baada ya mvua kubwa kunyesha kutwa nzima jana dar ni tambarare kama kawa


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. ile baluni yangu imeknock engine..mvua noma

    ReplyDelete
  2. NI DAR HII NINAYOIFAHAMU AU NI MOROGORO?

    ReplyDelete
  3. hivi hii ni bongo ninayoijua mimi au moro? maana mh.....

    ReplyDelete
  4. Bongo hoye mwaka huu. Mungu ametusaidia mno kupata matangazo ya bure ulimwenguni. Kichaka 4 days nchini na sasa mwenge.Ila ROHO inauma.
    Kwanza: Naombea na leo mvua ziwe nyingi sana na barabara zijae maji ili huo mwenge wa olympics ushindwe kupita. Siko side yoyote juu ya Tibet. Nategemea kuwa mabosi wataona aibu na kutengeneza plans za sewage system!!!
    Swala la pili: Popote ulipopita mwenge huu, ni wazalendo wa nchi host ndo waliukimbiza mitaani. Inakuwaje hapa bongo unakimbizwa na wageni kibao? Yaani hatuna waheshimiwa wa kweli wakutosha? Au sponsors ndo wanaweka conditions zote? Je! wakidai kipande cha Mnazi mmoja tutawapa?

    ReplyDelete
  5. jamani watu wa huko bongo inakuwaje kuwa hivi huko kwenu? hiyo mitaro yenu imeziba jamani hakuna madiwani huko kwenu? serikali naomba mliangalie hilo mjue tatizo ni nini jamani niaibu kwelikweli,

    sweet
    Arusha

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...