Viongozi wa soka katika tafakuri jadidu ya mchezo ulivyokuwa neshno baadaya Yanga kuifunga Miembeni kagoli kamoja tu pamoja na kwamba ilijitengenezea
fursa nyingi mno za kuingia ndani ya 18 lakini hola. Kama
'finnishing' ya vilabu vya soka ndiyo hii tatizo la finnishing ni la
Maximo peke yake katika ngazi ya timu ya taifa?
Jana neshno katika Kagame Cup ambayo Castle Lager ni mdhamini mkuu kwashilingi 80m, shilingi milioni 3 kwa kila timu ya nyumbani (Simba,
Miembeni Yanga, paparazi mmoja alifanikiwa kuwanasa maselebriti, ambao
kumbe ni wana Yanga, waliokwenda kushuhudia mechi ya Yanga na
Miembeni.Selebriti mmoja nae pichani katinga fulanaz yake ambayo pasi
na shaka kazawadiwa na mai waifu wake aliyekuwa huko ughaibuni
kusherekea na kumpongeza madiba kwa bethdei ya 90.
'Rais kumbe hata waalimu wenzangu nao katika vilabu wana tatizo lafinnishing?' anaonekana kocha wa taifa Marcio Maximo akilonga na Rais wa TFF Sir Leodegar Tenga wakati wa mechi ya Yanga na Miembeni ya Zenji. Yanga ilishinda kwa bao moja tu tena la penati; lakini ilishindwa kutumia fursa nyingi.


Latest FIFA Ranking.Tanzania:Latest release=115(Previous=101),Cape Verde:Latest release=85(Previous=109.)Because of our poor finishing.Kuipandisha tena tujitahidi kushinda mechi 2 zilizobaki September na October(Forget about about SA/ANGOLA 2010.Habari ndiyo hiyo.
ReplyDeleteCelebrity?Leo ngoja nikae kimya tu.
hivi wewe sijui ndo jay z au jada au jd au wat'ever u a calling ur self, nani amekwambia hiyo style ya kimasai inakupendeza naona unaipenda kweli na umeing'ang'ania sana, huyo dresser wako can go to hel anakudanganya sana, unajua wewe kwa sura ni mbaya and u need a lot of renovation kwenye body yako so b carefull na uvaavyo na ur make up yani umeniudhi mno na hiyo yellow yako hapo uwanjani, na miwani ya jua haivaliwi hivyo, angalia sura yako kisha ujue unahitaji style gani kwa miwani, michuzi sorry nimeenda out of the topic, lakini nimeshindwa kuvumilia najua imekukera kwa kweli but please usibanie maoni yangu ni hayo tu.
ReplyDeletewewe hapo juu ni nani unaemtukana mtoto wa watu hivo, kakukosea nini? and who the hell R you to judge her? and if you think you R pretty post your freaking photo here and lets see your gross self! Grow up and get a life!
ReplyDeleteTatizo la ufungaji ni kubwa sana katika soka letu..kuanzia timu za ligi kuu mpaka timu za mitaani
ReplyDeleteLakini kiwango kinachoonyeshwa na Miembeni, Yanga na Simba ni kikubwa sana na binafsi naamini with time tatizo la ufungaji litakwisha
Rafiki yangu uliyeamua kumkandia Lady Jay Dee , kwanini na wewe usionyeshe picha yako kwenye mtandao ili tukuone kama ni mzuri au mbaya..Lady Jay Dee anaweza kuwa na sura mbaya lakini ana sauti nzuri kuliko waimbaji wa kike wote wa nchi hii ukiwaweka pamoja!! ndio maana wenye kuujua muziki wakampa nafasi ya kwenda kutumbuiza kwenye tamasha la Mandela..acha wivu wa kipumbavu haukufikishi popote.
JD usijali hao wanakukandia ni wale waliotaka kuwa kama wewe lakini hawawezi. Kwani unataka awe na sura nzuri ili iweje? kama mume anae na hayuko kwenye mashindano ya urembo yuko kwenye Muziki sauti ndio inajalisha. Msipende kusagia watu kutokana na sura na maumbile yao wewe unajua mzuri na mbaya unaweza kuumba hata mende hadi usagie watoto wa wenzio? Tabia mbaya. we anan wa 5:15 acha hizo we weka picha yako tukuone kama unauzuri gani? Angalia mafanikio ya mtu kwa fani anayofanya sio sura na umbo hiyo unaingilia kazi ya uumbaji ambayo huiwezi. BIG Up jd achana nao.
ReplyDeleteJamani wewe unayemshambulia JD kwa kuvaa yellow, sasa kama yeye ni shabiki wa Yanga nafikiri hiyo ni appropriate colour, kwani ulitaka avae kijivu?
ReplyDeleteHivi Michuzi huwa unawasiliana na Lady Jaydee na mme wake kabla huja post picha zao au mambo yanayowahusu.Wewe namba mbili kutoka juu jaribu ku-control mdomo wako hata kama ni blog.Mara nyingi Michuzi ukipost issue ya JD,kunakuwa na msururu wa matusi kutoka kwa baadhi ya wanablog.Kwa wale walioolewa/oa hata wapenzi wataniaelewa vizuri: mpenzi/mme/mke/hata rafiki w/yako akirushiwa maneno kama hayo juu,unavyoji-feel.No good eh?Poleni sana Gadner ndo ukubwa huo.
ReplyDeleteUnajua wewe mchangiaji wa pili nafkiri utakuwa tu na chuki binafsi,utamchukiaje mtu ambaye humjui,hakujui!?zaidi ya kumuona tu?!.Unaambiwa hapa duniani omba sudi usiombe sura pamoja na kumponda Jd ana sura mbaya lakini mwenzako ndio keshatoka hivyo wewe utabaki tu majungu yako oooh Jd hupendezi basi njoo wewe mwenye sura ya kupendeza unaefanana na malaika wa mungu halafu sijui hata unafanya kazi gani?!.Mtumie Uncle Michuzi picha yako nasi tutoe comment zetu nafkiri itakuwa poa kweli.N lazima aliyetoa maoni haya atakuwa mwanamke yani sijui kwanini hampendani?!wala kupenda maendeleo ya mwenzio badala ya kuuliza anafanikiwaje weee unaongea tuuu,haya basi endelea kumsema Jd mwenzako anazidi kupaa tu utaskia mara Jd ana hoteli mara ana hiki.
ReplyDelete