To our beloved Tanzanians and Friends all over theworld.

On behalf of the family of Nshoya Magotti ofKalamazoo, Michigan, USA, I would like to inform youthat Mrs. Tabitha Magotti and her two sons, Hosea (25)and Robi (22) were arrested by police on April 28thand they have been in jail since then.

Tabitha Magotti runs a business called AlternativeCare Staffing, a staffing agency in medical areasupplying employees like nurses, CNA to hospitals andhome care facilities. The other two sons aredirectors in the company. Since she started herbusiness, Tabitha has been very active in ourcommunity here in Kalamazoo and in Michigan andIndiana in general. She is a mother to so many as shehas helped countless number of people especiallyTanzanians and Kenyans. Her house has been like aguest house allowing people to stay at her house at nocost when they visit or arrive in America.
With that great spirit of hospitality, she have helpeda number of Tanzanians and Kenyans.

Unfortunately, one of her business competitor hasreported her to the US immigration authorities withthe aim to bring down her business and get herdeported. Mrs. Magotti and her sons are fighting twotough fronts - charges in connection with herbusiness, and if found guilty will lead to herresidence status being revoked . Mrs. Magotti is apermanent resident . It is indeed an uphill battle forthe family as both Hosea and Robi are still incollege. Tabitha Magotti has been a very kind woman ,she has been very supportive within our community andbecause of that we need her here.

Because of the mounting legal cost that will be aheavy burden on the family, we have established alegal defense fund called Tabitha Magotti Support Fundthat will cover the legal cost for all three if we allchip in. The funds will help to retain competentcriminal and immigration attorneys. The legal cost isexpected to exceed US$20,000.00.

We encourage all Tanzanians and friends whereveryou're to contribute whatever you can give towardsthis fund to help the family get through this.Time isof essence and your prompt response will be highlyappreciated.

Please send your contribution to:
Tabitha Magotti Support Fund
8726 Maricopa Trail
Kalamazoo, MI 49009

You can also directly deposit or wire funds to the anyof the following two bank accounts:

Bank of America
Tabitha Magotti Support Fund
Account: 5406948348
Routing or Transit Number: 072000805

or

Chase Bank
Tabitha Magotti Support Fund
Account: 717551154
Routing or Transit Number: 072000326

Should you have any question or for more information,please call any of the following:
1) Dick Manumbu at (269) 352-1088
2) Flora Myamba at (269) 598-7438
3) Yaphet Mkono at (269) 929-0262

Should you wish to extend a word of comfort to thefamily, please call:
1) Nshoya Magotti (husband & father) (269) 599-8378
orby email at
nshoya.magotti@gmail.com
2) Nick Magotti (son) (269) 599-8378

Please forward this message to other networks, yourfriends all over USA and around the world.

Sincerely,

Dick Manumbu
Vice President
Tanzania Community Association

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 92 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2008

    Pole sana! Bahati mbaya approach hii ni ya panic flani, kwani TZ hamna maloya hata wa mkopo? nyie ni chama hamna loya? Nasikitika sana kwamba mnaweza mkazembea akaishia jela, pia usitumie 'kaulimbiu' mpinzani wake amemsingizia maana hayo yote yataamuliwa na mahakama msijedhani huko ni km bongo mwishowe atarudishwa na hapo mnapofanyaga pa kulala bure mkapakosa! Poleni sana msipanic maana naona hata hayo makontact mengi sana, usiruhusu ktk shida kama hii ya kimahakama kuwaachia wananchi waanze kuwapigia simu za pole, gangamaeni akiwa jela ndio kutoa pole! Huyo Yaphet Mkono hana Undugu na Mkono Loya?
    ....mnanikumbusha wimbo wa Ken Rojaz Lucille
    ....
    .......You picked the fine time to leave me, lucille
    Four hungry children and a crop in the field
    Ive had some bad time
    Live thru some sad times
    But this time your hurtin wouldnt heal

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 06, 2008

    sasa shida ni nini haswa? hebu semeni kweli...

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 06, 2008

    shida ni kwamba ndugu zetu wanakabiliwa na tatizo hivyo sisi watanzania tumsaidie mwenzetu kwa hali namali ili wapate dhamana na hatimaye kuyaweka mambo wazi wasirudishwe nyumbani pasipo hiari(deportation).Kwa uzoefu nilionao hawa jamaa wa immigration wakikukamata inakuwa ghafla kabla haujajiandaa hivyo resources zote za kupambana na kesi zinakuwa zimezuiliwa.msaada wowote wa hali na mali kama anon wa hapo juu aliyeulizia kama chama kina lawyer au kama wanaweza kupata legal aid.
    jumuia ya watanzania popote pale tulipo tukiungana kuwasaidia ndugu zetu nina uhakika watatoka na kuwezakusafisha majina yao hivyo kuendeleza libeneke na kutoa ajira kwa watu mbalimbali
    nawaombea mwenyezi mungu awasaidie
    asante
    nzehe

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 06, 2008

    Two things - one, I guess Robi is a daughter not a son, unless I am missing something (my knowledge of Kurya names can't be so flawed) and two - unasema mpinzani wake wa kibiashara kamchongea immigration. I believe hao watu wa uhamiaji wa huko si vichaa wamsikilize tu huyo mchongeaji wakamkamate. Ingekuwa vema kueleza ni makosa gani kakamatwa nayo as surely there are a lot of people out there who would be happy to support a genuine case. As it stands, it sounds dogy.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 06, 2008

    kaka sisi wengine ki inglish iz not richabo,tunaomba ututafsirie kwa kiswahili kuna msaada gani kwenye tuta unaotakiwa,maana msaada kwenye tuta,tangazo kwa kiinglish,sasa wenzangu mie watatoaje msaada kwenye kitu ambacho hawajakielewa?tubadilike watanzania na kujivunia lugha yetu hasa katika matangazo yanayotuhusu wenyewe.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 07, 2008

    Mimi ushauri wangu mdogo sana kwa ndugu zetu watanzania waliokuwa majuu.mnapoamua kufanya biashara huko fatisheni sheria zote.biashara ya nursing agency hina hela nzuri tu na pia ni biashara moja ni very risk inahitaji huangalifu mkubwa sana.kosa kidogo tu unaweza kupoteza leseni na ukafungwa jela vizuri tu.sasa biashara kama hii unahitaji kuhifanya kwa halali kila kitu ,kaudanganyifu kidogo tu kanaweza kukuletea matatizo makubwa mno.sasa unapokuwa na biashara kama hii lazima huwe na misngi mizuri ya kuendesha,kwanza huwe na lawyer ambaye atakuwepo tayari kwa lolote litakalo tokea kutokana na wateja wako au wafanyakazi wako.kitu kingine muhimu biashara ya nursing agency inafaida nzuri tu sasa je kampuni ya mama huyu ilikuwa ina save faida au ilikuwa inajiendesha kivipi?
    Kwa jinsi ninavyojuwa kama mama alifatisha masharti yote ya biashara hii alitakiwa kuweza kujitetea mwenyewe bila kuomba msaada wa fedha.kama kafanya kiujanja basi tatizo lipo hapo hata kwenye kesi yenyewe.kama kila kitu kilikuwa sawa kusengekuwa na kitu chochote mpinzani wake kumchongea.
    Basi lolote hapo liwe fundisho kwa wengine na watanzania wote.
    SASA SWALA MUHIMU HAPA WATANZANIA NA WAKENYA WALIOSAIDIWA NA HUYO MAMA WAWE MBELE KURUDISHA WEMA WALIOFANYIWA NA HUYU MAMA KWA KUTOA MCHANGO.NA WATANZANIA WENZANGU WOTE POPOTE PALE WENYE UWEZO WA KUTOA MSAAADA WATOE KWANI NI KAWAIDA KUSAIDIANA WATANZANIA NA HATA KAMA HUNA MCHANGO BASI OMBENI HATA DUA HILI KESI IENDE VIZURI UPANDE WAKE.haya wadau dua zenu zinahitajika pia.
    Mdau mzawa.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 07, 2008

    Kuna swala linajitokeza kila tangazo au jambo fulani likiandikwa kwa kiingereza, mi huwa sielewi watz ni kweli hatuelewi kingereza au ni hii cancer tuliyonayo ya kuona kila liandikwalo kwa kingereza linatakiwa kukosolewa? kutumia kingereza sio maana tunadharau kiswahili na vile2 kutumia kisw. sio maana hatujui kingereza. Hebu tuache ulimbukeni na kukosoa matumizi ya kiingereza ndio maana kinatupiga chenga halafu tunashangaa wakenya wakichukua kazi zetu.
    Waosha vinywa karibuni kwa hili niko tayari tuchambuane, nakwerwa sana na kauli hii ya kiingereza is not richable! na nina uhakika inatolewa na watu ambao wanaelewa sana kingereza, sijui ni fashion au alergy.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 07, 2008

    As far as I know in the western countries they do follow rule of law,honest and human rights, they not just fixing people, nothing will go wrong if they have done nothing wrong, even if they gonna be deported and genuinely they have done nothing wrong as they claim still they have a chance of an appeal even in Tanzania. Those developed countries are democratic, they are not like third worlds. Unless there is tiny bit of mistake being done by them and from that HUYO MBAYA WAO KAMA MULIVYOSEMA BASI AKASEMA AAAAHAA KAMBA UKATIKIA PEMBAMBA NA YEYE AKAPAONA HAPO PEMBAMBA NA ANATAKA AIKATIE HAPO HAPO, NINA UHAKIKA KAMA KWELI HAWANA KOSA WATASHINDA HIYO KESI HATA KAMA WATARUDISHWA BONGO wanaweza kufungua kesi Bongo, tatizo sasa litakuwa logisitic ikizingatiwa umbali wa nchi hizi mbili. KWANI NCHI ZINGINE ZA WEST HUWA KUNA LAWYERS/LAW FIRMS ZINAZOTETEA WATU NA HULIPWA NA SERIKALI, USA HAMNA KITU KAMA HICHO. MSIINGIZE UOGA KWANI MTAPOTEZA HAKI ZENU, GANGAMALA TU, KAMA UNA HAKI HAMNA HAJA YA KUOGOPA. EXPLORE ALL LEGAL MEANS PLUS CIVIL SOCIETY MOVEMENTS PLUS SENATE/SENATOR HALI IKIWA MBAYA MAHAKAMANI, SO LET IT BE KNOWN WORLDWIDE IF WANAONEWA.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 07, 2008

    halafu the message is so hard to follow maana maneno mengi yameungana. weka spaces between words, maana ina-frusturate kuisoma hiyo message

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 07, 2008

    We dick manumbu ungeandika kiswahili jamni mbona mnajiuma namna hiyo huyu mtu ni tajiri na alikuwa anajiita malti mollionea sasa inakuwaje aombe msaada, Nyie wana wa karibu mliokuwa mnajokomba na kula pesa zake changamkeni kwani mlikuwa mnamlamba sana huyo mama yenu hamuwezi kufanya kitu mpaka aulizwe thabita sasa basi mmemuliza kama anataka msaada au mnajiandikia tu na kizungu cha ngumbaru kueni ungemuomba mkeo hapo kwako akuandikie amesoma yeye na anaweza kukusaidia acha hizo mtu mzima ovyooooooo

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 07, 2008

    Mwenyekiji tunaomba kama umeamua kuomba msaada ufafanue zaidi. Hao uhamiaji si wajinga na hawanyi kazi ya kuambiwa tu kama hawa ndugu wamekamatwa kutakuwa na uchunguzi umefanyika. Unadeal na watu wazima sio kutueleza blaa blaa tu. Na hii ni kesi nyeti na sijui kama umepata ruksa ya huyu dada kuandika information zote hizo. kwani inasemekana alikuwa anatoa kazi kwa watu wasio kuwa na vyeti(cna) wala medical check( eg tb). Msikurupuke tu kuandika vitu before you think twice. Na vipi wale watu waliokuwa wanakaa kwake anawaweka basement bila heating

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 07, 2008

    ingia google na u-mgoogle huyo mama na Kampuni yake uchwara uone ni jinsi gani alivyokuwa anafanya usanii huko kiwanja badala ya kuweka TABITHA MAGOTTI weka jina lake halisi kama lilivyo kwenye passport ambalo ni TABITHA MAGOTI kwa kimatumbi.Hizo nchi haziiendeshwi kinyemela kama huku jamani ! Kuweni makini mnavyoendesha biashara na kazi huko.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 07, 2008

    hatapeliwi mtu hapa!

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 07, 2008

    Mhhh mengi yataandikwa sasa naona hapa badala ya kupata msaada huyu mama atachambuliwa kama karanga! Haya watega masikio na wakodoa macho kazi kwetu!Mi chichemi..

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 07, 2008

    We mwenyekiti gani unashindwa kuweka mambo clear...ah?
    Unasema mama kafanyiwa fitina...haya taja fitina gani hizo?
    eleza kisa hasa cha yeye kutiwa ndani?
    Halafu, kwani huko hakuna watanzania wengine wanaopata matatizo ya namna hii, shida zao zikawekwa humu mpaka huyo mama mipesa?
    au hiyo mipesa yake ndiyo mnayo jivunia katika association yenu?
    Na hiyo association yenu ina maana haina mfuko wa jamii?
    Mwenyekiti weka swala lako vizuri mpate msaada vizuri, na usikatae kwa maelezo yako huu msaada si kwa mama pekeyake na jumuiya yako pia, kwani mnamtegemea vinginevyo..........!
    Mdau Mkongwe.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 07, 2008

    kwanza huyo mama nasikia ana roho mbaya sana kwanza anatabia ya kuleta watu toka nyumbani na kuwa promise atawasaidia na wakifika huko anawaweka basement bila heating wakati wa winter time sasa huo ni msaada au mateso,nasikia ukienda kwa huyo mama ni marufuku kukaa living room unasimama na kusema shida yako kwa vile living room ni ya wageni rasmi, watanzania jamani ndio hivyo watu wanakuwa na dharau wanapokuwa na pesa na sasa malipo ndio hayo anapata na isitoshe nasikia alikuwa halipi tax kwanini asitumie pesa zote alizoiba kwa ajili ya kulipia hiyo kesi yake, huyo mama ana pesa asituzingue sisi na auonyeshe huo umilionea wake sasa, ndio maana unaambiwa dunia tambara bovu yeye alifikiri shida ni kwa wengine tuu sasa yamemkuta na wale waliokuwa najikomba kwake kazi kwenu changeni maana mtakosa msaada wake sasa.

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 07, 2008

    changa la macho,ufisad hoyeeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 07, 2008

    mambo yamekuwa mambo, kazi kweli kweli, mi yangu macho

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 07, 2008

    ....TUTAMSAIDIA MAMA KWA HALI NA MALI KAMA WATANZANIA.... LAKINI SIDHANI KAMA MWANASHERIA WA T.C.A.(CHAMA CHA WATANZANIA)..AMEIDHINISHA.. ANAELEWA /FAHAMU KWAMBA /CHEO/NAFASI KATIKA CHAMA NI RUHUSA KUTUMIKA KUKUSANYA FUNDS KWAAJILI YA (KESI ILIYO MAHAKAMANI), KUANDIKA MAELEZO YOTE HAYA KUNAIDHINI YA MWANASHERIA WA CHAMA ?????

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 07, 2008

    Mh! tutasikia mengi! ama kweli jambo limezua mambo!!!! yamekuwa mambo ya basement tena????? kwikwikwikwikwiiiiiiiiiiiiii!

    Kipilipili

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 07, 2008

    kaka michuzi nakumbuka siku za karibuni uliweka question kwa nini wa bongo wanaogopana wakiwa majuu ama niseme mamtoni ? hii ni moja ya sababu kubwa wengi wetu hawapendi kumuona mtu mambo yake yanamnyookea vizuri . hapa usishangae mhusika labda alijilipua ni mtu kutoka taifa jengine tofauti na mtz na kufanikiwa kupata ukaazi.

    hapo nakuanza kuhangaika na maisha yake pengine alipata mafanikio fulani sasa wabaya hawakupendelea hapondipo fitina na utambi ukawashwa hayo ni maoni yangu .

    ikiwa kama mtz ninayeishi mamtoni. wabaya si wote lakini you dont know who to trust.

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 07, 2008

    maskini ina hosea na robi, mapacha hao, nilikuwa nao muhimbili primary.sina cha kuwasaidia zaidi ya kuwaombea kwa mungu.hosea alikuwa prefect, dah alikuwa poa sana.

    ReplyDelete
  23. AnonymousJune 07, 2008

    Tumieni kiswahili bwana wengine hatuelewi kabisa hicho kingereza as far am concern English is not my first language so plese you have to consider bwana.rudini kwenu mmeng'ang'ania nchi za watu ona sasa yanayowakuta.

    ReplyDelete
  24. AnonymousJune 07, 2008

    poleni sana na matatizo ndugu yangu, sasa basi mie nilikuwa naomba hivi tusiwe na vigeugeu kwani inavyoeleweka huyu maam ni maltimillioneea wa kalamazoona huo msaada aliokuwa anawapa watanzania na wakenya alikuwa hawapi bure hizo pesa walimfanyie kazi nao walipata cha kupata kwani wengine waliwekwa basement na walienda club wakafukuzwa kama hakuweza kuishi na dada zake angeweza kumsaidia mwingine ni wale wanaoficha makucha kuwapenda watu wa nje kujionyesha wana roho nzuri wewe unauhakika alikuwa anawasaidia au alikuwa anawaua baada ya kumleta mgonjwa na kumpatia pesa za kuwaua watu na hayo yote ni malipo hapa duniani kwani yeye ni wa kwanza kudipotiwa acha aende akale dagaaa wa kinesi wenye mchanga na vipi hallwood yake angeiuza mapema.kila mtu anavuna alichopanda,akumbuke maneno aliyomwambia marehemu grace masiaga.

    ReplyDelete
  25. AnonymousJune 07, 2008

    Police Departments (Whatever County you are) hawana 'jurisdiction' kukukamata kwa sababu ya makosa ya uhamiaji 'immigration'. Uhamiaji iko kwenye 'jurisdiction' ya Federal Government. Kwa mtaji huo, ni Federal Agent (ICE to be specific), ambao wataku-arrest kwa makosa ya uhamiaji 'immigration'. So just use your brain!

    ReplyDelete
  26. AnonymousJune 07, 2008

    Wadanganyika mpo?

    ReplyDelete
  27. AnonymousJune 07, 2008

    Atapeliw mtu hapa,richmond inatosha

    ReplyDelete
  28. AnonymousJune 07, 2008

    Hii michango michango ambayo haina kichwa wala miguu haitakiwi kabisa. Huyo mtu kwanza alikuwa anafanya bishara kibongo bongo,mwache atie akili ili liwe fundisho kwa wajinga wajinga wengine kama yeye.
    That's all, Watanzania huu ni wakati wa kuamka na kulitazama suala katika sura nyingine. sio kukimbilia michango tu.... pesa yenyewe ya kiwanja sio kitoto.

    ReplyDelete
  29. AnonymousJune 07, 2008

    namuunga mkono mdau mmoja hapo juu aliyesema kuwa si lazima tuzungumze kinglish tujivunie kiswahili chetu,kwani huyu mwenyewe aliyeandika hili tangazo hajui kingereza vizuri.msinishambulie jamani nina ushahidi mwingi....angalia sentensi hii.she have helpeda number of Tanzanians and Kenyans.kosa moja..sio she have...ni she has.pili ametumia a ikiwa inamaanisha singular sasa tanzanians and kenyans imekujaje?tujivunie lugha yetu tuache kudandia treni kwa mbele.

    nirudi kwenye mada,mm sioni umuhimu wa kulazimisha yeye akae huko kwani hana kwao?aje kuna biashara kibao bongo na hao watoto si watakuja kusoma SUWA au MZUMBE.ulaya hakuna chochote,mm nipo huku lkn sioni la maana hata moja.tanzania yetu ni njema.amini maneno haya wadau.

    mdau.new york

    ReplyDelete
  30. AnonymousJune 07, 2008

    Tatizo letu wabongo hatuwi wawazi, ila inaonekana kuwa huyu mama hakuwa mwema kama mwenyekiti ulivyompamba, pia mimi kama mtu aliye kwenye health field siwezi kumtetea mtu kama yeye, kama ana hatia afungwe kabisa, hakuna muuaji mbaya kama mtu aliyeaminiwa kuangalia wazee au wagonjwa halafu akahujumu nafasi yake maana matokeo yake huwa ni vifo kwa clients wake. Imagine umempeleka mzazi wako kutibiwa halafu anapata magonjwa ya kuambukizwa sababu mwenye kituo cha matibabu hawapatii chanjo waajiriwa wake. Huyo afungwe kabisa halafu ndo wam-deport.Hata hivyo hatokuwa wakwanza kuiona minazi ya bongo.

    ReplyDelete
  31. AnonymousJune 07, 2008

    kama kweli huyu mama hakuwa anafuata health and safety measures, hapa siyo suala la kumhurumia ni suala la kuangalia ni maafa magapi kasababisha kwa vibibi vya watu,na aliyajua hayo maana kama unatumia incompetent staff kudeal na maisha ya binadamu wewe ni muuaji. We mwenyekiti utakubali kutibiwa na mtu asiyejua akifanyacho? acha kutetea ujinga.Pambaffff!

    ReplyDelete
  32. AnonymousJune 07, 2008

    ATAPELIW MTU APA

    ReplyDelete
  33. AnonymousJune 07, 2008

    We Manumbu usitufanye wajinga hapa.

    Mnaleta uswahili nchi za watu.

    Wadua ebu bofyeni hii link http://www.michbar.org/opinions/appeals/2003/093003/20511.pdf

    ReplyDelete
  34. AnonymousJune 07, 2008

    majungu, chokochoko za nini wadau jamani mbona huyo mama ni mtu mwema sana hata mimi alishanisaidia acheni zenu hebu changeni atoke ili azidi kusaidia watu wengine na mimi ni mmoja wa aliokuwa wakijikomba kwake na nitachangia na kuhamasisha na wengine na waosha vinywa kazi kwenu niko tayari kushambuliwa, na kama hukupata bahati ya kusaidiwa nawe hiyo sio bahati yako, haya wabeba mabox mkiamka kazi kwenu niko tayari na wenye chuki binafsi na mwenyekiti yatawashinda.

    ReplyDelete
  35. AnonymousJune 07, 2008

    Kuandika "a number of Tanzanias and Kenyans" ni sawa kabisa hapa "a" ina-refer neno "number" si maeno "Tanzanians and Kenyans"

    ReplyDelete
  36. AnonymousJune 07, 2008

    wabongo siku zote tunajifanya ni marafikitukiwa kwenye raha lakini kwenye shida hatuna urafiki na hiyo tabia sio nzuri na tuiache, huyu mama amepatwa na matatizo tumsaidie ili aweze kutoka na tofauti zetu tuziweke pembeni sababu hakuna mtu ambaye hafanyi makosa katika dunia hii, hivyo basi tuache malumbano yasiyokuwa na maana, tuweke uzalendo mbele tumsaidie mama yetu na nyie waosha vinywa kazi kwenu.

    ReplyDelete
  37. AnonymousJune 07, 2008

    Health field is sensitive and I'm not going to tolerate such thing people need healing not dying, that is lesson to everybody.

    ReplyDelete
  38. AnonymousJune 07, 2008

    Katika story hii kosa la English ni moja tu pale alipoandika "she have" kwingine kote sahihi kabisa, labda mngesema ame-type maneno kwa kuunganisha hivyo inakuwa vigumu kidogo kusoma hilo ni kosa na ku-type alitakiwa kufanya edit baada ya kumaliza typing. English yake perfect kabisa, na swala hapa si English ni substance ya story that deserve to be take on board. Waacheni watu waandike in English hamna ubaya kabisa, it is one of learning process, and Tanzania is no longer a village by its own, but it is a village in a collection of global villages watu lazima wawasiliane and English in an international business language ndo maana hata bidhaa for export toka China zinaandikwa katika English zile ambazo ziko for the market of country which uses English as business language, kwani Tanzania shughuli zote za kiofisi bado hadi leo zinaendeshwa kwa English, kwa nini hatujafuta???? jiulize mwenyewe!!!

    ReplyDelete
  39. AnonymousJune 07, 2008

    THABITA MAGOTI ALICHANGIA UCHAGUZI WA USA PRESIDENT UNDER DEMOCRAT PARTY ANGALI HAPA CHINI.

    Kalamazoo Campaign Contributions -- Huffington PostTabitha Magoti. Donation of $225 to Presidential elections 2008. Democrat. Tabitha Magoti · Manager · Alternative Care Staffing. Updated Q2/2008 ...
    fundrace.huffingtonpost.com/neighbors.php?type=city&city=Kalamazoo&off=100 - 192k

    ReplyDelete
  40. AnonymousJune 07, 2008

    nyinyi watu mliokazania kiswahili pekee ndicho kitumike tanzania,ndio maana mnakufa na njaa halafu baadae mnaanza kulalamika watanzania wasipojua kuongea english EMBU ACHENI USHAMBA nyie kiswahili chenu kimewapeleka wapi zaidi kua nchi ya 2 kutoka mwisho kwa umasikini right from sierra leone??WHAT IS THE POINT OF THIS MESSAGE BEING WRITTEN IN SWAHILI.kwani tofauti ni nini?msg ni ile ile hata kama ingekuwa kwenye lugha ya kirusi.embu acheni ushamba,baadae nyie nyie mtawaona eti wanaenda haidery plaza english course,sasa course ya ninii if you dont bother to practise?i get fed up and irritated with such ignorant people!

    ReplyDelete
  41. AnonymousJune 07, 2008

    Unajua mimi siwaelewi nyie Watanzania mnaoishi nchi za Marekani na Ulaya, sasa kama mnahitaji msaada wa dola 20,000 za Marekani kwa ajili ya mtu kama huyo ambaye amekuwa akiwasaidia Watanzania wengine na kufungua shirika la kibishara kama hilo, basi walala hoi wenu wapo vipi? Inaonekana hakukaliki basi huko! Hebu tuelezeni vizuri, kwa sababu siko moja mliochaa vinywa sana kujisifia kuwa mnalipwa vizuri, basi kama mnalipwa vizuri, basi kama ni hivyo si hata mtu mmoja miongoni mwa aliowahi kuwafadhili anaweza kulipa pesa hiyo? Au ndo changa la mato! Kwa sababu sisi wa huku Ghuba, (na vita vyetu)ambako manakuponda kichizi, hiyo ni pesa ndogo sasa. Sasa uko Marekani kw amasupa pawa vipi? Nielewesheni, ...anyway..msaada ni msaada lakini acheni kujigamba ili wakati wa shida tusivunjike moyo kuwasaidia.
    Kama vipi karibuni huku Ghuba, tuchimbe visima vya mafuta, na pesa ukiipata unapewa yote yote hakuna kodi wala nini.
    Mdau Ghuba

    ReplyDelete
  42. AnonymousJune 07, 2008

    Moja: ukiangalia katika internet kesi yao ni nzito na ni mambo ambayo kusema kweli agency nyingi zinazoendeshwa na waafrika hufanya, kwa kusaidia wenzao na kupenda pesa wakati mwengine.
    Mbili: Hii sio mara yake ya kwanza, kuna document kwenye internet ya mwaka 2003.
    tatu;Ni lazima kuna mtu kamchomea ubani kwa wenye nchi, kwa wengine ni somo daima kumbuka ADUI MPENDE. Watanzania huku bado tunayo tabia ya kuchongeana ovyo ovyo tukigombana kidogo tu.
    Nne: kwa aliyeleta taarifa hii amesema huyu mama amesaidia wengi na ni mkarimu, haya sasa na tuone wale waliokarimiwa watalipa wema!
    Tano: nawatakieni kila la heri katika vita hii lakini kwa mimi kumsaidia mtu ambae hata simjui, nione tu hapa kuwa yuko na matatizo ni vigumu kwangu. nasema ukweli hapa, maana nimefika us mara tatu na mara zote nimeona watanzania madukani na ndani ya usafiri pamoja na sehemu za burudani, lakini kama hawakujui toka nyumbani ni vigumu kukuchngamkia. ni kwa sababu hiyi daima najiweka upande kutowa mchango kwa mtanzania hapa uk ambaye alipokuwa hana shida hakufanya jitihada ya kujuana na wenzake walio mji mmoja. mimi daima nahakikisha nikimsikia mtu anasema kiswahili tu, najitambulisha na kumsalimia, ni uungwana na pia hujui nani atakufaa kesho!

    ReplyDelete
  43. AnonymousJune 07, 2008

    duhh watoto wake wawili ni ma direkta katika biashara hiyo lakini wakati huo huo tunaambiwa kuwa bado wako college, wanakwenda college wakati gani au kazi ya udairekta wanaifanya wakati gani? au udairekta wa karatasini tu ili kuweza kupewa mishahara na to keep it in the family!

    ReplyDelete
  44. AnonymousJune 07, 2008

    To all Tanzanians and Friends,

    It is true that I composed the message with help from the family. On
    Tuesday I called Dick Manumbu our Vice President for the Tanzania
    Community Association (TCA) to air it to give it the weight it deserves.
    He was also the chair of the gathering we had in Kalamazoo, Michigan
    to discuss how to help the family.

    However, after airing the message he now complains that he doesn't
    remember me asking him to air the message but he remembers that
    I asked his email. I don't know how a community leader want to stay
    away from struggles like this especially, as he puts in his email?

    So I acknowledge that I'm the one who composed the message together
    with the family. So Dick Manumbu did not compose the message.

    However, the bottom line is that we have Tanzanians in jail and we're
    seeking for your financial support.

    God bless you all as you stand in the gap praying for the family as well
    as for your moral and financial support.

    Frank Mwakasisi

    ReplyDelete
  45. AnonymousJune 07, 2008

    Michu na wabongo wenzangu,

    Hii ni local case lakini madhara yake ni makubwa mno. Kwa haraka haraka hapa naona lazima mtu anyee debe.
    Mimi niko kwenye healthcare field na ninaelewa case inayowakabili.

    Maoni yangu ni kwamba, hawa watu hawahitaji pesa, wanahitaji DOCUMENTS. Mtu unapokuwa certified kwa kitu chochote, daima original documents unabaki nazo, sasa iweje hawa watu wanabishana kama documents zilikuwa feki au la?

    Sipendi kuhukumu watu lakini document iliyotumwa na mdau hapo juu (pdf.) inathibitisha huyo mama mambo yake hayajanyooka.

    Kama mtu huna hela za kupata lawyer court huwa inakupa FREE lawyer to guide you thru, kwanini wasitumie huyo? maana kama kweli wako innocent then hata lawyer huna haja naye, bring the documents to prove unachosema ni kweli and you are a free human being.

    Pole zao kwa usumbufu anyway!!!


    Mday - NY

    ReplyDelete
  46. AnonymousJune 08, 2008

    Na bado si wewe uliyecompose hiyo mail au huyo mwenyekiti wenu, wote matatupiana mpira mpaka msiopoangalia wote mtakuwa pamoja.

    ReplyDelete
  47. AnonymousJune 08, 2008

    Narudia tena, wabongo acheni kufanya biashara marekani bila kuwa na karatasi inayoeleweka! unaweza kufanya kazi na hizo kanjanja zenu lakini biashara ni no no! The same goes kwa wale mnaonunua nyumba bila kuwa na karatasi, aliyewadanganya kuwa kama ukinunua nyumba watu wa uhamiaji wanaweza kukusare kama una property acheni kuwasikiliza. Nyumba marekani zipo haziendi kokote, acheni mambo ya kufuata mikumbo! use your head to think!

    ReplyDelete
  48. AnonymousJune 08, 2008

    ukweli wenyewe watanzania waishio kalamazoo , wenyewe hawaelewani kabisa kwa mambo ya kipumbavu tu, sasa kama mpaka sasa hivi hawana direction nini wafanye , wala vikao vya kuchangishana , wanasubili wasamalia wema kutoka sehemu nyingine, hapo huyo mama na watoto wake wataozea jela tu.

    ReplyDelete
  49. AnonymousJune 08, 2008

    hivi nyie , Dr frank mwakasisi na Dick Manumbu , ni watu wazima, mmeshindwa kupigiana simu, au kukutana na kuzungumza na kumaliza tofauti zenu hadi muamue kulumbana kwenye internet, wote mmejidhalilisha, na uwezo wenu wa kufikilia unaonekana ni mdogo kupita kiasi,kama nyie ndio viongozi wa jumuiya yenu, halafu viongozi mnalumbana, mnategemea nini???

    ReplyDelete
  50. AnonymousJune 08, 2008

    Utumwa ni kitu kibaya kabisa, na umasikini ni kitu kibaya kabisa, hivi Dr Frank Mwakasisi, hupo hapo kalamazoo kwa kipindi kirefu, unajua taarifa za huyo mama zote kuwa ni mtu mwenye roho mbaya kwa watu wa karibu yake na dharau na majivuno kupita kiasi, yote unayajua vizuri sana, ukaamua kuandika email ya kumsifia ili watu wamchangie FISADI, hivi ujioni kuwa wewe ni mtumwa wa huyo mama thabitha, ushauri andika email nyingine ili watu wachange.

    ReplyDelete
  51. AnonymousJune 08, 2008

    mama thabitha magoti, alikuwa mtu wa kujinadi kuwa yeye mambo yake burudani, na yeye ndio mwenye fedha hapo kalamazoo kwa wageni ( wabongo na wakenya ) sasa inakuwaje leo aombe msaada kwa watu masikini (wabeba mabox ). kweli usimcheke kirema kabla hujafa, binadamu hatujui nini kitatokea kesho au baadaye. fundisho, ukipata vijisenti, usije kujisahau na kujiona wewe kama mungu. wana kalamazoo fanyeni harambee, acheni ubahili.

    ReplyDelete
  52. AnonymousJune 08, 2008

    wana kalamazoo wenzangu, tuache ubahili, tuache upare, tuchange kumsaidia mama yetu na watoto wake, tukumbuke misaada yake, pamoja ilikuwa inatoka kwa maneno ya kujidai , lakini msaada ni msaada tu. wanajumuiya basi tufanyeni hata berbecue moja hili watu wachange, au hata harambee, maana viongozi wetu sasa hivi wana tofauti zao binafsi, tukiamua hizo fedha ni dogo mno, hakuna haja ya kuomba msaada nje, umoja ni nguvu. jerry shika usukani, hao wazee naona mambo yamewashinda. mdau, kalamazoo

    ReplyDelete
  53. AnonymousJune 08, 2008

    Eh!!!!Dr.Mwakasisi tunashukuru kuandika tangazo kwa kushirikiana na familia ya Tabitha.Je, ulitumia kigezo gani kuandika jina la D.Manumbu au wewe ndo personal secretary wake?Yaelekea siku nyingi ujatumia u-daktari wako?Tumia hekima na busara
    Watanzania unganeni kumsaidia Tabitha.Mumewe wa Tabitha ni fisadi hivyo ahitaji msaa wa pesa.Tumieni vijana wadogo wazee na madaktari wenu hawajui kitu

    ReplyDelete
  54. AnonymousJune 08, 2008

    Michuzi; Allows me to air my view on this issue. First of all, we can not rush to judgement because everybody is innocent until proven guilty by the courty of law. Having said that; I place a call to each and every one of you to have atleast a tiny bit fiber of atruism, generosity and a caring heart as we are putting our hands together to pitch in and allow the legal process to take its course. Conventional wisdom will teach us that if you had anything against her this is not a right venue because the motion was introduced mainly to launch our support to her.Watanzania wenzangu tuwe wastaarabu. Huitaji kuwa na digrii kutambua kwamba ujumbe huu una walengwa na wale wote wote wenye mapenzi mema ya kuchangia; kama hamna jema la kusema nyamazeni na siyo kuongea pumba. Ninasisitiza tuige mifano ya wenzetu. Ni juzi tu senator Kenedy amekuwa diagnosed na malignant brain tumo(cancer ya ubongo) lakini republican na democrats, marafiki na maadui, lakini cha ajabu watanzania wachache mambumbu likitokea jambo kwa mwenzao kidogo kukashifu na kutukana na kujifanya nyie ndio watakatifu. Dr. Frank Mwakasisi you are a hero, nakupongeza kwa kazi nzuri ya kutafuta msaada wa hali na mali ili mtanzania mwenzetu awe huru. Kumbuka wote hapa marekani tuko vitani, vita ya kuleta maendeleo na kujinasua na umaskini, kutafuta elimu na maisha bora. Tunaomba watanzania wengi mjitokeze kuitika wito na tufanikishe kuokoa mpiganaji mwenzetu. Nyie wapiga debe mshindwe kama mna la kusema andikieni mafisadi nyumbani Tanzania wanaoiibia serikali yako na taifa lako changa. I'am dissapointed in all of you who implied a negative cannotation to this positive agendum. In my record book you are cowards, negative minded, cold blooded........ I don't care how you justify your stupidity. I hope you will read between the line and come up with a better take but everything else you said are cheap shots in the eye of my philosophical mind. If this does not ring the patriotic bell in your little "medulla oblongata" shut the f..ck up.

    ReplyDelete
  55. AnonymousJune 08, 2008

    Wabongo wenzangu; kuna nini mbona mnachachawa, jamaa wanaomba watu wanaomjua, kumthamini, kujali au kutambua mchango wake kwenye maisha yao wamchangie kwa nia nzuri. Sasa mnaleta mambo mengine, ooo amewalaza watu bassment bila heating kwani aliwabembeleza waje marekani bwana? Kwanza mimi nadhani wamshukuru hata amewapa bassment si wangeenda kulala Mariot au Holiday Inn. Mnaongea mambo gani hayo sasa; sura mbaya kufa hamfi; waone vile. Mnanichefua

    ReplyDelete
  56. AnonymousJune 08, 2008

    Oh dear, I think there still more to come on this agenda, sisi wasomi tutasoma tu. All the best to all who support and those who are opposing. Angalieni msimwage mtama kwenye kuku wengi. God bless

    ReplyDelete
  57. AnonymousJune 08, 2008

    Mdau wa June 08, 6:37 AM,

    Umevamia fani ndugu yangu. Medulla oblongata haihusiki kabisa na mambo ya kufukiria na kufanya maamuzi. Medulla oblongata inaendesha matendo au mifimo isiyo ya hiari kama kupumua, mapigo ya moyo n.k. Kama wee unatumia medulla oblongata kufikiria na kufanya maamzi basi wewe ni wa kwanza.

    Mdau wa fani

    ReplyDelete
  58. AnonymousJune 08, 2008

    Hivi huyu Mwakasisi bado anakumbuka Kiswahili? Mimi naona ujumbe wake wote ni Kiingereza tu. Popote nisomapo ujumbe wake huwa umeandikwa kwa Kiingereza!!! Hata kama unakwenda kwa Waswahili!! Yaani umekuwa mtumwa hivyo Mwakasisi? Mawasiliano hayana maana kama ujumbe wako haufiki kwa walengwa. Ni sawa na kumwandikia Mjapan Kiingereza, Mmarekani Kiswahili, au Mchina Kifaransa. Tujitahidi kujikomboa kifikira. Tumia Kiingereza unapowasiliana na Wamarekani, UK, Australians, na wengineo wasiongea Kiswahili Tumia Kiswahili kuwasiliana na Waswahili.

    ReplyDelete
  59. AnonymousJune 08, 2008

    Frank Mwakasisi una tabia ya kuongopa. Sijui wee ni mchungaji wa kanisa gani hilo! Leo umetumia jina la Dick Manumbu kutuma ujumbe wako (tena wenye Kiingereza makosa). Siku zilizopita ulisambaza picha za mtu aliyekufa kwenye ajali ya gari ukidai kwamba ni ajali uliyosuhudia Michigan kiasi cha siku kadhaa tu zilizokuwa zimepita. Kumbe picha hiyo ilikwisha sambazwa kwenye internet miaka mingi iliyopita. Kwa nini una pepo la kusema uongo? Mwombe Dick msamaha na utubu.

    ReplyDelete
  60. AnonymousJune 08, 2008

    Wana kalamazoo wote ni unafiki mtupu leio wanacheka na wewe wakigeuza mgongo tuu ni fitina, umbeya, majungu na makorokoro kibao na hii yote ni sababu ya kutokuwa na mambo mengi ya kufanya rudini shule melimike na fanyeni kazi na kumind business zenu na inapotokea shida mnasaidina wenyewe na si mambo ya kuomba msaada kwa vijisent kama hivyo, kwanza kuna watu wanajiita matajiri ambao hawana hata tofauti na huyo Tabitha si waonyeshe utajiri wao sasa tuuone ili haya yote yaishe, Jerry na Flora shika usukani mshikaji wazee wazima kazi imewashinda

    ReplyDelete
  61. AnonymousJune 08, 2008

    haya matajiri wanaojiita watajiri kazi kwenu mchangieni tajiri mwenzenu mbona longo longo nyingi sana, ubahili tuu umewajaa watu wazima hovyooo!!!!!!!

    ReplyDelete
  62. AnonymousJune 08, 2008

    Kalamazoo, kalamazoo, moto kweli umewaka na watu kweli wanauchochea, kweli sitaki kupata picha hata ufisadi umekuja kutuingilia na sisi, hatapeliwi mtu hata vijisent vyetu tulivyopata baada ya kubeba mabox tutabaki navyo wenyewe na waosha vinywa lisukutueni hili

    ReplyDelete
  63. AnonymousJune 08, 2008

    Kalamazoo, party, party, berbecue for summer, bongo flava i mean dancing kwa sana, jerry fanya mambo basi mtu wangu ili watu wamchangie mama yetu kabla ngoma haipasuka, sasa mayor wa kalamazoo inakuwaje hiyo hebu tupashe lini tuje tujivinjari maana mabox yameshatuchosha na mama yetu aweze toka basi maana tutamiss sana zile bling bling zake.

    ReplyDelete
  64. AnonymousJune 08, 2008

    guys especial tanzanians wa majuu.rudini kwenu mbona tanzania hakuna matatizo. the problem with us tz we think majuu is everthing wakati unaweza ukaaa tanzania n make alot of money

    ReplyDelete
  65. AnonymousJune 08, 2008

    hey tanzanians dont contribute anything hao ni wezi tu.

    ReplyDelete
  66. AnonymousJune 08, 2008

    This is what they did wrong, inshort ni "wame foji doc." hakuna cha kuchongea wala nini. soma below

    S T A T E O F M I C H I G A N
    C O U R T O F A P P E A L S
    PEOPLE OF THE STATE OF MICHIGAN,
    Plaintiff-Appellee,UNPUBLISHED
    September 30, 2003
    V No. 240488 Kalamazoo Circuit Court TABITHA NSHOYA MAGOTI and CARE WITH LOVE, LC Nos. 01-000566-FH; 01-000567-FH

    Defendants-Appellants.
    Before: Smolenski, P.J., and Murphy and Wilder, JJ.

    PER CURIAM.

    Defendants appeal as of right their convictions of seven counts of uttering and publishing,
    MCL 750.249, entered after a jury trial. We affirm. This appeal is being decided without oral
    argument pursuant to MCR 7.214(E).
    Tabitha Nshoya Magoti was president of Care with Love (CWL), a staffing agency. CWL supplied persons who purportedly held competency evaluated nurse aide (CENA) certificates to nursing facilities. The Attorney General-Health Care Fraud Division charged each defendant with seven counts of uttering and publishing based on allegations that the CENA
    certificates furnished for seven persons sent to work at the Upjohn Nursing Home were not authentic.
    Prior to trial the prosecution filed a notice of intent to introduce other acts evidence
    pursuant to MRE 404(b). The prosecution sought to introduce evidence that defendants also
    submitted false tuberculosis (TB) test results for persons sent to work at nursing facilities,
    including the Upjohn facility.

    For more info. copy n paste the below link:
    http://www.michbar.org/opinions/appeals/2003/093003/20511.pdf

    Mdau T-Dot

    ReplyDelete
  67. AnonymousJune 08, 2008

    anon 8 6.45
    watu wamejibu au kutoa point zao kutokana na huo ujumbe ulivyoandikwa. Kwani wangeomba msaada tu bila kutaja hivyo visifa walivyompa huyo mama na response zingekuwa tofauti. Kwani walitegemea wakimpamba sana ndio matokeo yatakuwa mazuri. As you can see it turned to be a catastrophe. Once again god bless haya yote ni majaribio katika maisha hapa duniani

    ReplyDelete
  68. AnonymousJune 09, 2008

    Hapa kuna ufichaji wa ukweli wa jambo au tukio halisi. Hapa Marekani kila idara inafanya kazi kwa kujitegemea. Kwa hiyo kama wamekamatwa na polisi ina maana wana felony case ya kujibu. So tuelezeni wazi ni kosa gani huyo mama na watoto wake wamefanya? Sio kutuletea usanii wa maneno tu hapa. Katika hii nchi sisi wote ni wageni, na kila mtu ana njia zake za kutafuta maisha, so katika njia hizo ndio wengine wanaangukia mikononi mwa law enforcers. Hapa wabongo tunachanga sana wakati wa matatizo, hilo halina shida kabisa, lakini kabla sijatoa dola 100 yangu ni lazima nijue ni kosa gani haswa limewatupa jela. Uhamiaji ni lazima wawe na strong reasons za kuwafukuza, felony ikiwa mojawapo. Nashangaa kwa nini mmerukia kwenye uhamiaji mapema hivyo wakati wahusika wana green cards. Kulikoni?

    ReplyDelete
  69. AnonymousJune 09, 2008

    Wadau kesi yenyewe ni hiyo hapo. Hebu kila mmoja anayeelewa lugha ya kiingereza a-google hiyo address hapo chini.
    http://www.michbar.org/opinions/appeals/2003/093003/20511.pdf

    ReplyDelete
  70. AnonymousJune 09, 2008

    Haya kumekucha,
    Inaonekana huyu ni tapeli tu na hao sijui wenyeviti na wapambe zake hovyo kabisa.
    Nasikia anaweza kukuua akicheka
    huyo mama.
    Hivi mnadhani Marekani ni kama hapa tulipo sisi ?

    Hizo documents hapo juu zinaonyesha kesi yao ni kitu seriasi kabisa.Nani amsingizie mtu ktk docs kama hizo?
    Tatizo ni kutufanya watu wengine zobe vile hatukufika majuu.Huyo mama nasikia anaweza kufanyia unyama wenzetu na hao wenyeviti wapo wanamkodolea macho wala mtu hasemi kitu make ni Thabita anafanya hivyo hakuna anayeweza kumkosoa, sasa ???
    Mnapoenda nje mkumbuke tulivyolelewa kama Watanzania sio mtu akipata visenti basi iwe shida kwa wengine na vibaraka kuona poa tu.

    Hilo ni fundisho tosha
    Mdau

    Moshi

    ReplyDelete
  71. AnonymousJune 09, 2008

    Ok guys
    According to the above, this is a good form of corruption.

    There are hundreds of people leaving their countries cause they hate corruption as that is exactly what makes poor countries poorer.

    Obviously she is exporting corruption by not paying taxes to this great nation where that is something serious of which i am a grateful citizen.

    i originary came from Kenya but we all know how this woman is bad

    We just have a whole bunch of places she did other thatn the mentioned ones, we since 2000 places like The Metron of Kalamazoo, Sant Joseph in Benton Harbour, In Detroit Michigan using other names like Healthcare Professionals,etc etc

    90% of her staff members are were not or are not authorised to work in this country beacause they are here illegally.

    I am mad at this woman because she she was pimping a person who was HIV positive to our fellow Kenyans, and even pain the guys cash to just hook her with them!!!!

    Using Alternative care staffing she used the same HIV positive woman to work for our senior citizen in Parchment for a lomg time without TB testing or even advising her to use protective gears like gloves.

    This woman is terrible and must go to jail.

    Citizen
    USA

    ReplyDelete
  72. AnonymousJune 09, 2008

    Wa bongo acheni upuuzi, u guys need to grow-up!!
    1. kama unataka kusaidia basi saidia na Mungu akubaliki. nakama utaki acha and shut the hell .
    2.unayesema watu wa Kzoo "wanafiki" mimi nakuona wewe ndo mnafiki, kama unacomfess just go ahead and comfess as indiviual sio unageneralize..acha upuuzi wako, usihare kama uko chooni!!
    3.wewe Dr. mwakasisi, unatabia mbaya sana, acha uwongo! nimesha kushuhudia several times ukisimulia uwongo.Wewe unajiita mkristo, wakristo tunatakiwa "nuru zetu ziangaze kwa watu" chakushangaza ya kwako "inachoma watu"!! Mwombe Dick msamaha wa kweli, ulichokiandika pale ni upuuzi sio msamaha!! mtu akikupa email ajakupa ruhusa yakutumia cheo chake kupublish barua kwa watu kwa kutumia jina lake na cheo chake!! sasa ivi watu wanamtukana Dick kwaajiri ya upuuzi wako, acha ujinga you need to grow up and be a true christian. Tunajuwa wewe Dr. Mwakasisi sikuzote ni mpinzani wa Thabita, and i strongly bealive uanfurahiya haya ambayo watu wanaandika kuhusu dada Thabita. Wewe hasira zako zakuwa jobless na kufukuzwa kwenye nyumba ndizo zinazo kusumbuwa. Sasa huna pakuzipeleka unamalizia kwa dada thabita. But remember it's just a matter of time, coz what goes around comes around!! Dr. Mwakasisi I've no respect of u anymore you are nothing but full of nonesense!!!!
    5. Thabita hajaomba msaada kwa mtu bali ni upendo wetu watanzania ndo maana tunamchangia, hatuitaji kuombwa. nahakuna mtu anayelazimishwa kutoa!!!!

    ReplyDelete
  73. AnonymousJune 09, 2008

    Wewe anony wa June 9, 1:51am; Mkenya unayejifanya citizen wa USA, kwanza akili yako haikutoshi kabisa hata wewe mwenyewe na ni limbukeni mkubwa! Unajifanya unaipenda na kuitetea USA, kama wewe una akili nzuri si ungekuwa mzalendo wa nchi yako Kenya?? Kilichokufanya usaliti nchi yako kwa makaratasi ya uongo na kuwa raia wa nchi isiyokuhusu nini?

    Unamsema Tabitha alim-pimp mgonjwa wa HIV kwa wakenya, who are you and who are these people by the way, 5-YEAR OLDS?? How can you expose yourself to an HIV infected person and yet condemn someone else for your stupidity? Have you ever heard of these phrases at all in your life: “protection”, “pima HIV kwanza”, “be responsible for your own actions” etc.? Oh, and even if Tabitha paid money to pimp the HIV person, have you thought seriously and intelligently and came up with the conclusion “it’s Tabitha’s fault for the Kenyans waliojiingiza kingi? Haki ya Mungu wewe ni kichaa! I think you are just a stupid and frustrated individual who as well needs an immediate care for your “mouth diarrhea” and severe “brain issues”.

    I’m also sure Tabitha didn’t knock door- to- door seeking for any of the 90% of the people you mention to work for her without proper authorization or to go live in her house. Now that she got into trouble this becomes sorely Tabitha’s problem. Be human you fool. No single human being is perfect under this sun; kuanzia wewe-you should know better.

    Watanzania, mimi nadhani kama unamfahamu Tabitha, unaweza, na unapenda kumsaidia tafadhali fanya hivyo, kama huna uwezo Mungu atakujalia siku moja, na kama unamfahamu au humfahamu na hutaki kumsaidia vile vile inaeleweka. Sidhani kama kutoa maneno na kashfa nyingi kwake au kwa walioandika ujumbe itasaidia lolote. Na si utu. Huo muda unaopoteza visivyo hapa ungetumia kufanya mengi ya maendeleo kwa familia yako na taifa lako.

    ReplyDelete
  74. AnonymousJune 09, 2008

    Hi guys thats it. Wenye akili wataelewa na sisi tunaotumia maji badala ya ubongo tutaelewa. Tunavunjiana heshima tu na kumwaga mtama kwenye kuku wengi. Si Dr Mwakasisi au D. Manumbu lets forgive them who ever wrote that message i think they were trying to help. Sasa hiyo jumuiya yenu ivunjeni na muuende ingine isiyo na watu wenye chuki. Once again GOD BLESS

    ReplyDelete
  75. AnonymousJune 09, 2008

    kila kukicha majungu yanazidi, sisi wengine tuko tunasoma na kushangaa tu. mambo mawili nataka kusema
    Moja: hujuma amabazo wachangiaji wengi wamezielemeza kwa huyu bibi, (sijui kama ni kweli au uongo), wapo watu wenye asili ya afrika mashariki wenye hulka hizo hasa hapa uk.
    Mbili: huyo anaejiita mkenya si mkenya, maana english yake ni mbovu kupita kiasi, wakenya english yao ni nzuri sana.

    ReplyDelete
  76. AnonymousJune 09, 2008

    ooh dear, kweli mambo yamekuwa mambo hebu watu acheni mambo ya kipuuzi na ujinga mtupu, kama hujisikii kuchanga acha na funga mdomo wako.

    ReplyDelete
  77. AnonymousJune 09, 2008

    Unaona walikuwa wanajikomba kwa huyo Tabitha yamewauma sasa wameamua kumtetea ila si makosa yenu maana hayo ndio malipo yenu, baada ya kusaidiwa, kazanane kwa bidii ila ukweli unabaki palepale

    ReplyDelete
  78. AnonymousJune 09, 2008

    we nawe anon june 9th 12:52 toa pumba zako sasa,eti wakenya have 100% perfect english,who told you?ninawajua wakenya ambao hata how are you hawaijui,dont bring nonsense here

    ReplyDelete
  79. AnonymousJune 09, 2008

    Jamani hawa wanaoomba huu mchango ni kujipendekeza tu, wala mimi sioni kwanini watu mnamtukana Tabitha kwasababu yeye binafsi sidhani kama ana shida kiasi hicho jamani.
    Na kingine ni kwamba, kwa wenzangu mlio hapa kalamazoo hivi ni wangapi wameenda jela miaka na miaka tena saa nyingine bila hata makosa ya maana, mbona huo umoja wenu haukukaa kikao kufikiria hao watu na hao ni masikini kabisa mnajua (sitaki kuwataja), sasa iweje leo kaenda tajiri ndo mjishebedue kuchanga? mnataka shift? au ndo kusema aliyenacho huongezewa?

    mimi naona huu ni unafki mnataka mama akitoka jela awapende hamna lolote, na mnanishangaza sana watu wazima mnajipendekeza mpaka leo, hivi hamfikirii jamani? au kwasababu aliwaleta huku, hebu mwenyekitu tueleze kuhusu hilo?

    ReplyDelete
  80. AnonymousJune 09, 2008

    Mbona hii documents ambayo tumepewa link tusome ni ya mwaka 2003? hivyo hiyo kesi ni hiyo hiyo imeenda kwa miaka mitano? kama ni hiyo hiyo basi ni lazima ilikuwa bongo la skandal!

    ReplyDelete
  81. AnonymousJune 10, 2008

    kulala basement mlikuwa mnamiss sana,Mama kasaidia watu wengi sana nina imani Mwenyezi Mungu atamsaidi tu acheni majungu.Ask yourself what did you do in your own society or your own community?Better her she had done a lot of things to people.tenda wema wende zako usingoje shukrani.Kipindi cha shida usikumbuke mabaya tafadhali hakuna binadamu aliye msafi au aliye kamilika kimawazo mama hakupena akamatwe kila mtu atabeba msalaba wake so do not blame her.

    ReplyDelete
  82. AnonymousJune 10, 2008

    NDUGU WANAINCHI, JAMAA NA MARAFIKI

    Ninatoa shukrani zangu za dhati na ninawashukuru kwa kuungana nasi katika wakati huu mgumu.

    Ninachukuwa nafasi hii kuwaomba MSAMAHA na KUTUBU kutokana na utata uliojitokeza katika kutuma ujumbe muhimu na kutumika kwa cheo au nafasi yangu bila idhini au kufuata kanuni za T.C.A. (CHAMA/UMOJA WA WATANZANIA).

    Ni dhahiri kwamba nilifanya mawasiliano na mwenzagu haraka haraka ilikutoa kufikisha ujumbe katika wakati unaotakiwa.

    Bila shaka mimi na mwenzangu hapa Kalamazoo tumeondoa na tumeweka kando tofauti zetu na tutaendelea kushirikiana kwa hali na mali kumsaidia MTANZANIA mwenzetu katika kipindi hiki kigumu.

    AKSANTENI KWA UTULIVU, BUSARA NA HEKIMA ZENU.

    DICK MANUMBU

    ReplyDelete
  83. AnonymousJune 10, 2008

    je wapo related na Magoti wa LART..loan recovery tribunal
    please send us a profile and pictures ya hawa watuhumiwa to sunasset@hotmail.com. The green buck.....EVASIVE AS ALWAYS
    mimi nikipata maelezo zaidi ya nini hasa wanatuhumiwa ,nitachanga(BIG TIME!)Manumbu hufai kuwa kiongozi unakuwa kigeugeu sana

    ReplyDelete
  84. AnonymousJune 10, 2008

    watetesi wengi!!!!! kama kweli mnampenda na hana majungu mbona bado watu wanajadili hili? ni vizuri kama mmoja wenu ataandika kuwa pesa zishapatikana kutoka kwa wanaompenda na waliosaidiwa na huyu mshitakiwa na kwa sasa hukuhitajiki fedha zaidi na tunafunga majadiliano! hiyo itakuwa nzuri na itaondowa mlolongo wa mashambulizi kwa huyu bibi. pia kuna walosema kuwa huyu bibi hahitaji msaada wa watanzania ila ni watanzania wenyewe ndio wamekuja na wazo hilo, nadhani kama hilo ni kweli basi pia kwa sasa mngelishamaliza kukusanya hizo pesa kwani sio nyingi hivyo ukilinganisha na idadi ya watanzania hapo kalamajuu (ha ha ha). kwa hiyo nao waandike kama basi hatuhiaji fedha zaidi tumepata za kutosha.
    Kwa sisi wengine bado hamjaturidhisha na mnayosema, tumesoma kwenye website alichofanya mwaka 2003 na sio kosa dogo. Na kama ana watu wengi wanaompenda isingefikia kuletwa taarifa hii hapa kuombwa mchango. mliposikia tu kama ameshikwa na dola ngapi zinahitajika kila mmoja angelishafunuwa wallet yake na kutowa angalau $200. sasa fikiria kwa watu woote alowasaidia na kuwa wanajuwa kama ni mwema basi kwa sasa mngelisha pitisha kiwango kinachotakiwa. Lakini badala yake leo tunasoma tena mwenyekiti akikubali kuwepo kwa ombi la mchango.

    ReplyDelete
  85. AnonymousJune 10, 2008

    Haya wana kalamazoo, Especial Dick manumbu na kamati yako, mnapoamua kuwa viongozi muwe manafanya vitu kwa kufikiria, You guys a like 15 years old, mara sikusema, nilisema, cheo changu kimetumika bila hidhini yangu. Mnatia aibu sasa kama nyie wazee miaka hamsini uongozi wenu uko hivi. vipi hao mnaowaongoza, siajabu mnawavuluta tu kama mipira. Its time for you people to go( muachie madaraka). WANA KALAMAZOO EMERGENCE MEETING AND ELECT NEW LEADER HAO MLIONAO KUANZIA MWENYEKITI NA HUYO PR WAKE WAMETIA AIBU.SIJAWAHI KUONA WATU VIGEUGEU KAMA HAWA. ONCE AGAIN GOD BLESS NA TOFAUTI, MMEWAPA WATU WENGI FAIDA.

    ReplyDelete
  86. AnonymousJune 11, 2008

    Toa mchango kama unao,kama huna hali inaeleweka .Wanaondika maoni kwa kutoa lugha chafu,ni watu wasiopenda kusaidia wenzao na hawana pesa za kuchangia.kazi yao ni maneno machafu na kuchafua jina la mwenyekiti.
    Yamewashuka!!!Mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania kalamazoo udumu!!!!Tumemchagua mwenyekiti wetu wenyewe.Hajiuzulu mtu hapa!!!Na kama inakuuma chukua kamba ujinyonge.Mtajijuuuuu!!!!

    ReplyDelete
  87. AnonymousJune 11, 2008

    Wana blog,
    Napenda kuwakumbusha kwamba sasa tuna vita ya kuwakomboa wenzetu waliopo jela.Tusiwape nafasi wenye vinywa kama -septic tank,wasema hovyo,wasiojali utamaduni wetu wa kusaidia kwenye shida na raha.Wabaya wa Jumuiya ya wamejulikana.Tunawaombea ili pepo hilo baya liwatoke.
    Well!! enough is enough.Now vice president & your team,please move fwd.We are depositing our contribution.
    Longolongo mwisho!!!!

    ReplyDelete
  88. AnonymousJune 11, 2008

    anao 11june 8:24
    Ni huyo mwenyekiti wako na hiyo kamati yake ndio wamechafua majina yao. Wanatubu kwani tuko kanisani hapa, na kama alikana mwanzo kuwa hakuhusika kwa nini sasa aje kusema anatubu. Mmewachagua wenyewe kwanini tofauti zenu mnatuletea sisa. Mtakaa kupelekwa pelekwa na kuombana misamaha.

    ReplyDelete
  89. AnonymousJune 12, 2008

    Wapenzi wa blog
    Napenda kuwa tahadhalisha kuhusu wachafunzi wachache wanao andika maoni kutumia majina ya wenzao.Watu hao wanapaswa kujirekebisha na tabia hiyo mbaya kwani wanapotosha umma.Naomba tuwe waungwana kwani mwenzetu kapatwa na matatizo,upelelzi bado unaendelea.Hivyo naomba tuwe makini kwani mwenzio akinyolewa.....
    Midomo mirefu kama ya bata.Tuna hakikisha kinaelewa"Mambo ya pesa"

    ReplyDelete
  90. AnonymousJune 12, 2008

    Wasiokuwa na pesa za kuchanga ndo wanabwabwaja na maneno(Maneno ya mkosaji).Hawana lolote.Mtajijuuu!!!!Na kama roho zinawauma nendeni immigration!!!!!!Wivu na roho ya korosho!!Pepo wa matusi kawajaa.Hebu tuwazomee.Mwezenu kuwa matawi ya juu,nyie midmo juu.Fanyeni kazi.Ujaja kupata!!!

    ReplyDelete
  91. AnonymousJune 12, 2008

    solve your own problem nyie mlio matawi ya juu, if thats is the case why bring it to our blog, ujajanua mwingine sio kufapa tu, na matokeo yake ndio hayo. sisi acha tufanye kazi na nyie wa matawi ya juu solve your problem then.

    ReplyDelete
  92. I have a dream that one day..... you will be free..... one day... justice will ring!!!! from the Hill Top mountains of Tenessess to the stone Mountains of Georgia.... Free at last... free at least.... thank you god the alminght y'all will be free at last.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...