Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwaaga wafanyakazi wa kampuni ya Kyocera katika mji wa Yokohama,Japan muda mfupi baada ya kutembelea makao makuu ya kampuni hiyo jana.Kamouni hiyo inayojishughulisha na teknologia ya mawasiliano ya wireless kwa simu na internet imewekeza nchini Tanzania na inampango wa kupanua na kusambaza shughuli zake nchini.Akizungumza wakati wa ziara yake katika kampuni hiyo Rais Kikwete aliihimiza kampuni hiyo kuongeza kasi ya uwekezaji nchini ili kuongeza nafasi za ajira kwa Watanzania na kuongeza ufanisi wa teknolojia ya mawasiliano

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2008

    Rais mpenda misele huyu! kazi ya mawaziri yawa nini sasa?

    ReplyDelete
  2. HUYU ANON ANAMUITA RAIS WANGU TUKUFU MSANI AMEN.
    LEMA NA MWAMILA WA FOE MMEIKALIA POITIC

    PROF DR ING TUMAINI GEOFREY TEMU/LIAMPAWE.
    ZIBARIKIWE NDOTO ZA RAIS AMEN

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...