima watanipaka.

    ReplyDelete
  2. Pole mdau wa kwanza.
    Inaonekana Michu hapendi umbea ameianika coment yako

    ReplyDelete
  3. Michuzi marekani kubwa sana. Mimi nipo NY city na wala sijaiona ni kwa mwendo wa absolut vodca tu huku na rum ya kaka zetu.

    ReplyDelete
  4. huyo hapo juu ni Dardaking nini?, duh, jamaa kweli ni jasilimali, kila kona limo tu. any way vidumu vya nyumbani.
    Konkolomoko

    ReplyDelete
  5. Mbona bado website ni ile ile ya konyagiusa ya Bwana Julius Temu?

    Au jina tupu la africangin.com ni gimmick tu ya kufanyia marketing?

    ReplyDelete
  6. ahahaahha, anon wa kwanza umejistukia eheh?? nimekusamehe leo ila siku nyingine unatakiwa utumie akili, mdini mkubwaa weee. kwani umeambiwa hii ni blog ya masheik tuu??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...