Home
Unlabelled
siku ya maalbino
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Duh!!!
ReplyDeleteNimefurahi sana kwa kuiona hii picha ya ndugu yangu Ernest katika kuadhimisha siku ya Maalbino Tanzania. Ni jambo la kushukuru sana kuwa serikali inajali na kuthamini juu wa ndugu zetu hawa, I hope serikali pia itafanya zaidi juu yao katika kuwapa nguvu zaidi za kupambana na mazingira yao ya kila siku. Najua wana mipango mingi lakini uwezo unakuwa mdogo,wana matatizo ya kila siku ya ngozi, coz jua nin kali sana nyumbani, kuona nk, wanahitaji miwani, losheni maalum kwa ajili a ngozi zao nk nakumbuka ndg Abdillah (Albino) aliwahi kunidokeza kuwa wanajaribu kuungaa na vyama mbalimbali vya Maalbino vilivyoko nje ya nchi ili kujenga msingi mkubwa zaidi katika kujuana na kushirikia. Hongereni sana kuwa kuadhimisha siku hii muhimu kwenu na kwetu sote, M/Mungu atujaalike kila la kheri, na kidumu chama cha Maalbino nchini Tanznia. Salam kwa viongozi wote, Mohamed (albino)etc Mdau - Muheza Tanga
Haji Sunday uko wapi au wewe sio albino? ah! ah! najua uko hapo livistone kwenye kijuwe unacheza keramu poa Haji
ReplyDeleteHawa watu hawana dili yoyote serikali ingewatafutia sehemu yao ili tusiendelee kuwaua.Wangepelekwa zanzibar na kufungiwa huko mazima hamna kutoka na watu wote kamili waletwe bara
ReplyDelete