Mbunge wa Bariadi na Waziri wa Miundombinu aliejiuzuru Mh Andrew Chenge (kulia) akisalimia na Naibu Waziri wa Fedha Omar Yusuf Mzee huku Mbunge wa Mvomero (CCM) Suleiman Sadiq akingoja zamu yake leo wakati wa kuanza kwa kikao cha bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. hata mikono ya wabunge wenzake hapendi kushika...wananchi je

    ReplyDelete
  2. Naon siku hizi na miaka ijayo Tanzania tutakuwa mabingwa wa kuponda na wataalamu wa kuwakemea mafisadi badala ya kupima, kuevaluate na kupata actual fact ya kwa kiwango gani maendeleo yaliyoahidiwa na tuliowachagua wametekeleza kwa asilimia ngapi? Tuachane na Chenge, Richmond, nk... tutazame serikali tangu iingie madarakani imeleta maendeleo gani?? Uchaguzi unakaribia lakini watu miaka yote hii mitatu iliyopita ni kupoteza muda ya kujua nani kafanya nini na ameiba shilingi ngapi. Twendeni sasa tukafanye kazi ili uchaguzi ukifika tujue ukweli, serikali hii au iliyopita ndo ina uozo?!! Maana mavi ya kale hayanuki, lakini ni mavi tu jamani... mavi ni mavi. Yawe ya leo au ya jana. Yalinyewa tu.

    ReplyDelete
  3. USIJALI KELELE ZA WAPINZANI HAZITATUNYIMA USINGIZI, WATANYAMAZA TUU NA MHESHIMIWA TUTALINDANA KWA HESHIMA YA CHAMA CHETU.

    ReplyDelete
  4. jamani pamoja na kuelimisha jamani Michu na kiswahili ukijue, au kama kuna mtu anakusaidia kazi uwe una proof read kwanza, kuachia ngazi kwa kiswahili sanifu ni KUJIUZULU na si KUJIUZURU babuuuu ah

    ReplyDelete
  5. DUUh kweli CCM kimekuwa "CHAMA CHA MAKULAJI" wacha tuendelee kubeba maboksi,kwani kama tambarare ya bongo ni wadosi kweli mambo tambarare!!!!!! By mlalahoi.

    ReplyDelete
  6. JAMANI HUYU MZEE BADO YUKO BUNGENI ANAFANYA NINI?KWANINI WATU WENYE HASIRA WASIENDE KUMTOA HUKO BUNGENI?NA BADO ANALIPWA KWA SIKU JAMANI...NA PESA YOTE HAYO ALIYONAYO?JAMANI TUTAFIKA KWELI?

    ReplyDelete
  7. Natabiri atagombea ubunge 2010 na atachaguliwa, kashfa zote hazitaibua kitu, na atateuliwa waziri tena.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...