nampa hongera kaka ephraim mafuru kwa kuula leo hoteli ya impala hapa a-taun. yaani baada ya kusota kwa takriban miaka minane kaka mafuru jana katangazwa kuwa bosi mpya wa masoko, udhamini na mawasiliano wa kampuni ya voadcom nafasi ambayo imewafariji wadau wengi wa kampuni hiyo kutokana na uzoefu na uwezo wa mafuru katika 'fitna' za kibiashara.
nampa hongera kaka ephraim mafuru kwa kuula leo hoteli ya impala hapa a-taun. yaani baada ya kusota kwa takriban miaka minane kaka mafuru jana katangazwa kuwa bosi mpya wa masoko, udhamini na mawasiliano wa kampuni ya voadcom nafasi ambayo imewafariji wadau wengi wa kampuni hiyo kutokana na uzoefu na uwezo wa mafuru katika 'fitna' za kibiashara.

Fasta napeleka CV zangu,hongera Mr.Mafuru
ReplyDeleteHongera Bwana Mafuru!!
ReplyDeleteHii inaonyesha jinsi gani juhudi binafsi zinaweza kumnufaisha mtu kalaghabao wanaosubiri vyeo vya kupewa.
Mdau
Kwani siku hizi makao makuu ya VODACOM yapo Impala Arusha au ni sababu gani zinazofanywa atangazwe boss mpya akiwa Arusha?? Waosha vinywa nielimisheni msinizodoe.
ReplyDeleteKaka ephreim Madagaa(Mafuru) nami nakupongeza sana kwa kweli, katika masoko umejitahidi kupambana maana si mchezo ni mtandao unaoongoza hapa bongo kwa kweli. Hii inaonesha kumbe hata watanzania tunaweza. Katika kazi ni kujituma na kuonesha uaminifu,ubunifu ktk kazi. Kaka big up
ReplyDeletehongera bro mafuru,kazi zako tunaziona.u deserve it
ReplyDeleteduh, hongera bwana, jamaa alikuwa mpenda sifa huyo... duh watuulize sie tuliekuwa nae a-town kipindi kileeeee.......... haya bwana
ReplyDeleteYeleuuuuwiii....Tigo wadhamini si watakutoa loho michuchu??
ReplyDeleteMwenyekiti mimi nadhani Bwana Mafuru hakuwa anasota kwa hiyo miaka 8.Bali katika kipindi hicho naamini alikuwa anajifunza zaidi na kujenga uzoefu wa kutosha kuweza kukabidhiwa majukumu muhimu na mazito kama tulivyoshudia leo.Ninakupongeza bwana Mafuru na kukutakia mafanikio kwenye jukumu hilo jipya na muhimu kwa mustakabali wa kampuni.
ReplyDeletehuyu mafuru ana elimu gani?
ReplyDeleteJamaa mpiganaji sana, yaani kwa ujumla jamaa ni kichwa katika kuchonga kuhusu biashara. Nakumbuka jamaa Enzi zile UDSM tulikuwa nae kwenye Peer Educators iliyoongozwa na Manonge Jamaa alikuwa akijenga hoja sana mpaka tukawa tunapewa posho. Hongera sana Former VP wangu UD ukisikia Career development ni hivyo. Kazi ya masoko inataka mchongaji ambaye anapangilia hoja kama wewe yaani Jamaa kama "OBAMA" vile kwa kupanga hoja.
ReplyDeleteCongrants!!!
Ila siyo nilete CV ujifanye hunijui hahahahaha BIG UP MAN
hahahaaaa, kaka MICHUZI bwana! haya!
ReplyDeleteJamani...Impala ndio wameweka sehemu maalum katika mawasiliano ya sulivan..ametangazwa dar es salaam...ila sababu Mafuru yuko Arusha kwa week 2....ndio sababu ametangaziwa....akiwa AR
ReplyDeletemafuru alikuwa bosi tayari sema tu juu yake kulikuwa kuna mtu mmoja.sasa yeye ndio bosi mkuu akisema yes ni yes no ni no.hapa naanda cv jamaa hawezi nitosa nimesoma naye
ReplyDeleteMichu wakati mwengine unajidhalilisha kumwita mtu kaka kwa cheo chake au wadhifa wake navyokujua michu kiumri unaweza kuwa mkubwa kuliko Mafuru.usijitoe utu wako kwa cheo cha mtu unaweza kumwita dogo mafuru inatosha . na nakuomba usibanie comment yangu plz. mdau Paka la jikoni UK.
ReplyDeleteAcha kubabaikia Watu wewe Michuzi kila mtu mwenye ujiko .ambaye amekuzidi kidogo ..utamwita ,kaka au dada mbona wale wasioku na kitu huwaiti hivyo...
ReplyDeleteAisee mie nataka kumtumia namba ya kilongalonga, 0753109803 ili nami anitoe kama yeye aisee. Kumbuka enzi za 2000 tunamaliza chuo, Nampa Big up sana huyu jamaa kwani anadeserve kupata. Ni kicheche saana wa maneno na ndio ukali unaotakiwa kwenye fani ya masoko. Halafu nami niko Atown hivyo ni rahisi kunipata. Just Bip nami nitabiga. AAAAAAAAAAAAAAA kumbe wewe ni bosi uruhusiwi kubip ila unapiga tu. Basi big basi.
ReplyDeletekuna mtu ameuliza Mafuru ana elinu gani, Mafuru ni injinia by professional, hila mtundu na uko bright , masoko, ni ubunifu na watu wachache wana uwezo huo, bigup
ReplyDeletemdau
vodacom
Mdau unayeuliza Mafuru ana elimu gani; mafuru sio engineer wewe mdau wa vodacom, Mafuru alianzia diploma in marketing CBE akaingia BCOM Marketing UDSM na tumesoma naye juzi tu MBA Finance ya UDSM ila alichukua combination za science high school.
ReplyDeletewakatabahu BIBI UMEME
Hongera Mafuru!
ReplyDeleteFitna za kibiashara mhhh !!!!
ila historia na mtiririko wa shule yako unaonyesha jinsi ulivyo focused kwa maisha na kazi, tukiacha mambo mengine ambayo umefanikiwa!!
Binafsi kama college mate bado nakumbuka copy ya kitabu ulichonipatia "How to win Job interview" kimesaidia wengi! maisha na kazi si lelemama
inahitaji kutimiza wajibu kupata haki yako!
Kazi njema ni mfano kwa wengine!
nilikuwa najua yote uliyoandika, lakini mbona hukurespond mlipoulizwa, nilikuwa nafanya research nimekupata wewe kama smple, kuwa sikuzote wabongo huwa hawaanzishi wanakosoa tu. haya bibbi umeme asante. najua hilo cvf zote ziko wazi tu.
ReplyDeleteMarketing ni zaidi ya kupiga mdomo (selling), ukiona mtu anapiga mdomo kwenye TV ujue kuna watu muhimu zaidi yaje wamekaa na kuandaa strategies. Selling ni sehemu ndogo sana kwenye marketing, kwa wale wasiofahamu!
ReplyDeleteMafuru congrats...
ReplyDeletehope you will now stop wearing the labels on your suits its embarasing
wabongo tujaribugi kuapreciate,sio kusema watu masaa 24/7
ReplyDeletehongera bwana,usiwasikilize wanafki