PUNGUZO LA BEI 10% MARCH 2008


Jipatie lip shine (au Gloss) kutoka Marekani kwa kulainisha na kung'arisha LIPS kwa bei nafuu. Mteja unaruhusiwa kufanya yafuatayo:


1. Kujaribisha dukani kabla hujanunua, iwe perfume, enjo face, loshen, n.k.


2. Ukishanunua na kwenda nayo nyumbani TUNAPOKEA UKIRUDISHA DUKANI kama bidhaa ina hitilafu.


3. Kulimbikiza points kwa kutumia kadi zetu za duka na kupata PUNGUZO la vitu hata kama haviko kwenye sale.


Kumbuka: Duka ni jipya na bei ni POA za kujitambulisha kwenu. Tunapatikana SINZA Papambano Opposite na Samoma, Ulizia Duka la Vitu ORIGINAL vya Avon na Victoria Secret toka MAREKANI.


Tuandikie email


au wasiliana na

Mama Kev 0784 521171

au mwakilishi wetu aliyeko Marekani

simu namba +6517575407

ASANTENI NA KARIBUNI!!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. KUMBE HATA BONGO KUNA DEBENHAM? BORA NIRUDI KULIKO KUPIGWA NA BARIDI HUKU NISIJE NIKAGEUKAICE CREAM BURE.....

    ReplyDelete
  2. Sasa mbona mdau wa marekani number inaonyesha ni singapole....skyper inanishrge more money kw hii number mweeee

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...