
MAREHEMU JOSEPH NATIANOTA (SHENGI)
Familia ya marehemu Joseph Natianota (Shengi) tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa ndugu, marafiki, majirani na watu wote kwa ujumla walioshiriki pamoja na sisi kwa njia moja au nyingine katika msiba wa kufiwa na mtoto wetu, kaka yetu na mjukuu wetu mpendwa aliyeaga dunia tarehe 14 Februari, 2008 katika hospitali ya Oxford Radecliffe iliyoko Uingereza na kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania tarehe 23 Februari, 2008.
Tunapenda kutoa shukrani za kipekee kwa makundi yafuatayo:-
§ Madaktari na wauguzi wote wa hospitali ya Wexham Park na Oxford Radecliffe zote za Uingereza kwa jitihada zao za kujaribu kuokoa maisha ya marehemu.
§ Jumuiya ya Watanzania wote walioko Uingereza na sehemu zingine za dunia waliojitolea kwa hali na mali hadi kuweza kuusafirisha mwili wa marehemu kutoka Uingereza hadi Tanzania kwa mazishi.
§ Ubalozi wa Tanzania na tawi la Chama cha Mapinduzi huko Uingereza walioshiriki kikamilifu katika msiba huu huko Uingereza.
§ Uongozi na waumini wa Kanisa la Christian Revival Centre lililopo Birmingham, Uingereza kwa ushirikiano wao.
§ Uongozi na wanafunzi wa Chuo cha London School of Commerce kwa ushirikiano wao mzuri.
§ Uongozi wa Waumini wa Kanisa la St Mary’s la Slough, Uingereza kwa kuendesha ibada ya kumuaga marehemu huko Uingereza.
§ Uongozi na waumini wa Kanisa la KKKT Usharika wa Msasani, Dar es Salaam kwa huduma za kiroho wakati wote wa msiba na katika mazishi ya marehemu.
§ Mtandao wa Issa Michuzi -Michuzi Blog- ambao ulitumika katika kusambaza taarifa za msiba sehemu mbali mbali.
§ Kampuni ya CORONA (T) LIMITED iliyoshughulikia kuusafirisha mwili wa marehemu kutoka London hadi Dar es Salaam na hadi kuuzika Kinondoni.
Tungependa sana kuwashukuru kila mmoja wenu kwa majina yenu lakini kwa ajili ya wingi wenu tunawaomba mpokee shukrani hizi kwa ujumla wenu.
Mwenyezi Mungu awaongezee baraka zake ninyi wote.
HERI WENYE REHEMA : MAANA HAO WATAPATA REHEMA (MAT. 5:7)
Familia itatoa sadaka ya kushukuru Utukufu wa Mungu katika Kanisa la KKKT, Usharika wa Msasani, Dar es Salaam katika ibada ya Jumapili ya saa 3:30 asubuhi tarehe 9 Machi, 2008.
WOTE MNAKARIBISHWA.
Familia ya marehemu Joseph Natianota (Shengi) tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa ndugu, marafiki, majirani na watu wote kwa ujumla walioshiriki pamoja na sisi kwa njia moja au nyingine katika msiba wa kufiwa na mtoto wetu, kaka yetu na mjukuu wetu mpendwa aliyeaga dunia tarehe 14 Februari, 2008 katika hospitali ya Oxford Radecliffe iliyoko Uingereza na kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania tarehe 23 Februari, 2008.
Tunapenda kutoa shukrani za kipekee kwa makundi yafuatayo:-
§ Madaktari na wauguzi wote wa hospitali ya Wexham Park na Oxford Radecliffe zote za Uingereza kwa jitihada zao za kujaribu kuokoa maisha ya marehemu.
§ Jumuiya ya Watanzania wote walioko Uingereza na sehemu zingine za dunia waliojitolea kwa hali na mali hadi kuweza kuusafirisha mwili wa marehemu kutoka Uingereza hadi Tanzania kwa mazishi.
§ Ubalozi wa Tanzania na tawi la Chama cha Mapinduzi huko Uingereza walioshiriki kikamilifu katika msiba huu huko Uingereza.
§ Uongozi na waumini wa Kanisa la Christian Revival Centre lililopo Birmingham, Uingereza kwa ushirikiano wao.
§ Uongozi na wanafunzi wa Chuo cha London School of Commerce kwa ushirikiano wao mzuri.
§ Uongozi wa Waumini wa Kanisa la St Mary’s la Slough, Uingereza kwa kuendesha ibada ya kumuaga marehemu huko Uingereza.
§ Uongozi na waumini wa Kanisa la KKKT Usharika wa Msasani, Dar es Salaam kwa huduma za kiroho wakati wote wa msiba na katika mazishi ya marehemu.
§ Mtandao wa Issa Michuzi -Michuzi Blog- ambao ulitumika katika kusambaza taarifa za msiba sehemu mbali mbali.
§ Kampuni ya CORONA (T) LIMITED iliyoshughulikia kuusafirisha mwili wa marehemu kutoka London hadi Dar es Salaam na hadi kuuzika Kinondoni.
Tungependa sana kuwashukuru kila mmoja wenu kwa majina yenu lakini kwa ajili ya wingi wenu tunawaomba mpokee shukrani hizi kwa ujumla wenu.
Mwenyezi Mungu awaongezee baraka zake ninyi wote.
HERI WENYE REHEMA : MAANA HAO WATAPATA REHEMA (MAT. 5:7)
Familia itatoa sadaka ya kushukuru Utukufu wa Mungu katika Kanisa la KKKT, Usharika wa Msasani, Dar es Salaam katika ibada ya Jumapili ya saa 3:30 asubuhi tarehe 9 Machi, 2008.
WOTE MNAKARIBISHWA.
so young,so promising,never knew you in person,but rest in peace buddy,will meet you in heaven,so long
ReplyDeleteULALE SALAMA
ReplyDeleteMungu Yesu alimuumba, na Mungu Yesu amemchukua. Jina la Mungu Yesu libarikiwe. Amen.
ReplyDeletembarikiwa@gmail.com
Rest In Peace Shengi... R.I.P
ReplyDeleterest in peace bro...asnath
ReplyDeleteUlale salama Shengi. Umetungulia sisi tunafuata. Kazi ya mungu haina kipingamizi. Amen.
ReplyDeleteKazi ya Mungu haina makosa.
ReplyDeleteMungu aiweke roho ya Marehemu mahali pema peponi. Amina
-Robert B. Mujuni
TBT