Amanda Ole Sulul Miss Universe TANZANIA 2008 baada ya kufika katika mavazi ya ufukweni huko HoChi Ming City, Vietnam. Amanda Ole Sulul yuko nchini Vietnam akishindana na warembo 80 kutoka nchi mbalimbali duniani kuwania taji la Miss Universe 2008.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2008

    ALL THE BEST,AMANDA!!!Nafurahi wewe unaiwakilisha nchi yetu na sio mdosi tena.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 21, 2008

    Mwambie Sarungi amwambie Amanda kuhusu hiyo minywele ya kubandika itaharibu...vitu vingine natumaini vp poa kivile

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 21, 2008

    Namuunga mkono huyo annon hapu juu,ni kweli huyo dada wa kimasai atoe hiyo minywele maana uasili wake anautoa,,Sarungi kwani uoni bwana?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 21, 2008

    minywele mingi hebu aitoe bwana. Hana hasili yeyote na minywele hiyo aka horse hair. Natural is best. Hamuoni Flavian stood out all alone kwenye Miss Universe ila gauni lilimwangusha.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 23, 2008

    Nywele za Kuvaa kichwani ni sawa kabisa na Kofia kwa Wanaume,Acheni ushamba jamani,kujifanya mnajua saaaana!Mtu akisha kuona umbile lako kesha jua una nywele za aina gani hata ukiamua kunyoa kipara!Amanda kweli ni Mzuri jamani!Naamini atafika mbali sana!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 23, 2008

    kwa kweli atoe nywele za bandia ili apate chati kwa taarifa zaid wanaume wengi wanapenda watu natural sio waliojiongezea madude

    maria sarungi ,huyo dada ni mzuri ila uatificial mwingi unaweza kumuangusha mshauri afanye kama nakaaya sumari

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 24, 2008

    we hapo juu, ujue kwamba amanda ameenda kwenye mashindano ya urembo si kutafuta mchumba/mwanaume.

    Urembo ni art na art unaweza kuongeza vitu vya ziada ili kupendezesha zaidi.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 24, 2008

    we hapo juu, ukumbe kwamba Amanda ameenda kwenye mashindano ya urembo na sio kutafuta mchumba/mwanaume.

    urembo ni art na kwenye art inaweza ongeza vitu vya ziada ili kupendezesha kitu zaidi. sema tu ni nyingi sana. she looks good though

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...