mdau john kitime katika pitapita zake kakutana na hili tangazo milango ya ilala mchikichini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 22 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2008

    hakuna cha ajabu hapo,life has pushed tanzanians to a corner such that 80 percent,and of all walks of life participate in these so called rituals.after ten years abroad,i was shocked when i came back home,the extent to which these waganga have taken hold of society,no wonder sadistics beheadings have now come to the fore

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 04, 2008

    Hiyo ya Hips ndio imenichekesha waongo waganga hao. mimi langu silitaki kama kuna mtu anaweza kulipia operation naweza kumpunguzia hela yako tu

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 04, 2008

    BRO MISUPU

    MI NADHAN UNGEMTEL A. FERGIE AJE AZUNGUMZE NA HUYO MKUDA ILI AKAWAGANGE WACHOVU MAN U MAANA WAPENDE WASIPENDE PALE MOSCOW TAR 21 MAY 2008 LAZMA WAPIBWE MIBAO HAO USHINDI WAO WA PREMIER LG WATAUONA CHAMTOTO

    BY THE WAY TUNAENDELEA NA SABABU 50 ZA CHELSEA KUWAFUNGA MAN U SIKU YA FAINALI

    4. CHRISTINA RONALDO SIKU YA MECHI KUBWA HUA MDEBWEDO HATAUPIGA KAMA ANAVYOUPIGAGA WANAPOCHJEZA NA WACHOVU EG WEST HAM

    5. MAN HUWA KTK MECHI KUBWA WANAINGIWAGA NA MCHECHETO SANA SO SIKU HIYO NI KICHAPO TU

    6. A. FERGIE UCHAWI WAKE WA KULA BIG G HAUTAFANYA KAZI MAANA KULE ITS ILLEGAL KULA KITU AU KUTAFUNA KITU UWANJANI

    its me SMALL BENITEZ by the way tumeishampata mtoto GARETH BARRY ambaye atakuja kupiga beki tatu..namba ambayo ndio aliyoanzia A. VIlla 1997 kabla ya kuhamia left wing na hatimaye midfield..na bado usajili unaendelea..mwakani ni kichapo tu kwa wachovu wooote hasa Man u..teh teh

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 04, 2008

    kazi ipo. wakati wenzetu wanafikiria kutengeneza mtu sisi bado tuko huku? one day yes tutaendelea tu . kudadeki nakaribia kuota mvi lakini sioni hiyo siku ikikaribia

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 04, 2008

    du simchezo mimi ninataka hiyo kuongeza hips

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 04, 2008

    Eh!! usishangae mjini shule. kama wengine wanakula kwa kwa kupitia mikataba mibovu ya kuifilisi nchi ofisini basi wengine watakula kwa ujanja wao mitaani.Wenye matatizo yanayosabibishwa na ugumu wa maisha ni wengi na wote wanahitaji njia rahisi ya kutatua matatizo yao.Kwa hiyo mtaalam kutoka sumbawanga ndiyo jibu.tehee!!!teheee!!!
    Mjini shule, hapo siajabu hata huyo mganga alishawahi kuibiwa na hakuweza kuvirudisha vitu vyake vilivyoibwa lakini hapo anawatangazia watu kwamba anao uwezo.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 04, 2008

    Mweeee, makubwa

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 04, 2008

    hahahha,lazma itakua mwananyamala hapo

    ReplyDelete
  9. Kama DR RADI anaweza kweli kufanya asemayo basi MAFISADI dawa yao ishapatikana.

    Hivi hawa waganga ukiwa na uhakika wanadanganya unaweza kuwashitaki kisheria?

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 04, 2008

    duh wadau kunradhi presure ndio ugonjwa gani? au ni pressure?

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 04, 2008

    Michuzi mwulize alipata shahada yake wapi huyu 'doctor'au amesahau neno 'witch'.Heri ya huyu kuliko Andrew Fisadi

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 04, 2008

    asante michu naona watu wajue kipanya alimaanisha nini

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 04, 2008

    asante michu naona watu wajue kipanya alimaanisha nini

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 04, 2008

    Huyu doc wa kukimbia. Wenzake wanapunguza hips yeye anaziongeza. Mwambie aende na wakati...siku hizi ni Jlo wo wo wo lake kama anaweza kunipa hilo mi nakuja.

    Mhhh nimecheka sina mbavu....

    Huyu atusaidie mafisadi basi...10% tutampa ya hela atakayoirudisha....

    Bongo!!!! I love my country

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 04, 2008

    Finally, the very person I have been waiting for. Let us start with EPA's lost resources.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 04, 2008

    Wakina dada angalieni sana, hizo dawa za hivyo hao huwa wanadanganyaga kwamba zinaingizwa kwa kupitia viungo vyenu vya uzazi.
    Yaani anaikunywa yeye halafu anakuingizia mwilini mwako kwa kupitia viungo vyenu vya uzazi-yaani chake na chako.
    Nadhani mmenielewa. Shauri zenu!

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 05, 2008

    Sina nia ya kuendeleza mjadala wa pumba za Kipanya the other day.
    Kwa mdau aliyesema "asante michu naona watu wajue kipanya alimaanisha nini"
    Mimi naona bado hili halimtetei Kipanya.
    The best customers wa waganga wa kienyeji ni wasomi, wakurugenzi, wabunge na wafanyakazi, wote wakienda ili tu wawe na 'usalama' kazini au ktk biashara zao. Hawa si masikini!!!!!!!!!!!
    Subiri wkt wa kampeni, halafu angalia msululu wa Macruiser kwenda Bagamoyo!
    Bado Kipanya hajatetewa hapa. Kama ni umasikini wa 'mawazo', then hapo nitaomba maelezo ya huo 'utajiri' wa mawazo ni upi?
    Naomba kufunga huu mjadala. Lakini 'utajiri' wa mawazo ambao unaweza kutufanya tusifanye yooote yaliyopelekea mjadala huu, mimi bado siujui!!!

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 05, 2008

    hao ndo wachawi wenyewe,hamna lolote hapo uongo mtupu.kumwamini Mungu ndo jawabu la kila tatizo

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 05, 2008

    Hivi bagamoyo ndipo zilipo ofisi za waganga wa kienyeji au? nini hasa kilichopo hata kila mtu akizungumzia uchawi lazima akutaje bagamoyo. kuna nini?
    Maana naona hata sasa magari ya kifahari yanaenda bagamoyo ila hayahusiswi na uchawi lakini yakienda wakati wa uchaguzi ni uchawi!!! Kumbukeni bagamoyo ni sehemu ya utalii na ina hotel nyingi pia za kitalii hivyo watu kwenda bagamoyo siyo kutafanya uchawi bali ni kustarehe. kitu kingine kinachonishangaza ni idadi kubwa ya matukio ya uchawi yanayotokea sehemu kama Mbeya, iringa , mara, mwanza, shinyanga, singida, n;k watu bado wanang'ang'ani bagamoyo sijui imewakosea nini.

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 06, 2008

    TUSIMPUUZE HUYU MH.SERIKALI IMTUMIE HUYU KURUDISHA MABILION YALIYO FICHWA NJE YA NCHI,MAANA KAMA ALIVYO JIELEZA KUWA ANAKOMESHA MPAKA DHULUMA BASI SERIKALI IMCHUKUE AZUIE UFISADI MAANA NAO NI DHULUMA KWA WANANCHI.

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 09, 2008

    bwanangu kanitema, naitaka hiyo ya kumvuta aliyembali jamani kaaaa!

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 11, 2008

    MH JAMANI ETI KUONGEZA HIPS!MAKUBWA HAYA!MI NAULIZA HIVI UNAMUAMBIA KIASI GANI CHA HIPS UNATAKA AU?UNAMPA VIPIMO KABISAA..HAHAHAHA...MA MDOGO UK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...