

ramadhani mussa, kijana aliyekutwa akitafuna kichwa cha mtoto Salome Yohana, pamoja na mama yake mzazi Khadija Ali Selemani wamefikishwa mahakama ya Kisutu na kusomewa shitaka la mauaji. habari zaidi nenda www.habarileo.co.tz ama www.dailynews-tsn.com
Hao ni ma "Vampires" nini? Duh bongo nuksi...!
ReplyDeleteEbwana ehe! Wamekutwa kweli! These should all be eliminated from the society for real! na wo wakatwe vichwa!
ReplyDeleteMulox
Vyoyote tunavyoweza kutizama katika picha hii ni kwamba mimi dira yangu ipo kwa askari aliyeshika silaha.Ukamati wa silaha namna hiyo ni hatari kwa maisha yake na maisha ya watuhumiwa na wananchi waliozunguka eneo hilo.Hakuna safety weapon handling hapo.Fikiria kama risasi ikitoka hapa itakuwaje?!
ReplyDeleteSiku zote asakari au mtu yeyote anapaswa kuweka mawazo kuwa bunduki ina risasa na hatari kwa maisha watu wengine.
Hii inaonyesha somo la ukamatji wa silaha lina matatizo na nadhani hili aulizwe IGP Said mwema.Hiki ni kitendo kidogo lakini kama risasi ikitoka maisha ya mtu yanapotea kwasasbabu ya uzembe.
Polisi acheni "egoism" fuaten taratibu namna ya kubeba silaha zenu
Silaha nzito kama hiyo ya nini wakati watu wamejichokea kama nini,Serikali itathimini tena swala la njaa nchini sio ajabu hawa watu wameshinda na njaa sana wakaamua liwalo na liwe catch ze poor salome and zen kula ze damuz.Halafu DNA na outpsy ya huyo poor Salome ingefanyika,sisi tumekimbilia kumzika tu.Bongo tambarare machizi
ReplyDeleteHabari wana blog!! samahani sana mimi naomba kuelimishwa kuhusu kuhusika kwa huyu mama katika hii kesi nzima kwani nahisi nina ufahamu mdogo wa haya mambo. Najua ndiyo ni mama mzazi lakini kwani mwanao akibaka ina maana kisheria na wewe umebaka/kuua, etc? Au huyu kijana kuna maelezo yoyote ambayo ameyatoa ambayo amemuhusisha na mama yake mzazi? mimi sidhani kama nimeona kitu kama hicho. nisaidieni nielewe japo kwa uchache.
ReplyDeleteTatizo siyo hawa viumbe masikini.Hawajui walitendalo.Tatizo ni 'HAO MASHETANI'waliopo karibu kabisa na hao masikini Rama na Mama yake ambao wewe na mimi bado hatujaweza kuwajua hadi hapo wao wenyewe watakapo shukiwa na malaika wa Mungu wakaamua kufichua siri zote na kuwataja hao SPONSORS & GODFATHERS OF CANNIBALISM AND VODOOISM!Usalama wa hao Rama na Mama yake ni kuwekwa Lupango tu.Hao majahiri ambao roho zao hivi sasa ziko juu kwa kuhofia watafichuliwa wakipata mwanya tu mtasikia hao Rama na Mama yake wamepoteza uhai.Kwa hiyo vyombo vyetu vya usalama msifanye masihara.Tumieni shule yote mliyosomea hiyo kazi yenu tatizo hili mlipatie ufumbuzi wa kudumu na watanzania wajulishwe mafanikio ya upekuzi wenu.IT IS SAFER FOR RAMA AND HIS MOM TO STAY BEHIND BARS THAN TO BE SET FREE,THEY WILL SLAUGHTERED BY THE DEMONS INSTANTLY!
ReplyDeleteKWA KWELI HAINIJII KICHWANI HUYU MTOTO AMECHUNGUZWA KAMA HANA MATATIZO YA AKILI? AU NDIO MCHAWI MAANA SERIKALI HAINA DINI OK TUNATAKA KUJUA PIA KAMA MMEMSHITAKI KAMA MUUAJI WA KAWAIDA TUU AU MAANA POPOTE PALE DUNIANI HATA KAMA MTU AMEUA KWA KUTUMIA AKILI ZAKE TIMAMU BASI MSAKO UTAANZA KUTAFUTA NJIA ALIZOTUMIA MPAKA HUYO MTU ANAKAMATWA SASA HUYU ZILIKUWA HASIRA,KICHAA AU UCHAWI MAANA HATA HUKUMU YA KIFO KWA KITENDO ALICHOFANYA HAKIMFAI ANAHITAJI ZAIDI
ReplyDeleteduuh cheki polisi wanawaangalia kwa uwoga,nao wanaogopa kuliwa vichwa
ReplyDeletejamani hivi mambo haya ya uchawi yapo kweli?na hawa wachawi walitakiwa wachomwe moto,wanarudisha maendeleo nyuma..Mungu awasamehe hawajui walitendalo.
ReplyDeletemhh mi chichemi manake kuogopa chomo ! haw kunrudi uchiki ! uchifikiri kulala wao huko polichi mmmh baa ! kuchukua wengine mwali! kuwaweka wao kuendeleza libeneke la kunyonya damu uchiku, kurudi achubuu ! ! !
ReplyDeletealafu polichi kuwaona kama vile walikuwe pale kituoni! mi kuogopa sana chomoo . alafu ram kumpeleka mama makeee, kuona michuzi jamaani kuanzia kichwa kile mmh baa
Kwa kweli tu huyo mtoto ni wazi kuwa anatumikishwa na nguzu za giza, it could be his mom or whatever, mi nasihi tu asamehewe. Ila huyo mama mtu, hata kwa kumuangalia tu, amekaa kicha*# cha*#, Mungu nisamehe kama nimekosea, hiyo ni kutokana na the way ninavyotizama mambo.
ReplyDeleteKatoto ka watu hako, ka-under 18 sjui kalirithishwa maskini? Kahurumiwe, Kahurumiwe. Sana sana katafutiwe watu wa sla wamuongoze katika njia iliyonyooka. Tena watu kama hawa, ambao walishautumikia ufalme wa giza, wakija kumjua Mungu wanakuwaga watumishi wa Mungu waliosimama haswa, maana wanajua chungu ya upande wa pili wa shilingi.
Ni hayo tu.
Pepole will jump into conclusion and make their judgemnt, lets emotion lead us to make judgement into the whole sagga. Remember it took six month for thethe late Ditopile to be chargered for mansalughter, but only weeks for this woman and her son to be charged with muder. What I am trying to say here is the whole rights of this young boy have been violeted. What evidence does Police have to charge his mother, secondly. I believe this young boy need help,by the look of the pictures he does not look ok
ReplyDeleteI feel sorry for the young man, he has been dragged in all of this mess in all of his life, he has been nurtured through dark ideology, ever since he was child, what a twist in a precious little life we have in this world.
ReplyDeleteTough! Justice must prevail for Salome and others, to send a clear message to wanna be.
By Mchangiaji.
Huyu kijana mdogo yawezekana hana hatia kalazimishwa kufanya vitu na mama yake si unajua nyumbani Afrika jinsi watoto tunavyofuata maagizo ya wazazi.Tafadhalini sana wanasheria Tanzania hakikisheni huyu kijana anapata haki zote katika mashitaka na si kuangamiza maisha yake kiurahisi ilimradi alikutwa anakula kichwa cha mtu.
ReplyDeleteWakufungwa na kuuliwa kabisa ni huyo mama yake. Hebu angalia body language yao huyo mama kainama akiwa anaogopa na kuona aibu hata kumwangalia judge kwa vile anajua alilolifanya ni baya....lakini huyo mtoto wala hajui knachoendelea. Yupo yupo tu...Wameshamuharibu kichwa mtoto wa watu...mama yake afungwe kabia na huyo mtoto alelewe kwenye mazingira mazuri tu atakuwa mtu...hilo ni taifa la kesho tunaliharibu sisi wenyewe...
ReplyDeleteHuyu bado mtoto sana na kama wanakula nyama za watu toka amezaliwa hata hajui tofauti au ubaya wa kuua na kula nyama ni nini?
Halafu leo mtoto anaonekana mdogo kweli kuliko zile picha zingine ila huyo mama kama kibibi vile?
huyu mtoto ni mgonjwa sio mchawi wala nini. tena kama angekuwa ughaibuni angepelekwa hospitali badala ya jela. kule marekani jofrey damar alikutwa anakula watu na vichwa kibao kwenye friji yake lakini hawaku-treat kama mchawi bali mgonjwa. tatizo la bongo watu wanaokuwa na matatizo ya akili, stress etc tunasema wamechanganyikiwa na tunaishia kuwa peleka kwa mama lwakatare wakaombewe. hawa ma-evangelists ndo wachawi namba moja.
ReplyDeleteKamanda wa polisi mkoani Arusha, Matei Basilio, akionyesha waandishi wa habari fuvu la mtu alilokamatwa nalo mganga wa kienyeji Juma Bakari katika eneo la Engutoto,Arusha akidaiwa kulitumia kwa shughuli za kishirikina.
ReplyDeleteSource: Gazeti la mwananchi
Mwingine huyo.
Naomba kuunga mkono anon 3:55, 4:21 na 5:08. Tafadhalini jamani, huyu mtoto most likely hakuwa anajijua anafanya nini. Who in the right minds would do such a thing in PUBLIC?? I'm sure there are other people or other reasons responsible for his acts. Lakini mnavyokimbilia kumpeleka mahakamani, ili iweje? Mtamfunga, kisha ataendelea kuwala wafungwa wenzake huko huko jela. Hili ndio tatizo la Bongo, hatutaki kujua nini kiini cha matatizo, sisi haoo moja kwa moja tunadeal na tatizo lenyewe. Na pia kumlink na mama yake hapo ndio sijaelewa kabisa. Sijawahi kusikia hata siku moja mama kamrithisha uchawi mwanawe. Hiyo itakuwa mpya. Ninachosikia kila siku ni bibi kumrithisha uchawi mjukuu. Yalishanikuta, mama mkwe wangu ni kigagu na aliattempt kutaka kumshirikisha mwanangu, nikalistukia hilo nikambeba mwanangu saa hizi niko nae majuu. Bongo sirudi tena mambo ya ajabu kibao, basi tu.
ReplyDeleteUjue mimi nashangaa watu wengine wana akili au wendawazimu.Imagine wewe ndio mzazi wa huyo mtoto aliyechinjwa ungesema huyu asipelekwe jela apelekwe hosp?au unaropoka tu kwakuwa umejaliwa kujua kuandika?Huyu astahili jela wala wapi,achinjwe tu tena si peke yake ataje wenzie.Huyu si chizi kwani watu kibao wanatoa ushahidi wa mambo yake ya ajabu yaliyowahi kumkuta kwa uchawi wake alafu fala linatoka huko eti apelekwe hosp kwasababu marekani wangempeleka hosp.Kaa na umarekani wako fla weeee,si tunaongelea Tanzania alikokamatwa.
ReplyDeleteMSAADA KWENYE TUTA!!!!!
ReplyDeleteYAANI HUYO MTOTO SALOME YOHANA ALICHUKULIWA MSUKULE AU VIPI? WALIKIPATAJE HICHO KICHWA CHA SALOME?
PLEASE MICHUZI NA WACHANGIAJE NAOMBA MNIJIBU
Huyo kijana ni mzuri,
ReplyDeleteInaelekea atakuja kuwa handsome boy ,ila ndo mchawi sasa lol.
Wampeleke kwenye maombi,God will set him free,its all about nguvu za giza tu.
We annoy unayelalamika kuhusu ushikaji wa silaha..huoni kama ameizuia kwa kidole haiwezi kumuumiza mtu?
ReplyDeleteanony may 06,2008 9:01pm,Mungu akusaidie sana ulisikia nani anasema apelekwe kwa mama Rwakatare aombewe?si walikuwa wanambip Mungu wenyewe kupita anga za kanisani wakadondoka?kwani mama Rwakatare aliwaita?naona unataka kuingiza mambo ya dini hususani imani za watu wewe kama imani yako haikufanyi uamini kupitia maombezi basi,lakini acha kukandya watumishi wa Mungu.
ReplyDeleteAnon. May 7,1:06 waseamehe bure hao hawajui walisemalo, ulishawahi kusikia msemo unasema MZIGO WA MWENZIO NI KANDA LA USUFI?
ReplyDeletesasa ndo hicho kinachoendelea hapa , kila mmoja anajifanya hakimu au mjuvi wa mambo,takriban(mara nyingi) kwa sababu uchungu ule upo kwenye kifua cha mwengine. Tusiwe wabinafsi na kusahau hisia za wengine pale wanapopata mikazo ya matatizo, mathalan (mfano) yanahusisha mtoto, mke/mume, au mpendwa wako wa karibu sana. Temea mate chini yasijewafika madhila kama hayo, uchungu wake haumithiliki,(haufananishwi).Uchungu wa kifo cha salome kinagusa hisia sana kwa jinsi ya mauti yenyewe aloyapata kwa kuchinjwa kama mnyama kisha kuliwa unaweza kupata hiyo? sio kifo cha kawaida cha malaria au ajali isiyoepukika ni mauaji ya kusudi kabisaaaaa!
Huyo Ramadhani alishakamatwa kabla, katika mazingira ya kutatanisha, na kupelekwa hospitali na kupimwa na wataalamu, na kuonekana ni mzima wa afya hana tatizo la akili wala nini, wakamuacha huru na kumuruhusu aishi na jamii, matokeo ya hapo ni kama mwezi au miwili tu akakutwa na hicho kituko cha kutisha, cha kula nyama ya mtu tena hadharani, jamani bado mnasema eti apelekwe sijui wapi, akachanganyike na jamii nyingine huko eti jela au hospitali? huyo ni wa kumtenga iwe kwa kumuangamiza kabisa baada ya kumhoji na kutaja kundi wanaloshirikiana nao.
HANA MIAKA 18 HUYO LENGO LA HAO POLISI NI KUMKOMOA MTOTO WA WATU! SHERIA ICHUKUE MKONDO WAKE.
ReplyDeleteHawa siyo Wala nyama za watu.Kiwiliwili cha mtoto Salome kingetupwa chooni kama suala ni kujipatia kitoeo cha nyama ya mtu?Na wala siyo suala la Unyonyaji Damu.Damu nyingi vile ingeachiwa imwagike pale mchangani alipochinjwa yule mtoto Salome na kupotea bure kama lengo lilikuwa ni kugema ile damu ya mtoto aliyechinjwa?Na wala siyo suala la Uchawi.Ingekuwa uchawi mwili wa mtoto usingetupwa chooni na kichwa kisinge safirishwa kwenda eneo lingine hususan katika hospitali ambako kila siku hapakosi mgonjwa mmoja kufariki kwa maradhi mbalimbali.Kama ni huo uchawi si wangesubiri wagonjwa mahututi hospitalini kwa miujiza yao ya kiuganga au uchawi wakaichukua miili ya wagonjwa hao waliofariki?Na kwanini Kichwa kipelekwe eneo lenye umati wa watu kama hospitali ya Muhimbili na ambako kuna wagonjwa mahututi walio hatarini kupoteza uhai wao?Of all the places?Mtoto Rama alipokamatwa na kichwa cha mtoto kikiwa katika mfuko wa plastiki alikuwa nadhifu aliyevaa nguo safi dalili ya akili njema na utambuzi wa baya na jema NA alipokurupushwa aoneshe alichokuwa amekibeba ndani ya mfuko wake mara moja alitambua kwamba njia ya kujiponyesha pale ni kukitoa kile kichwa hadharani na kutishia kukifyonza damu kama Vampire ili watu watishike na kukimbia ovyo ili yeye apate kuponyoka na kupotelea gizani.Bila ya shaka yoyote ENGINEER wa maovu yote hayo alikuwepo jirani sana na huyo mtoto Rama akifuatilia kwa karibu aone kila kilichokuwa kikitokea.Na Rama iwapo angefaulu kupita salama pale Langoni hadi ndani ya maeneo ya hospitali sijui kingetokea nini mle ndani ya maeneo ya hospitali ya Muhimbili.Yamekuwepo maneno ya kufanya MAOMBI ili kufukuza pepo zilizo mwingia kijana Rama pengine na Mama yake Mzazi.Mimi ningewashauri POLISI WA UPELELEZI wafuatilie kwa karibu sana na KWA SIRI KUBWA mienendo na taratibu zinazotumiwa na MAKANISA LUKUKI YA 'WALOKOLE' yanayo chipuka kama Uyoga katika kona mbalimbali za nchi hii.Makanisa yote hayo yanatumia BIBLIA ileile moja kama ndicho kitabu cha Mafundisho ya Neno la Mungu.Ili kila Kanisa la Kilokole liweze 'kuvutia' wafuasi wengi zaidi zimekuwepo MBINU CHAFU ZA KUJENGA WOGA MIONGONI MWA WAUMINI na kila Mchungaji akijitahidi yeye aonekane ni mahiri zaidi katika 'kufukuza pepo' na kuokoa roho za waumini wa kweli.Silisemi hili kwa nia mbaya bali kama tahadhari.Walokole wenye nia njema na mioyo safi hawana sababu ya kusononeka au kukasirishwa na hofu hii ambayo itahitaji kumulikwa zaidi.Je,kijana Rama na Mama yake walipewa Pesa zozote ili watende ovu hilo na kuthubutu kukibeba kichwa hadi maeneo ya halaiki ya watu wagonjwa ambao uhai wao uko hatarini kama eneo la hospitali ya Muhimbili kwa malengo ya kishetani ya kutarajia mavuno makubwa ya walokole katika hospitali hiyo?Au kwa lengo la kusababisha hofu zaidi itakayopelekea baadhi ya wagonjwa mahututi wapoteze uhai wao?Ninacho jaribu kukielezea hapa ni kwamba Binadamu ni kiumbe hatari sana lakini mwoga na mpole sana atakapobainika uovu wake.Suala la Ukichaa hapa halipo.Labda mazoea ya muda mrefu bila kubainika ya kuchinja watu au kuchezea maiti za watu na wakati mwingine hata kudiriki kunywa damu ya watu na kula sehemu za viungo vyao kwa KUTOMJUA MUNGU.Thorough Screening ya Makanisa yote ya Walokole PAMOJA na Waganga wote wa Kienyeji na 'WACHAWI' NCHI NZIMA lazima ifanyike.Na hili siyo suala dogo na halitaki Pupa au Papara.Lazima liendeshwe kisayansi.Pengine faida moja kubwa ambayo marehemu mtoto Salome atakuwa katolewa SADAKA ili kulikomboa Taifa hili liondokane na Imani hizi za Kishetani ni kutokomezwa kabisa kwa Mtandao huo uliojikita katika kupoteza maisha ya raia wasio na hatia kwa imani za kishirikina au kujenga hofu ili kuvutia waumini katika Ulokole(wa Kinafiki).Tutajificha wapi siku tutakapo kutana na Mungu uso kwa uso na akatuuliza matendo hayo tuliyafanya ili kumpendezesha nani?
ReplyDeleteni kweli hana miaka 18 wanataka wamkomoe tu huko segerea
ReplyDeletekweli uchawi sio dili ebu ona walivyochoka mbaya,ni nadhani huyo mama angejiunga kwenye vikundi apate mkopo aanze ujasirimali,naamini angekuwa na maendeleo sana kuliko hivyo alivyo sasa.
ReplyDeletewanyongwe
ReplyDeletesweet
Arusha
we anon May 06, 2008 10:37 PM, ndo huna akili kabisa, sasa ipi bora akale vichwa magereza ambako kuna ulinzi au aachiwe aje aishi mtaani kwenu ale vichwa vya wadogo zako?
ReplyDeleteNa wewe May 06, 2008 3:36 PM, Mtoa Maoni: Critic - vipi wakahurumie alafu kaje kuishi mtaani kwenu? una wadogo zako wewe au watoto wa kaka/dada zako? mtakuwa na amani? si unaongelea kapewe maombi? utakubali kaishi next door na wewe
Think twice before you comment, THIS KID DONT DESERVE TO LIVE AMONG US IN OUR SOCIETY, I ALSO DONT SEE WHY WE SHOULD SPEND OUR TAX MONEY TO FEED HIM IN JAIL FOR THE REST OF HIS LIFE
mnaosema kahurumiwe mbona hamsemi kataishi wapi? kakaribisheni basi kwenu ili mkasaidie au mtaani kwenu, tatizo nimeona uwezo wa kufikiri wa watu wachache hapa ni mdogo sana sidhani hata kama wanajisumbua kufikiri nadhani wanatype tu linalokuja mdomoni
bwa shem nakufa mbavu na huyo aliyesema watu wangekubali ka dogo ramso kaka ishi mtaani kwao kama wasinge kesha kenye maombi badala ya kulala usingizi ? tehe tehe teeee kwakwaaaaaaaaaa? kweli golden rule USILOTAKA KUTENDEWA WEWE ..........
ReplyDeletewewe Tarehe May 07, 2008 11:10 AM, Mtoa Maoni: Anonymous
ReplyDeleteHIVI UMEONGEA NINI?RISALA YOTE HIYO MI NIMEONA PUMBA...
WE ANONY wa tarehe 08 may 8:17PM acha kukosoa watu soma maelezo kwa ufasaha ndo ucomment! pumba kwako kwasababu inavyo elekea we mwenyewe pumba tupu huko kichwani. ungesoma kwa utulivu ungelelewa
ReplyDeleteHuyu mtoto ni kichaa anatakiwa kutibiwa siyo kumshitaki, na huyo mama anaonewa tu, hata vile ukimuona tu alivyo hatoweza kujieleza hata kidogo, atanyongwa bure bila ya sababu wala hakuhusika, as hamna ushahidi wa kusema hivyo, unadhani kama walipanga na ni wazima wa akili angekuja na kichwa Muhimbili hadharani? si wangeficha. Jaji anatakiwa kuwa makini sana, asiendeshe kesi kwa emotional feelings.
ReplyDeleteHamna kesi ya kuendeshwa hapo, huyo mtoto akatibiwe tu. na mama should be set free.