Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2008

    Wa Kuhamia Dodoma nani,Nyau we!Halafu ile Bahari utaihamishiaje huku Dodoma!Kwanza Mimbuzi yenyewe isha anza kwisha.Nenda Maili Moja kule kama utapata hata Sikio Moja la Mbuzi, kulipata uwe na bahati ya mtende kuota jangwani.Hebu Pindisha huko nsikutie machoni kibiriti wewe,aku!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 25, 2008

    ach matusi anon wa 1

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 25, 2008

    ach matusi anon wa 1

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 26, 2008

    Pinda ni kweli umeanza kupinda. hoja ya kuhamia dodoma ni ya muda mrefu 1973 sidhani kama kuna haja ya jamii kutoa maoni. jambo hili haliwezekani kwani dalili zinaonyesha hata wakati wa bunge ikifika ijumaa mashangingi yote yanaelekezwa dar wakati posho zimechukuliwa na mafuta yanatumika ya wananchi. hoja hii ni matakwa ya ccm kwani wanapata unafuu wa kuendesha vikao vyao kwa kutumia hela ya serikali wakati wa bunge. ebu acha kutukumbusha machungu ya dodoma.
    Nantombe
    Moshi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...