dj chris phabby the lover (shoto) akiwa na dj ngomeley. hawa ni baadhi ya watoa burudani enzi hizo za 'maiko jekson njoo, sitaaaaaki, kama hutaki nenda...' nina imani bonny luv atawawakilisha vyema kwenye oldskul party huko columbus siku ya siku ikiwadia. dj luke upo hapo? unakumbuka dy chris phabby alivyokuwa anamwaga lazi ymca na dj ngomeley alivykuwa kule rungwe oceanic kwa mzee mwakitwange??
dj chris phabby the lover (shoto) akiwa na dj ngomeley. hawa ni baadhi ya watoa burudani enzi hizo za 'maiko jekson njoo, sitaaaaaki, kama hutaki nenda...' nina imani bonny luv atawawakilisha vyema kwenye oldskul party huko columbus siku ya siku ikiwadia. dj luke upo hapo? unakumbuka dy chris phabby alivyokuwa anamwaga lazi ymca na dj ngomeley alivykuwa kule rungwe oceanic kwa mzee mwakitwange??

ahsante kwa ukumbusho mzuri braza michu.hebu nitonye yuko wapi dj masoud masoud aka nigger j?ni muda mrefu umepita toka nilipomsikia radio uhuru!ni mc na dj mzuri ambaye hachushi.
ReplyDeleteyuko wapi Isa Kibaya au kwa jina lingine Young Isack wa YMCA?NA MY WIFE WAKE M.SARUNGI?
ReplyDeleteNinavyokumbuka Dj Phaby alikuwa Rungwe Oceanic kwa Mwaktwange na Djs Masoud Masoud aka Nigger J na marehemu Kalikawe aka Kalikali wakiwa YMCA
ReplyDeleteFor those wasiojua au hawakumbuki huo wimbo wa "MJ njoo kama hutaki nenda..." sikilizeni hapa http://www.youtube.com/watch?v=7T4FpommbuA&feature=related
ReplyDeleteBlackmpingo aka DJ Slyrobbins
video michael jackson njoo
ReplyDeletehttp://www.youtube.com/watch?v=OZW9xlLnzJk
ideo mambo si hayo (dont look any futher) http://www.youtube.com/watch?v=3J8kjWfV9xw
rumers (timex socila club)
http://www.youtube.com/watch?v=DRte0S2a_dA
Michuzi hao watu bado wako hai? kwani naona siku hizi watu kama hao kufa kwa ukimwi ni fashion
ReplyDeleteMbega
wewe mbega wewe
ReplyDeleteDoh!
ReplyDeletengomeley kachoka,heti nilisikiaga siku ni mganga wa kienyeji?