warembo wa miss kinondoni wakiwa kwenye sherehe za uzinduzi wa udhamini wa castle lager wa kombe la kagame 2008 hoteli ya moevenpick usiku huu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 01, 2008

    HEEEE..HIVI KUNANII..MBONA HIVYOOO LAAA...ASALALAA..WAREMBO HAO

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 01, 2008

    sipendi, sipendi, sipendi pale wandaaji wanapowatumia ma-miss kama chambo.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 01, 2008

    ina maana bongo hakuna kitu kingine ambacho hawa kina dada wenye attitudes wanaweza kufanya zaidi ya kushindana kwenye mashindano ya "uzuri"?Kila siku miss wa nanilii anatafutwa,ooh kidampa fulani kawa miss wa nanilii.Kina dada tafuteni fani nyingine hii ya uzuri ni maji ya uvuguvugu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 01, 2008

    Kuna mtu amepata kuandika mahali kwamba U-Miss ni civilized version ya biashara ya utumwa. Ni mshindi tu atakayefaidika kidogo lakini wengine wote wanaishia kusakiziwa wanaume.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...