mdau peter bennet wa sauti za busara kaleta hizi sasa hivi akionesha wasanii wa sinachuki kidumbak wakiselebuka huku mvua ikinyesha usiku huu ngome kongwe zenji kwenye tamasha la ziff. ilibidi shoo ikatwe kutokana na mvua hiyo kubwa ambayo hata hivyo waandaaji wanasema kesho ambayo ni siku ya saba libeneke kama kawa


Bongo kumekucha na tambarare bwana, halafu una enjoy. Barabarani huko mitumbwi ilikuwaje? teh teh teh
ReplyDelete