Cheki Masoud Kipanya wa Uganda alivyotupa ujiko lakini jamaatunawachanganya ipi Taifa Stars and ipi Kilimanjaro Stars.



Mdau

Marekani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 05, 2008

    Brother Michu kwa kweli sio watu wa Nje tu, hata mimi mara nyingi nachanganyikiwa sielewi Ipi Kilimanjaro Stars, JK Boys, Ipi Taifa Stars, Ipi Serengeti Boys etc. Naomba Taulo hapo

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2008

    Taifa Stars: Ni timu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Kilimanjaro strars: Ni timu ya Tanzania bara (yaani iliyokuwa Jamhuri ya Tanganyika)

    Zanzibar heros: Ni timu ya visiwa vya (Unguja & Pemba)

    JK Boys: Ndiyo hiyo hiyo Taifa Stars.


    Mungu Ibariki Tanzania

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 08, 2008

    Taifa Stars ni timu ya taifa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pale inapofungwa. JK Boys ni timu ya taifa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pale inapopata ushindi kwa mujibu wa waandishi wachache wa habari. Haikuweza kufahamika mara moja ni nini kilichowahamasisha waandishi hawa kutumia jina hilo kwa mara moja ukizingatia kwamba timu ilikuwepo kabla ya JK kuwa JK na ni timu ya Watanzania wote, sio JK.
    Ngorongoro heroes ni timu ya vijana wa Jamhuri ya Muungano Tanzania wenye umri chini ya miaka 21 nafikiri.
    Serengeti Boys ni timu ya taifa a vijana wa Tanzania wenye umri chini ya miaka 17 kama sijakosea.
    Twiga Stars ni timu ya taifa ya wanawake ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...