TAIFA STAAZ IMESHINDA BAO 2-0 DHIDI YA HARAMBEE STAAZ YA WATANI WA JADI NA KUFANIKIWA KUSONGA MBELE. MAXIMO OYEEEEEEEEEEE!
Home
Unlabelled
STAAZ YASHINDA 2-0
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michu wacha utani! Tumewalamba vijana wa Jacob "Ghost" Mulee? Safi sana hii, asante kwa kunichangamsha wikiendi hii.
ReplyDeletemichu, pamoja na kushinda soka la taifa stars bado bovu wachezaji wanacheza bila malengo basi sio za uwakika foward line sio makini na sio jihadi yaani hawajitumi kwakweli
ReplyDeleteushindi unaonekana ni wa kubahatisha. timu bado. huyu kocha uwezo mdogo.
ReplyDeleteOYEEEE!!! LAKINI ASIBWETEKE MTU HAPO
ReplyDeletemaximo amejitahidi sana kuifikisha stars hapo ilipo, ila wabongo wanasahau kabisa tulikua wapi kabla huyu jamaa kuja, ukweli ni kwamba hata tukimleta sir alex ferguson kiwango chetu hakitabadilika ghafla kwa sababu stars inaundwa na wachezaji kutoka klabu kama simba, ashanti nk ambazo viwango vyao ni vibovu kwa hiyo maximo asilaumiwe ili ni tatizo letu
ReplyDelete1.ligi ya ridhaa
2. hatuna professional players nje ya nchi
3.program za kuendeleza vijana ndo tumeanza
4.klabu zetu hazina program za kuendeleza vijana
5.tunaipenda stars inaposhinda tu
6.stars ikishindwa kocha mbovu kiwango chake cha kufundisha kimefikia mwisho.
maximo tum-support lakini tusitegemee maajabu ghafla jamani wa-tz tuwe wavumilivu maendeleo ya soka hayaji haraka haraka ila kwa program nzuri
yes! maximo, duh maana una kazi kwelikweli maana wachezaji wetu na vilabu vyetu mi nakuonea huruma, tunakusingizia kwamba hufai kumbe tatizo ni sisi wenyewe.
ReplyDeleteHuyu jamaa ni kocha kweli!yaani amewaweka kambini siku 3 tu hawa vichwa ngumu na wameshinda?!kweli Maximo kiboko.Mbona hujatupa picha za mechi Michuzi?!Huyu Maximo akipata watu wenye vipaji kama kina Said Mwamba, Edward Chumila na Zamoyoni Mogella hii timu itafika mbali sana
ReplyDelete