Da'Chemi ni mmoja wa wadau wakubwa na bloga alietukuka wanaoendeleza libeneke la filamu kwa kwenda mbele. Hivi sasa yuko kwenye kozi fupi ya kuigiza ambayo anatarajia kumaliza mwezi ujao. anasema kwa wao waigizaji huko aliko ni lazima wachukue kozi mara kwa mara, has akiwa ni mwanachama wa Screen Actors Guild na AFTRA (American Federation of Radio and Television Artists) ambavyo ni vyama vikubwa vya waigizaji wa filamu. Mtembelee kwenye globu yake kwa kubofya hapa ama angalia picha zake zilivyopigwa hapo chini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 21, 2008

    Dadaaaaaaaaaaaa, kudadadeki. Haya bwana mfaidi tu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 21, 2008

    Lakini sister si uko huko majuu kwa wenye kujua afya bora. Jitahidi basi na hizo diet zao kidogo. Sisemi kwa ajili ya urembo bali umri ukiengezeka ni muhimu ntu kupunguza kilogram kidogo. Unene huo mzuri kutazama lakini honestuy utaharbour magonjwa mengi tu ukihit 50 na maburger yenu huko sijui itakuaje.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...